Nina mchumba wangu anatatizo la kukosa kabisa hamu ya tendo ni mwaka sasa tangu awe hivyo na hata akijitahidi hapati kabisa ute hivyo anakuwa mkavu kabisa.
Tafadhali anayejua suruhisho hili...
Vidonda vya Tumbo (PEPTIC ULCERS)
VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS DISEASE)
Habari za siku mpenzi msomaji wa blog hii, ni matumaini yangu unaendelea vizuri na kufurahia blog yangu iwapo una...
TASLY MISS BEE PROPOLIS SYRUP
Ni dawa inayotokana na nta ya nyuki
ni pure natural haina kemikali wala madhara kwa mwanadamu
Inasaidia watu wenye matatizo yafuatayo:
1. Mwenye vidonda vya tumbo...
Habari zenu,
Mimi ni kijana wa miaka 26, ninatatizo la sexual performance anxiety, nilienda kupima sexual hormonies nikakuta ziko vizuri, na pia nimepima matatizo yote yanayoendana na hali ya...
X-power man ni lishe nzur kutoka bf Suma company inarutubisha uume na kumfanya mtu awe imara na mwenye nguvu wakati wa tendo,lishe hii inawafaa zaidi watu wenye KISUKARI na haina side effects...
Habari wana JF,
Kama mada inavyoxema hapo. Mimi ni mtoto wa miaka 15 nasumbuliwa na meno hasa ya nyuma upande wa chini yametoboka yakianza kuuma inakuwa ishu. Msaada kwa anayejua dawa/matibabu...
Heshima yenu.
Nilikuwa nasumbuliwa na tatizo la kula chakula kidogo sana, kitu hiki kilikuwa kinafanya nijione sio wa kawaida, kwani ilikuwa hata chips siwezi kumaliza, ugali lile tonge moja la...
Unatanguliza shukrani wana jamvi wenzangu.
Leo nimekuja mbele yenu nahitaji msaada kwa anayefahamu doctor mzuri wa ngozi, mwanangu katokewa na mapele flani maeneo ya machoni ambayo nadhani ni...
Ni siku ya nne sasa nakosa raha kabisa kutokana na muwasho mkali naoupata katika sehemu zangu za siri baada ya kunyoa nywele (mavu**i).
Naomba kama ushauri nifanyaje kuondokana na muwasho huu.
High Cholesterol? Try To Avoid These 10 Foods!
High cholesterol and heart disease are serious concerns for many people, and as much as we’d love to continue our teenage habits of eating anything...
28 Surprising Uses of Coconut Oil for Personal Hygiene
You don’t need those personal care products containing high amounts of chemicals. You should be replacing them with coconut oil. You don’t...
Wakubwa shikamooni, wadogo habari zenu!
Mimi ni binti wa miaka 24, nilijifungua kwa operation mwaka jana mwezi wa pili tarehe 12.
Kwakuwa ngozi yangu laini na mshono unanisumbua, dokta...
Baada ya mjadala wa jana bungeni juu ya matumizi ya "Bangi na mirungi" ulioibuliwa na Mbunge wa Geita Vijiini Joseph Kasheku Musukuma, nilimtafuta daktari Chriss Cyrilo (MD) aeleze kama bangi ina...
Cancer can affect everyone – the young and old, including children. It is one of the leading causes of death in the world, where about 70% of all cancer deaths occur in low- and middle-income...
wakubwa shikamooni, wadogo habari zenu! mimi ni binti wa miaka 24, nilijifungua kwa operation mwaka jana mwezi wa pili tarehe 12. kwakuwa ngozi yangu laini na mshono unanisumbua, dokta alinishauri...
Kanda ya ziwa kinara kwa maambukizi ya kichocho
TUESDAY , 2ND FEB , 2016
Mikoa ya Kanda ya Ziwa imetajwa kuwa na kiwango cha juu cha maambuki ya ugonwa wa kichocho yanayofikia kiasi cha asilimia...
Your Body is Acidic. Here is what you NEED to Do
A well-balance diet is essential maintaining a pH balance in the body. PH balance refers to the acid or alkaline values of all fluids and cells in...
JE WAFAHAMU FAIDA ZA KUTUMIA MMEA WA ASILI AINA YA GINKA BILOBA?
NI miti mirefu ambayo haiwezi kushambuliwa na magonjwa yoyote. Hufanya kazi ya kuondoa mafuta mabaya kwenye sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.