> Mamlaka hiyo imesema inatambua uwepo wa Watanzania wanaofanya biashara kupitia Mitandao ya Kijamii hivyo wote watakiwa kujitokeza ili wapewe namba ya mlipa kodi(TIN)
Biashara za mtandaoni zipo za aina nyingi lakini pia kuna ambao wanafanya biashara ya kuuza physical product lakini pia ni walipa kodi ila mitandao ni kwa ajili ya kujitangaza.
Na hiyo pia inakaaje?
Na pia sifa za mlipa kodi ni zipi maana kuna biashara ambazo zinahusisha digital products(eg ebooks) ambazo unaweza kuanza na zero capital.
Kwa huyo kwa mtu ambaye hatokuwa na uwezo wa kulipa kodi mwanzoni(hasa digital product) hatoruhusiwa kufanya biashara mtandaoni au akifanya atakuwa amekiuka sheria?
Dah hii nchi bhana. Niliona mtandao kama mbadala wa kusaidia watu wasiokuwa na mtaji ila sasa naona wavurugaji wameingia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.