Habari wanajf,
Mimi ni kijana kwa umri 27,
Leo ninalo wazo juu ya vijana kujikwamua na kuushinda umasikini. Kwanza niseme yafuatayo;
Kijana kwa asili yake hupata pesa ndogo ndogo ambazo huwa...
Tunaendelea kujikakamua . Tutatoboa tu.
Kuna mtindo ambao ulianza kama masihara huko nyuma lakini sasa umepamba moto sana na unazidi kuota mizizi mno siku zinavyozidi kusogea.
Kukopeshana hela...
Asilimia kubwa ya watu wamefanikiwa kupitia biashara, ni asilimia chache sana wana mafanikio kupitia ajira lakini wengi wenye majumba mazuri, magari na mali nyingine wamezipata kupitia biashara...
NBAA itashindwa kuandaa mitihani kwaajili ya wanafunzi wanaosomea uhasibu ifikapo Julai 2018 kama wajumbe wa bodi yake ya uongozi hawatakuwa wameteuliwa na waziri mwenye dhamana.
Kwa namna isiyo...
Habari wakubwa Kwa wadogo... naomba kujua kama kuna benki hapa Tanzania inayo weza kukopesha pesa kwa dhamana ya GARI! mfano mkopo wa sh 3M (milioni 3) kwa gari ya sh. let say iki-tathiminiwa...
Habari,
Naulizia kuhusu taratibu za kufuata kubadilisha matumizi ya gari aina ya Toyota Noah kuwa ya Biashara.
Pia napenda kujua gharamu ya mchakato huo.
Nawasilisha
Wana JF
Najua kati yetu tumeagiza gari nje na kwa aina moja ama nyingine tumeshiriki au binafsi au kwa kumtumia agent kutoa gari bandarini.
Naomba model ya ukokotoaji wa gharama za kutoa gari...
Wana jf naomba kwa anayejua anijulishe ni utaratibu gani unafuatwa ili kuingiza kampun kwenye list ya service provider ya government procurement services agency,na ina faida gani kwa kampun...
Kwa wale wazoefu wa kuagiza mizigo Kikuu.
Ningependa kujua hatua ya mwisho baada ya kutrack na ikaonyesha time out.
Nimeona mzigo tayari ulishachukuliwa na rider siku tatu zilizopita.Nini...
Habari wana jamvi.
Kuna jamaa yangu, ana kampuni ya usafi, ali omba maombi ya kusajiliwa na gypsa. Sasa majibu yametoka na amekosa zabuni. Kwa mujibu wa Gpsa, zabuni ni kuanzia mwaka 14/15/16/...
Moja ya sehemu ambayo utawapata watu siriasi Tanzania ni hapa jamii forums, lakini kwa sasa jukwaa limekuwa na watu wa ajabu ajabu ambao wanauwa jukwaa zima na kufukuza watu wenye tija kabisa na...
BENKI ya "Bank Of Africa Tanzania (BOAT) imetangaza neema kwa watumishi wa umma baada ya kushusha riba ya mikopo kwa kada hiyo kutoka asilimia 14 hadi 11.
Aidha, benki hiyo imepunguza masharti ya...
Wanahisa wa Benki ya CRDB wametoana jasho kuhusu kuwawajibisha wakurugenzi wa bodi hiyo ambao wameidhinisha mikopo kwa watu ambao wameshindwa kurejesha kwa wakati, hivyo kusababisha kushuka kwa...
Niende moja kwa moja katika mada:
1. Mikate. Kila kipindi uzito na ukubwa (weight and volume) hupungua, Bei iko palepale au inapanda!
Swali kwa TBS: Hiyo nembo yenu inahusu kifungashio au bidhaa...
Ndugu wana jf natumain m_ wazima wa afya uzi
M napenda sana kujiajiri ili niwe free na mambo yangu na harakati zingine za maisha . Nilikua napenda kuuliza wanabodi wenzangu ,Ivi kunauwezekano wa...
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa Benki ya CRDB unaofanyika leo Mei 19, 2018 jijini hapa, wamemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk Charles Kimei kuendelea kuitumikia...
Huu ni mwezi wa pili tangu nimefungua biashara yangu ya Tigopesa. Niliamua kusimamia mwenyewe kwa muda wa siku 20 ili kuzijua changamoto ndogo ndogo. Hatimaye nimempata mtu wa kusimamia...