!
Karibu watu 9 kati ya 10 hawaelewi hatari inayowakabili kwa kuwa wanene hasa sehemu za tumboni na katika nyonga.
Uchunguzi uliofanywa kwa kuwashirikishwa watu 12,000 wa nchi za Ulaya...
Gritty Grace akiwa na wanae mapacha.
Hatimaye leo Ericana na Eluidi (pichani) watafanyiwa upasuaji wa aina yake ambao haujawahi kufanyika duniani. Watoto hawa mapacha wenye umri wa miezi tisa...
Tafadhali nisaidie kwaushauli wa huduma yakwanza ya haraka mdogo wangu nilimuagiza kret ya soda akiwa njian moja ikapasuka chupa katikat ikiwa imebaki soda kidogo akanywa kias tumbo likaanza...
Women's Issues
Having a baby is a happy occasion that many couples look forward to. Yet more than five million Americans, both men and women, have problems with infertility. If you're trying...
Wengi wanafikiria kuwa unene ni fahari, heshima, lakini huenda wanasahau au hawajui madhara mengi ambayo yamejificha nyuma yake
Imekuwa ikidhaniwa kuwa unene wa mwili ni kufanikiwa kiuchumi au...
Your deodorant could be full of dangerous chemicals. Think about it, you spray it all over you skin and then your body and blood absorb it... Stay organic, stay healthy. 99% of breast cancer...
Habari wana jf!
Nina imani kuwa humu kuna madaktari na watu wenye ufahamu kuhusiana na mambo mbalimbali ya kitabibu.
Suala ambalo ningependa tujadiliane hapa ni kuhusiana na hili tatizo...
High Alert For All Girls
Please Send To All Girls,
"Please Read and spread to all the girls u know:
Guys: to all ur friends, sisters, cousins etc. Please send it around
A girl applied...
Habari za jioni wanaJF Doctor??
Nimeletea msichana wa kazi ila ana madoa mwili mzima, nimejaribu kumdadisi kama aliwahi kuugua ugonjwa wowote wa ngozi kama tetekuwanga ila.amekataa.
Anadai...
Habari wadau. Mwenzenu toka nizaliwe mafua yananipa shida sana hadi nmekua mtu mzma sasa naona ni kero. Naombeni ushauri ni dawa gani nitumie kutuliza au kuponya kabisa hii kitu coz inanikera...
Habari za Jion, jamani tangu juzi nimejigundua nna pata maumivu kuanzia usawa wa kifuani(chembe) mpaka tumboni, yaani nikila chakula nakifeel kinavyopita mpaka kinafika mwisho, mwanzoni nilihisi...
Wanajamvi nina tatizo moja limeanza kama wiki mbili zilizopita, ni hivi, mi ni kijana nimeoa kama mwaka na nusu umepita na mi na mke wangu tunafanya mapenzi vizuri tu, tunapendana sana.
Sasa...
Ndugu watabibu na wadau wote naomba msaada mama watoto Wangu amepatwa na tatizo la kwenda kwenye Siku zake na wakati ana mimba kama ya mwezi mmoja, ni tatizo geni kwake kwani haijawahi kumtokea!
Habar zenu wana jf!
Nna rafk angu anasumbuliwa na tatizo lakubld mapande ya damu kama maini awapo kwenye cku zake! Na damu inakuwa nyeusi yenye utelezi mzito, haumwi na tumbo wala kitu chochote...
wanajamvi hivi ni kweli wanaosema wanauza dawa za kuongeza maumbile ya kiume wako sahii ama ni matapeli kuna dawa yakufanya maumbile yaongezeke amandio wanataka wale miela ya watu wanaokurupuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.