JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wajumbe mko aje eti kati ya hawa miamba wawili ,nani anamsigina mwenzie Pesa ndiyo inamaliza shida au shida ndiyo inamaliza pesa.Toa facts
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Zamani ilikuwa akitoa habari tu lazima members kibao tukimbilie kuisoma na malikes kama yote. Yaani baada ya dakika mbili tatu tu utakuta kuna pages kibaaao, views nyingi mnooo. Habari zilishiba...
10 Reactions
72 Replies
4K Views
2016 kurdi nyuma nilikuwa sipitishi siku sijaingia humu. Ila kwasasa majukumu yanabana sana. Ukiwa free ndiyo muda pekee wa kucheza na watoto. Nadhani hili halinitokei peke yangu tu. Binafsi...
20 Reactions
337 Replies
11K Views
Hello, Leo birthday yangu wajameni, karibuni kwangu. Namshukuru Mungu kuruhusu nije duniani, lakini pia kunifikisha usiku ya Leo. Asante mama luckyline, kunileta duniani siku kama ya Leo...
9 Reactions
49 Replies
4K Views
Nikupongeze tu Bwashee Erythrocyte kwa namna unavyoturipotia yanayoendelea hapo Mbeya BAVICHA wote wanawatenga Dr. Slaa na Mwabukusi kwa sababu walihama CHADEMA baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015...
2 Reactions
13 Replies
894 Views
Kama macho yako yanaona vizuri, nioneshe watu saba na paka katika picha hii.
1 Reactions
2 Replies
754 Views
Nipe masharti yako ili nitajirike, tuone mwenye masharti magumu 😂
2 Reactions
17 Replies
855 Views
wazungu walipagawa, majaji hawakukaa kwenye viti muda wote walikuwa wanashangilia..shukrani kwa mtaalamu wa subtitle maana alisaidia sana kuitafsiri movie hii kali iliyoileta kwa heshima taifa la Tz
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Habarini Wanajukwaa. Leo ningeomba ku-declare interest kuwa hakuna jukwaa la kidigitali ninalolikubali kama jamii forums.Sababu kuu ni matumizi ya misamiati ambayo sijawahi kuisikia mahali...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Ni mwenyeji wa Tanga ambaye tulikuana Mtwara Masasi na Singida kama yupo humu tuwasiliana hapa
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Dah mida hii naingia zangu telegram nakuna na Boss join kwenye group la ovyo sana, sasa najiuliza how ameweza jiunga halafu ni mtu anaheshimika sana Dah nawaza nileft mimi au nibaki nikomae
8 Reactions
104 Replies
19K Views
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza wazi kabisaa Kama uliwahi soma kisa cha ukweli ,iwe kinahusu mapenzi harakat za maisha, matukio mbali mbali ya kihistoria Just share with us Na sisi...
1 Reactions
0 Replies
455 Views
1. Mama: Naongea na wewe unajifanya kukaa kimya siyo? Mtoto: Lakini mama...... Mama: Nyamaza, yaani mimi naongea na wewe unaongea? 2. Haya nenda kacheze halafu uchelewe kurudi. (Kakwambia...
18 Reactions
78 Replies
5K Views
1. Mke/mume 2. Shilingi bilioni 35 3. Mbinguni/Peponi 4. Wazazi
4 Reactions
20 Replies
743 Views
Hivi daktari wa matibabu(MD) akiwa PhD holder anaitwaje?
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Maelekezo aliyowapa wenzie yameigharimu timu, alafu kibaya zaidi baada ya Yanga kupoteza amekutwa chooni akicheka kwa furaha.
9 Reactions
11 Replies
1K Views
Nmechoka kuficha ndugu zangu mimi kazi kubwa mjini nabeti hakuna kingine uboss wote nautolea hukoo kwenye igaming jamani, Ni pata potea hapakaliki kivumbi uko kwenye maslots mpaka ugali...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Kwanza mpira haramu Kwanza mpira kamari Penati hazina mwenyewe Hata mastar wanakosa Ally salim mwanga Kwanza tumepiga mpira mwingi basi tu.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
1. Lack of capital 2. Poor government system 3. Lack of skilled labor 4. Dependance of import goods 5. Poor contract agreement between investors and the government 6. Extreme corruption among the...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…