JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hello! Kitambaa gani cha sofa kizuri ambacho rangi ya ung'avu inadumu kwa muda mrefu. Kitanda gani kizuri kati ya kile chenye uvungu na kisicho na uvungu (kitanda cha box)?
0 Reactions
11 Replies
690 Views
Salaam, Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum. Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri? Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu...
9 Reactions
255 Replies
14K Views
Wakuu, Katika maisha kuna mambo ambayo huna budi kuyaamini tu, hata kama umehadithiwa na hukuyashuhudia mwenyewe. Kwa mfano, mtu akikuuliza: “Ulijuaje kama mwaka wako wa kuzaliwa ni sahihi?”...
2 Reactions
12 Replies
609 Views
Kwanza niseme natanguliza heshima zote kwako best yangu Marry Diana. Pengine utafurahishwa ama kuchukizwa na bandiko hili, siwezi kuzuia hisia zako lakini ninaweza kuzipooza kwa kusema neno...
16 Reactions
237 Replies
6K Views
Katika tukio lililogeuka burudani ya ghafla katikati ya huzuni, mpiga tarumbeta mmoja nchini Kenya amezua kicheko wakati wa mazishi baada ya tarumbeta yake kushindwa kutoa sauti stahiki! 😅 Video...
2 Reactions
2 Replies
680 Views
Kitu gani umefanya siku za karibuni au huwa unafanya mara kwa mara kujipa raha mwenyewe au kupata furaha. Naanza: Kufanyiwa oil massage (kukandwa kandwa ) Tendo la raha / Ngono (Kuna mtu...
10 Reactions
261 Replies
5K Views
Kwa Dar ni kawaida sana unaweza kuishi miaka na miaka bila kuonana na ndugu au jamaa yako anayeishi hapohapo Dar labda hadi muwe mmekubaliana muonane. Kuna mkoa gani mwingine una sifa kama hiyo...
0 Reactions
10 Replies
505 Views
Mhhh, watu wanapeana ushirikiano jamani. Inaonekana huu mchezo unapendwa na jinsia zote, sasa ni kuwatenganisha tu kama talebani. ==== Pia soma: Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio...
47 Reactions
216 Replies
31K Views
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Hiyo siku ya Jana nimeimaliza kwa vichomi na kutetemeka hali sio poa baridi kinoma..vipi huko mikoani wenzetu Hali ikoje mwezi JULY 🥶🥶
0 Reactions
3 Replies
267 Views
Nyuzi ya kutambua waliotufurahisha kwenye majukwaa ya JF kwa nyuzi walizoandika au majibu waliyotoa kwenye replies ndani ya wiki hii. Watu walionifurahisha humu ndani wiki hii ni Nusratt ...
15 Reactions
435 Replies
9K Views
Shalom, Daah nimepita jumapili na jumatatu pale Arusha Kila mwenye Bar anafanya ubunifu wa kuweka Wahudumu Wenye Matako mazuri na makubwa ni full shangwe. Sijui hii tabia ya Arusha na matako...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Watu wa Dar, hizi nazo mnakula?
5 Reactions
15 Replies
714 Views
Ipo hivi nilimuita mshikaji tupige story moja mbili sasa tulianza usafi hapa na pale baada ya kumaliza nikaanza kuandaa chakula namuona jamaa ana zunguka ndani na viatu nikamchana sipendi mtu...
31 Reactions
176 Replies
4K Views
Eli Cohen ndiye modi aliyejipiga ban baada ya kupata udhuru fulani na baada ya kumaliza shughuli zake akabonyeza kitufe cha kurudi hewani na amerudi. Alimpiga mvua kwanza memba mmoja nayeitwa...
11 Reactions
51 Replies
1K Views
Manyanza ni mchangiaji maarufu sana kwenye JamiiForums, mwenye miaka zaidi ya kumi kwenye jukwaa. Anajulikana kwa ushauri wa kina, misimamo ya kidini, na mijadala ya kujenga jamii. Ni mtu...
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Katika ukuaji wangu huu sijawahi kuona mtu yeyote yule akienda kuomba ushauri kwa maiskini. Sababu kuu itakuwa ni nini? Tunawadharau, Hawana mawazo, Hawana dira, Ubongo wao haufanyi kazi au...
6 Reactions
80 Replies
2K Views
Hii video ameipost Mwenyewe humu Jf kwenye uzi mmoja hivi ...
17 Reactions
74 Replies
3K Views
Maisha ni magumu kwa asiyelima na kufuga, anayetegemea apate shilingi mia ndio iwe unga, kitunguu, nyanya n.k Kama una lima na kufuga, tayari unakuwa na uhakika wa chakula pamoja na hela za...
16 Reactions
63 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…