Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Five Star hotel may threaten Zanzibar's Heritage Site status Fish traders at Nungwi beach in Zanzibar. The government will probe some top officials with dubious investment...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inashangaza sana kiukweli.katika pita,pita yangu mitaani nikiwa katika harakati zangu za kujikwamua kiuchumi.nilifika katika mgahawa na kupata chakula cha mchana.pembeni yangu kulikua na vijana...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
DO YOU WANT TO BE ENTERTAINED OR RICH?…IT’S YOUR CHOICE I came across this excellent chart the other day. It shows those times in history when the S&P 500 doubled over a ten year period and the...
0 Reactions
3 Replies
770 Views
Wakuu mwenye uelewa na biashara ya kutengenez bati, "roll forming " naomba tupeane uzoefu. 1. Roll forming machine bei gani 2. Inatengeneza aina ngapi za bati glazed etc 3.uagizaji wa coils na...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu hii hela ni Rupia inayotafutwa kwa udi na uvumba au? Nimeiokota wakati nalima shambani.
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavyosema wadau,nimedhamiria kufanya biashara ya kutoa mazao ya samaki wa baharini na kupeleka huko,na week ijayo inanibidi niende kufanya utafiti wa soko huko ila shida yangu ni...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwanini Biashara inafeli sana licha ya mtu kuwa na mtaji wa kutosha na hata mbinu mbalimbali za kukabiliana na changamoto zake?
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama kichwa kilivyo hapo juu nina shamba langu heka 50 lina document zote naitaji mkopo wa kilimo Je ni benki gani ina weza nipa mkopo haraka na limit ni kiasi gani vipi kuhusu riba nk
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nauliza rate ya kubadili fedha kwa Dollar na Kenyan shilling Dollar 1 inakuwa Kenya shilling ngap kwa sasa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hata ukimpa benefit of the doubt kwamba ni kosa la kimahesabu la kibinadamu na hata tukisema ni karani wake alikosea ku type, bado Assad anaamini kwamba siku deni la taifa likikua likafika zaidi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Account Suspended Kampuni yenyewe bado ipo, au?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi ni mjasiliamali huwa nauza pop corn shuleni.Inanilipa vizuri.Nataka kubuni biashara nyingine zaidi na wateja wangu wakubwa ni wanafunzi.Unadhani ni biashara gani nikifanya itanipa pesa...
1 Reactions
6 Replies
9K Views
Haya wakulima wa maembe, nanasi, machungwa,passion fruit, opportunity hiyo!!! SOMA HAPA
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Nitangulie kwa kusema mie ni mfanyabiasha ninayefanya biashara kisheria. Masikitiko yangu ni kuhusu suala la kuruhusu wanaoitwa machinga kuziba biashara zetu, ivi sie haki yetu iko wapi? Mie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu. Hivi karibuni nimegundua nina uwezo (sijui tuseme kipaji) cha kuandika makala. Ninaandika makala za aina mbalimbali, zikiwemo za elimu, uongozi bora, biashara na hata michezo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kitaalamu. Mm ni Mkulima wa Korosho huku Mtwara. Nimeuza shamba langu la Korosho kwa milioni moja na nusu (1,500,000) lengo langu ni kujenga kiwanda cha kubangua korosho ili...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Sabuni ya jamaa inayotengenezwa nchini Kenya imekuwa ikifanya vizuri sana kwenye soko hapa Tanzania kwa miaka mingi sasa, kiasi ambacho imezifunika sabuni nyingi sana za kufulia hapa nchini...
10 Reactions
98 Replies
30K Views
Kupata mkopo tawi la Pride hapa Arusha imekuwa ngumu sana.Ukiomba mkopo wanasema hawana pesa,wako ktk mchakato wa kulipa kodi.Kuna watu wamejitoa baada ya kuona hawapewi mikopo lakini kila wakidai...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari za Kazi wana JF, Kama somo linavyojieleza nimekaa na kutafakari sana juu ya uchumi wa Nchi yetu Tanzania. Baada ya kupata Uhuru Mwl Nyerere alijitahidi sana kupambana kuiweka Nchi yetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna aina mbili za Incubator mashine; (i)Zinazotumia mfumo wa Fan ndani ili kusambaza joto (ii)Hizi nyingine zinatumia mfumo wa joto tu bila fan Hizi za kutumia fan ndani ya mashine ndio nzuri...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…