NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 998
Hivi sumatra hawajaliona hili, haiwezekan kwenye maji kukawa na bei kubwa sana mwendo wa saa 1.30 na Dom mwendo wa saa 9 mpka 10
Naomba kujuzwa tofauti yake au huwa wanaangalia nini, maana mafuta ni yale yale tu
Naomba kujuzwa tofauti yake au huwa wanaangalia nini, maana mafuta ni yale yale tu