Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mara nyingi ninapokunywa soda au vitu vyenye sukari sukari haswa vinywaji huwa nakojoa mkojo mtamu sana. Nimejaribu kuchek sukari lakini iko normal, lakini pia ninakuwa na uzito mkubwa sana...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Guyz mm nna ndugu yangu ana kiloids (uvmbe unaosababishwa na kujikata na vitu vyenye ncha kali) tatzo ni kwamba alishawah kwenda kwa wataalam wakamshaur waikate then kuna sindano jna silikumbuki...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu alikuwa anaumwa figo na kama unavyojua kipato cha watz kipo chini alishauriwa aende Nairobi basi ktk kuhangaika akambiwa kuna Mzee anajua tiba hiyo kwa vile mtu ana shida...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Redirect
Wana Jamiiforums, Hebu nisaidieni hivi kuna madhara gani kutumia magic kutolea ndevu. Maana kuna jamaa yangu moja hapa ananiambia inasababisha kansa hivi ni kwel?
0 Reactions
Replies
Views
Habari wana JF, Ninasumbuliwa na minyoo ya safura inayojirudiarudia. Zipi dawa nzuri ya kutibu kabisa.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Mwanamke mwenye ujauzito wa wiki 3. Je anaweza kunywa dawa ya minyoo na isilete madhara juu ya ukuaji wa mtoto?
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Habari humu ndani. Jamani wataalam wa magonjwa ya kina mama naombeni mawazo yenu hapa juu ya afya ya mama watoto. Akikaribia bleed huwa anakua na mambo yafuatayo. 1. Zikibaki kama siku tano...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
  • Redirect
Naombeni ushauri wenu wakuu, me ni kijana wa mika 20 sasa but nimeshndwa kutmza hata wiki bila ya kutopga punyeto. Nifanyeje ili niache hii tabia mbaya. Nisaidieni plz.
1 Reactions
Replies
Views
Ni miaka 7 sasa tangu nianze mchezo wa kujichua wakati nipo chuo. Nilianza kufanya hvyo kwa kuogopa kutongoza wadada. Naombeni msaada mana nimepata mchumba kupitia mtandao na yuko Shinyanga nami...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuuu naombeni msaada wa kujua ni wapi ntapata njia mbadala ya kunyoa vinyweleo katika mwili wangu hasa makwapa na huku chini maviwembe yananitoa mapele kila kukicha nimesikia kuna utaalam wa...
0 Reactions
29 Replies
26K Views
Naomba kujua kujua products za dynapharm nitapata wapi kwa hapa arusha.? Kama kuna wakala na mawasiliano yake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu wapendwa. Nimesumbuliwa na tatizo la tumbo kwa muda mrefu huku nikienda hospitali tofauti bila bila kupata matibabu ya moja kwa moja. Hivi karibuni nilifanya uchunguzi tena ndio...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Mambo vipi wanajamii, Mi mwenzenu nasumbuliwa na malaria mara kwa mara na haya madawa ya hospital hayanisaidii,kifupi huwa siponi kiasi kwamba najua itakuwa ndo hiyo malaria sugu.sasa kama...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Naomba kuuliza wadau agakhan hospital wanatibu kwa bima ya afya ya green ya NHIF na kumwona Specialist pale ni kiasi gani?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimekuwa mgonjwa kuanzia mwaka 1994 ambapo mpaka sasa nina miaka 19 nikiwa mgonjwa. Dalili za tatizo langu ni hizi: 1. moyo kwenda mbio na kutokwa jasho kiasi cha kukosa hata usingizi, 2. Mwili...
4 Reactions
47 Replies
17K Views
Malaria sasa naona haitibika maana watu wengi sana hata wakinywa hizi dawa za Metakalfin, Arinet lakini baada ya wiki malaria iko palepale. Niliwahi kumuuliza Dokta mmoja aliniambia mara nyingi...
0 Reactions
320 Replies
98K Views
ni vipele visivyo na kitu ndani ila vigumu vinazidi kututumka na kusambaa vipianza kifuani shingoni sasa hadi usoni nimeenda hospital mara nyingi dawa nimetumia ila hazisaidii msaada wenu jamani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Redirect
Wanajukwaa wote kwanza poleni namajukumu ya hapa na pale. Nina mtoto wangu wa kike mwenye umri wa miaka 8, wiki tatu zilizopita alianza kukohoa nikajua ni kikohozi cha kawaida, nilinunua dawa...
0 Reactions
Replies
Views
Habari zenu, Natumai ni wazima, naomba kuwauliza wataalamu au mwenye uzoefu hivi inakuaje mwanamke mwenye mimba kuichukia harufu ya mumewe?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom