Habari wana jf
naambatanisha na screenshot kutoka account yangu na nimeacha ubini tu wa kitanzania
Ili ujulikane kweli ni account yangu mimi mtanzania.
Nikiwa mdogo sana nilikuwa naamini kuwa...
Habari zenu wapendwa,
Nahitaji ushauri hasa kwa wazoefu au wamiliki wa noah na hiece katika mkoa wa moshi na Arusha je ni root ipi nikiweka hoan au hice bas pesa itakuwa ya uhakika? Maana kuna...
Tanzania na Rwanda zips katika hatua ya mwisho ya makubaliano ya kupanua mradi wa reli ya kisasa 'SGR' itokayo Isaka, Tanzania hadi Kigali , Rwanda na sasa itaongezwa hadi Rubavu mpakani mwa...
Habari za wakati huu wana if....
Naomba kujuzwa kwa yoyote mwenye uelewa kuhusiana na biashara ya maziwa ya ng'ombe kuanzia lita 100 mpaka mia tano je mtu unaweza anzisha small firm ya package...
Huu mradi uliwahi kujadiliwa humu jamvini siku za nyuma lakini ilwekwa jukwaa la Siasa na ilijadiliwa kisiasa zaidi na uzi ukapoteza mwelekeo.
Hivi sasa dalili zinaonyesha kuelekea kwenye...
Hivi sumatra hawajaliona hili, haiwezekan kwenye maji kukawa na bei kubwa sana mwendo wa saa 1.30 na Dom mwendo wa saa 9 mpka 10
Naomba kujuzwa tofauti yake au huwa wanaangalia nini, maana...
Fore all those who are interested in the field of Agricultural Economics and Agribusiness; You are kindly welcomed to join The Tanzania Agricultural Economics and Agribusiness Association...
jambo ambalo sja lielewa ni kukazania tanzania ya viwanda na huku tuna elimu mbovu na atuna teknolojia yeyote tunayo weza kuitumia ili tufike kweny ivo viwanda mi nnavyo fahamu tungekuwa na...
Utangulizi
Biashara ni utafutaji na usambazaji wa mahitaji ya walaji au watumiaji katiks sehemu mbalimbali.
Ili biashara iendeshwe kwa mafanikio kuna taratibu za kusheria ambazo nilazima...
Nimeshangazwa kidogo na huduma za mtandao wa Aitel nimekuwa nautumia kwa kitambo kidogo hatimae nikaibiwa simu nikabaki na laini yangu niliosajiri kihalali ikiwa pamoja nakuitumia kwa Aitel money...
Habari ndugu,naomba kwa wale wote Tuliopo Jiji la Dodoma na tuna ujuzi kuhusiana na Computer na hata kama mtu ana elimu kuhusiana na Computer,naomba tutafutane kuna ishu ninayo hapa...nitafute kwa...
Fastjet yapewa notisi ya siku 28, yatakiwa ijitafakari
Fastjet yapewa notisi ya siku 28, yatakiwa ijitafakari
Mamlaka ya safari za Anga Tanzania (TCAA), imetangaza kuwa kampuni ya ndege ya...
Habari ndugu msomaji popote pale ulipo, na matumaini uko salama hadi wakati huu, ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwani wengi walitamani kuwepo leo lakini hawapo kwa mapenzi yake Mungu...
kumekuwa na rushwa na ufisadi usiojali maslahi ya nchi hata kidogo kwenye utoaji wa tenda za insurance/ Bima yanayo husu mashirika ya umma.
ni mtindo sasa kwa mashirika mengi kutoa tenda kwa...
> Mamlaka hiyo imesema inatambua uwepo wa Watanzania wanaofanya biashara kupitia Mitandao ya Kijamii hivyo wote watakiwa kujitokeza ili wapewe namba ya mlipa kodi(TIN)
Hapa na pale kila uchwao naona wenye uthubutu wakiimarika, inatia moyo sana.... Pongezi kwa wale waliochagua mbio za mwendo mrefu na medani zisizotundikwa kifuani.
Wadau leo naomba mlitupie macho...
aisee wakubwa zangu natafta mdhamini au mtu mwenye kazi yoyote maana sina mkopo afu ada ni kubwa kiasi ata nikiacha chuo io ada staipata nipo Bachelor in shipping and logistic management pale Dar...