Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

#FAHAMU Dubai ndio Mji pekee duniani ambayo askari polisi wake wanatumia magari ya kifahari zaidi na yenye spidi kali zaidi. Polisi hao wanatumia magari aina ya Bugatti Veyron, Ferrarri FF au...
5 Reactions
73 Replies
32K Views
Habari zenu wanajamvi,ni matumain yangu mko salama. Naomba kuuliza biashara ya kutumia selcom machine inalipa kwa wanaoifahamu? Pili ukiwa na ile machine uweke biashara gani ya kuisupport ili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za Jumapili watu wa Mungu. Ni matumaini yangu mu wazima kabisa. Pole kwa yeyote mweye matatizo, ndio ubinaadamu. Niende kwenye mada. Miaka kadhaa iliyopita tulipata kusikia kuhusu upatu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair consolidated throughout last week, moving between the resistance line at 1.2300 and the support line at...
1 Reactions
0 Replies
472 Views
Kwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi ni VIGUMU sana kuishi bila kukopa. Vinavyokopwa ni vingi kianzia fedha, vyakula, nguo na bidhaa nyingine. Ziko sababu kadhaa ambazo HUMLAZIMU mtu...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamii, kwa wale wenye uelewa mzuri kuhusu hizi taasisi za kifedha,ni ipi hasa inatoa mkopo mzuri na kwa riba kidogo? Swali lingine ni utaratibu wa paying off loan, yaani ulichukua mkopo...
3 Reactions
151 Replies
67K Views
Naamini humu kuna kila aina ya watu wanaoweza kunielimisha kuhusu hili. Hivi ni benki gani hapa nchini ambayo inalipa interest nzuri katika ule mpango wa Fixed Account? Mfano ukiwa na milioni moja...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wafanyabiashara wengi wachanga huanza safari yao na ndoto ya kufanya makubwa katika ulimwengu wa biashara. Kuanza biashara na kuendeleza kwa ufanisi ni changamoto kubwa sana. Kunahitajika...
4 Reactions
36 Replies
7K Views
Salaam wanaJambo wenzangu. Nilitokea kupita mitaa ya Arusha siku chache zilizopita na kwa mshangao wangu mkubwa nikakuta kwamba kiwanda cha General Tyre (Njiro Area) kimefungwa.... Nilifanikiwa...
0 Reactions
92 Replies
18K Views
Habarini wakuu, Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba kwa wajumbe humu ndani wenye kuwa na Moyo, niazimeni kiasi cha shilingi milioni moja. Lengo la kupata kiasi hicho cha pesa ni kuongezea...
3 Reactions
55 Replies
7K Views
Ni wiki kazaa tangu kusainiwa kwa mkataba Wa ujenzi wa Sgr phase 2 ( awamu ya pili) na waziri Wa ujenzi...je ujenzi utaanza lini?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu,ninatafuta kujua bei ya fusso used toka Japan or anywhere ambako zinapatikana. Specification ni Fighter Box yenye engine ya D16. Please mwenye idea naomba anipe msaada wa kufaham...
0 Reactions
9 Replies
18K Views
Habarini wajasiliamali Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nataka nianze biashara ya umachinga naombeni ushauri biashara gani inatoka sana huko mitaani hasa maeneo ya mjini kama kariakoo kwa mtaji wa...
2 Reactions
43 Replies
8K Views
Kwa wale wauzaji wa jumla tuwasiliane nataka nianze kufuga kuku wa kutotolesha mayai naanza na vifaranga 150 tu, na naombe ushaur namna ya kuanza kufanya biashara hii ya ufugaji wa kuku wa mayai...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mwingi ya njano kuanzia tani 5 na kuendelea, mwenye nayo anijulishe.
0 Reactions
1 Replies
672 Views
Tanzania: kama familia ya mama Pekupeku Nani aje kuisimamisha nchi yetu katika mzunguuko huu wa matukio na umasikini? Kwa maana bila yavyo, hatutoki ng'oo! Kwamba ukiitafakari nchi hii, na yale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo hapa vingunguti kkkt kanisan stend kubwa kabisa ya daladala yaani 90%ya wanavingunguti hii ndio starting point ya safari zao nyingi hasa za kuelekea ndani ya mji na maeneo mengine. Nilipata...
2 Reactions
0 Replies
493 Views
Karibu kila mtoto wa shule ya msingi utakayekutana naye leo ukamuuliza (kwa wale wanaojitambua) anataka kufika wapi kielimu, atakuambia anataka kufika Chuo Kikuu. Ni ndoto ya karibu kila mtoto...
9 Reactions
21 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…