Mara nyingi ninapokunywa soda au vitu vyenye sukari sukari haswa vinywaji huwa nakojoa mkojo mtamu sana. Nimejaribu kuchek sukari lakini iko normal, lakini pia ninakuwa na uzito mkubwa sana...
Guyz mm nna ndugu yangu ana kiloids (uvmbe unaosababishwa na kujikata na vitu vyenye ncha kali) tatzo ni kwamba alishawah kwenda kwa wataalam wakamshaur waikate then kuna sindano jna silikumbuki...
Kuna jamaa yangu alikuwa anaumwa figo na kama unavyojua kipato cha watz kipo chini alishauriwa aende Nairobi basi ktk kuhangaika akambiwa kuna Mzee anajua tiba hiyo kwa vile mtu ana shida...
Wana Jamiiforums,
Hebu nisaidieni hivi kuna madhara gani kutumia magic kutolea ndevu.
Maana kuna jamaa yangu moja hapa ananiambia inasababisha kansa hivi ni kwel?
Habari humu ndani.
Jamani wataalam wa magonjwa ya kina mama naombeni mawazo yenu hapa juu ya afya ya mama watoto. Akikaribia bleed huwa anakua na mambo yafuatayo.
1. Zikibaki kama siku tano...
Naombeni ushauri wenu wakuu, me ni kijana wa mika 20 sasa but nimeshndwa kutmza hata wiki bila ya kutopga punyeto. Nifanyeje ili niache hii tabia mbaya. Nisaidieni plz.
Ni miaka 7 sasa tangu nianze mchezo wa kujichua wakati nipo chuo. Nilianza kufanya hvyo kwa kuogopa kutongoza wadada.
Naombeni msaada mana nimepata mchumba kupitia mtandao na yuko Shinyanga nami...
Wakuuu naombeni msaada wa kujua ni wapi ntapata njia mbadala ya kunyoa vinyweleo katika mwili wangu hasa makwapa na huku chini maviwembe yananitoa mapele kila kukicha nimesikia kuna utaalam wa...
Amani iwe kwenu wapendwa. Nimesumbuliwa na tatizo la tumbo kwa muda mrefu huku nikienda hospitali tofauti bila bila kupata matibabu ya moja kwa moja. Hivi karibuni nilifanya uchunguzi tena ndio...
Mambo vipi wanajamii,
Mi mwenzenu nasumbuliwa na malaria mara kwa mara na haya madawa ya hospital hayanisaidii,kifupi huwa siponi kiasi kwamba najua itakuwa ndo hiyo malaria sugu.sasa kama...
Nimekuwa mgonjwa kuanzia mwaka 1994 ambapo mpaka sasa nina miaka 19 nikiwa mgonjwa. Dalili za tatizo langu ni hizi:
1. moyo kwenda mbio na kutokwa jasho kiasi cha kukosa hata usingizi,
2. Mwili...
Malaria sasa naona haitibika maana watu wengi sana hata wakinywa hizi dawa za Metakalfin, Arinet lakini baada ya wiki malaria iko palepale.
Niliwahi kumuuliza Dokta mmoja aliniambia mara nyingi...
ni vipele visivyo na kitu ndani ila vigumu vinazidi kututumka na kusambaa vipianza kifuani shingoni sasa hadi usoni nimeenda hospital mara nyingi dawa nimetumia ila hazisaidii
msaada wenu jamani...
Wanajukwaa wote kwanza poleni namajukumu ya hapa na pale. Nina mtoto wangu wa kike mwenye umri wa miaka 8, wiki tatu zilizopita alianza kukohoa nikajua ni kikohozi cha kawaida, nilinunua dawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.