Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Nimefuatilia hii issue ya kuteketea kwa moto soko la Mbeya. Nimeona niwashirikishe hisia zangu. Naona kuna hujuma kwa watu wa Mbeya ( Tena za kisiasa.). Mfano kitendo cha Mkuu wa wilaya ya Mbeya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Choices You Make Will Make You, and herebelow is how millionaires think and act. Your choice is always yours. Posted as receiced. "A Lot of people said to me I wanna be rich. I started...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
Samsung yakabidhi zawadi ya jumla (Grand Prize) kwa mshindi wa Nunua Sajili na Ushinde
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamii forum,bila kupoteza muda nlikiwa naomba maoni na mitazamo mbalimbali juu ya biashara ya mabasi ya mikoani.ningependa kupata ujuzi namna wamiliki wa mabasi ya mikoani hufanya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kumekuwa na tatizo kubwa la ajira nchini tanzania lakini je? Tatizo ni mfumo wetu wa elimu au sisi vijana kukosa ubunifu na uthubutu katika kujiajiri? Asilimia 75 ya watanzania nI vijana na...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nitatumia mfano ili nieleweke. Serikali ni kama mfugaji, sekta binafsi (wafanyabiashara) ni kama mifugo, (mfano Ng'ombe) na fani ya ufugani iwe kama aina ya uchumi wa soko tuliochagua kuufuata...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Chura anapenda sana Maji. Tuna penda sana kazi asikuambie mtu, tunapenda sana tuonekane tuko ofisini hata kama kazini ni kugumu namna gani potelea mbali si niko kazini? Tunapenda sana mtaani na...
17 Reactions
25 Replies
4K Views
Dar es Salaam. Development of the Bagamoyo Special Economic Zone (SEZ) is progressing well, the Export Processing Zones Authority (EPZA) has said. The director general of EPZA, Dr Adelhelm...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu, naomba wenye ujuzi na uelewa katika maswala ya ujenzi na gharama za ujenzi wa nyumba mnisaidie makadilio ya gharama ya kujenga nyumba hii. Thank you in Advance.
7 Reactions
30 Replies
14K Views
Habari za mda huu wana JF, natumai mu wazima mnaendelea kuijenga Tanzania ya viwanda. Mimi ni mjasiriamali mdogo ambae nimeamua kujiajiri kwa kutengeneza viatu vya ngozi, ni biashara ambayo nina...
0 Reactions
1 Replies
952 Views
Habari za majukumu wakuu Kwa mwenye ufahamu au mtaalamu wa mikopo naomba kujua Kama inawezekana kutumia kiwanja kilicho pimwa kama dhamana ya kupata mkopo Benki kwa ajili ya mradi wa kilimo...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu habari?, Nina ndoto za kuwa mfugaji wa kuku wa kienyeji lakini tatizo ni mtaji. nimeamua kuweka angalau 10,000/= kila siku kwa miezi 6 ili niwe na mtaji wa kutimiza ndoto zangu,sasa basi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari yenu wana Jf. Nimechukua nafasi hii ilikuongelea mashirika ya simu kujiingiza ktk biashara za kutoa fedha na kupoke kama ma Bank na vile yanavyo haribu uchumi wa Taifa letu. Unajuwa...
0 Reactions
48 Replies
14K Views
Nimeshuhudia mara kadhaa wahudumu wa hizi biashara ndogondogo, ambazo hufanywa na watu wengi, hususan akina mama - hufanya makosa ya kimahesabu sana hasa kwenye kurudisha chenji! Leo asubuhi, kwa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama mtu anaishi nje ya nchi atafanyaje ili aweze kufungua account ya benki huko TZ
1 Reactions
0 Replies
834 Views
Salaam wakuu! Jajajomills we want to make it simple and clear, sembe na dona safi, inatengenezwa na Jajojomills tu. Hizo zingine ni lazima uchekeche kabla ya kutumia, uchafu kibao!! yaani ni...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Wakuu, Mwenye uzoefu na hizi Tritank (zinatengenezwa Arusha) za kuhifadhia maji tafadhali nijuze naona bei yake ipo chini kidogo ya Polytank na Simtank (za Dar). Shukrani kwa ushirikiano katika...
1 Reactions
12 Replies
12K Views
habarini wandugu, nina tv yangu ya mchogo ilikuwa inaonesha rangi vizuri ila saivi inaonesha rangi ya blue iliyochanganyikana na nyeusi kiujumla inaboa kinoma noma, sasa juzi niliileta kwa fundi...
1 Reactions
1 Replies
762 Views
Habari zenu jamani, nilikua naomba kama kuna mtu anajua njia rahisi ya kutuma mizigo kutoka Marekani kwenda Tanzania anipe mwongozo.Coz sielewi Tanzania posta wanatumia vigezo gani wanapo charge...
0 Reactions
21 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…