Ni matumain yangu wengi hapa jukwaan tumeshawaita walimu kadhaa majina ya utani, au wengine tumepewa hayo majina. Kama vipi TUKUMBUSHANE KIDOGO hapa ni JINA GAN UNALOLIKUMBUKA na KWA NINI?
Kuna utata katika majina ya Mosses Kusiluka wa Mwalimu Nyerere na Dr.Mosses Kusiluka wa Ardhi University. Hili suala linafaa kuchunguzwa kwani Dr.Magoti wa Mwalimu Nyerere Academy ameoa...
BOT sasa wanatoa scholarship kwa wanafunzi mtaopangiwa course za economics ,math,accoun na finance na hata kwa wale watao taka masters...kwa nyie mliomaliza 6 ,lazma uwe na div 1 na uwe umepata A...
NACTE wanaonyesha udhaifu mkubwa sana kana kwamba hawawezi kazi:mfano:
wana applicants wachache kuliko wale wa TCU lkn
1.mpaka sasa hawajafanikiwa kutoa majina wanafunzi wote waliopata vyuo wa...
1.Je kwnn kisu kikali kinakata kwa urahis kuliko kisu butu?
2.Kwnn matank ya maji meng yametengenezw kw rang nyeus?
3.Kwnn meli inaelea ktk maji na sarafu(coin) inazama?
Kw leo hayo yanatosha...
Kwamujibu wa mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo elimu ya juu,ni kwamba mwaka wa masomo 2013/2014,bodi inategemea kuwakopesha wanafunzi 98025.kati ya hao,wanafunzi 35649 ni mwaka wa...
Habari zenu waheshimiwa sana. Wadau hii Mechanical Engineering inahusika na nini hasa? na vp ushindani wake katika soko la ajira, je inalipa! Wana CoET Udsm na wadau wengine na hata Watoa ajira...
2pia coz gan unaenda kusomea ili 2juane mapemaaaa ! ili 2kifika huko 2sihangaike huwez jua 2naweza 2kawa hata room moja,me nipo ba ed in guidence and counseling ,ww je ? ma2c hayaruhusiwi...
Habari wana jf, labda nitoe tu historia kwa ufupi... mimi ni mmoja wa wahitimu wa chuo kikuu mwaka juzi (2011),na kada niliyoisomea ni ya ualimu. ( kwa sasa ni mwalimu), mnamo mwaka 2008...
Nawapongeza NACTE kwa kutoa seletions, Lakini baadhi ya waliochaguliwa majina yao hayajapelekwa vyuo husika. kuna walioangalia profile zao na kukuta wamechaguliwa kwenda IRINGA UNIVERSITY na RUCO...
Ukipenda paitee uclas...! Chuo kinafunguliwa tar 7/oct/2013 for first year orientation na tar 14/oct..! Kwa continous! yoyote anajua tarehe nyinine tofauti na hizo hapo juu
jamani tuliochaguwa st.john ya dodoma tupeane taarifa hapa maana wengine hatujui ata reporting date na admission letter (joining) tutapata vipi kwakuwa kwenye web ya chuo hakuna taarifa hizi...
Natanguliza heshima mbele JF! Kero yangu leo Board ya mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB). Ukisoma Mission na Vision zake zimelenga kuwasaidia wananafunzi wa kitanzania wenye uhitaji...
Wale tunaotegemea boom nimepostiwa jana na kachala mmoja wa mjengoni kwamba wengi wa wanaoendelea na masomo vyuoni watakosa mkopo kutokana na kutofautiana kwa maelezo yao ya awali na ya sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.