Wengi wetu utasikia ile gari inakimbia sana, ni kweli gari lazima kukimbia ila ushawai kujiuliza mnaweza kuwa spidi sawa ila ukashangaa anakupita bila kutegemea.
Utengenezaji wa magari kuna vitu...
Wadau hizi gari unaweza kupata kwa bei gani kuanzia mwaka 2002 mpaka 2007.
Nimewahi kusikia kwamba unaweza kupata kwa bei nzuri kwenye auctions za NGOs ama Serikalini.
Mwenye kujua naomba info...
Habar za mida hii, fika mmechoka toka mihangaikoni lakin pia polen kwa mgao wa umeme unaoendelea.
Kama hapo juu mada inavyokieleza naomba kufaham, umuhimu wa CAR SECURITY SYSTEM, UBORA NA...
Wakuu ninaomba kuzifahamu kiundani hizi gari aina ya Toyota hybrid C-HR.
Hasa kwa mazingira yetu ya Kitanzania inaweza stahimili? Ubora wake, na matatizo yake
Salaam niliwahi kuomba kupewa sifa na tabia za gari la Subaru Impreza ila sikupata majibu, narudi tena humu wale wajuvi wa vyombo hivi vya moto kati ya Subaru Impreza na Premo ni nijue gari gani...
Wajuvi wa mambo,
Nipeni udambu juu ya hizo gari 2, okoeni ndoa yangu maana shemeji yenu akizimikiwa gari njiani atadai talaka. akikwama topeni ndio kabisa. kwa ufupi wife hapendi vigari sampuri...
Eeh.. ndio, wana wa Israel walitembea miaka 40 kutoka Misri hadi kufika nchi ya ahadi, sasa mimi na wewe tuna miaka arobaini tunatembea tu kwa miguu mpaka sasa na nchi ya ahadi bado hatujafika...
Weka pembeni mambo ya movies, haya mambo ya mauza uza yapo kitambo, yapo hata katika biblia na kuran na tumeonywa tusiyachukulie poa.
Sio stori ni vitu real hivi, upo zako kwenye safari mara...
Nimefungiwa rear camera kwenye gari yangu. Nami kwa kutokujua, niliondoka bila kujua kuwa huwa zinaonesha mistari miwili ambayo ni mpaka wa kitu kilicho katikati ya barabara.
Inanipa shida, kwani...
Watu wengi tumekuwa tukijiuliza kuhusu ndege zenye mfumo wa injini ya jet.
Katika mada nilizozitoa nilieleza kuhusu aina za injini zinatumika kwenye ndege.
Mfumo wa injini ya jet ni tofauti...
Nina rims ambazo zilikuwa silver wakapiga rangi nyeusi flan hivi haijakolea. But inabanduka hata kwa maji ya presha..
Nataka kurudia kupiga rangu rims napenda ziwe nyeusi. Wapi naweza pata...
Anataka kubadili gearbox ATF. Automatic Trans. Fluid. Gari ni Toyota Rumion ya Mwaka 2008. Ya CC 1800
Anasema anahitaji ile yenyewe kabisa yenye ubora halisi. Haijalishi bei anataka kitu bora...
Nimekuta wadau wa magari wanabishana kuhusu ubora wa hizi gari pendwa za off road aka gari za pori.
Nani mkali kuanzia Bei ikiwa mpya Au used, Maintenance, resale value nk.
Binafsi naona LC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.