JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sote tumekubaliana huu mwaka ni wa kufosi, Leo ni tarehe 1/06/2024, maana yake tumeimaliza nusu ya kwanza, tunaanza nusu ya pili. Je, mpaka Sasa ume force kiasi gani? au bado unasubili mchongo...
2 Reactions
3 Replies
422 Views
Wakuu kupitia JF imetufanya tuwe kama ndugu na pia JF ni chombo kilichotuunganisha watu tofauti tofauti. So sioni ubaya wowote kama siku moja nitapata moja baridi na huyu member wa JF ledada...
11 Reactions
87 Replies
4K Views
Yani kuna hali yanifkirisha,au sijui ndiyo akili za weekend...!? Mtu kukua kutoka umri wa miaka 10 hadi 20 ilichukua mda mrefu sana. Ila Kukua kutoka umri wa miaka 20 hadi 30 mbona imefanyika...
7 Reactions
20 Replies
785 Views
Wewe ni tajiri au masikini? Tuwekee picha tuone maana mmezidi kujitapa nyie matajri.
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Huu uzi ni kwa ajili ya kusema yale ya moyoni, yaani kusema yale ya kweli kabisa. Binadamu tumeumbwa kwa hali tofauti na vipawa tofauti hasa katika suala la kujadiliana mada za kielimu yaani...
6 Reactions
97 Replies
6K Views
Siku ya kwanza kuchungulia jf kabla sijajiunga niliwakuta watu mashughuri sana wawili mshana na Mrs mshana demiss nakwambia kulichangamka sasa sahivi sijui mahaba yao yaliishia wapi?
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu muda sio muda natarajia Kula hiki kipande (Mombo to Segerea) naelekea Tanga, katika memory zangu sitakaa nikisahau hiki kipande kabisa, kila nikipita hapa huwa nacheka, it happened kama...
6 Reactions
12 Replies
790 Views
Tangu nimejiunga JF 2010 mpaka leo nimepata likes 29,927(Hizi hazihusiani na lile jukwaa ambalo hata ukijamba unapata LIKE). Nawashuru wote walio-LIKE posts zangu zinazofika 30,806. Kwa kuwekea...
37 Reactions
403 Replies
16K Views
Yaani ni kama kumsukuma mlevi tu Funguka....
2 Reactions
56 Replies
1K Views
Wakuu, Hivi huyu member wakuitwa Tatiana yuko wapi? Niwahi kua napenda michango yake na alikua decent kupita maelezo. Hapatikani na najaribu kuangalia ni kama hayuko active. Wanaomfahamu...
0 Reactions
4 Replies
423 Views
Habari zenu na poleni kutokana na jitihada za kujikinga na ugonjwa wa kukosa pumzi Huyu jamaa mkwepu nimetokea kumpenda bure tu jamani yaani kila post au koment nayoiona mjamaa kashaitembelea...
29 Reactions
64 Replies
4K Views
MAJINA YA GIRLS/WOMEN NA SIFA ZAO KWENYE MAPENZI 1.Nancy - Muongo 2.Julieth - Kicheche 3.Mary- Anapenda mwanaume kwa kitambo kirefu 4.Precious - Anapenda kusikilizwa kuliko kusikiliza...
4 Reactions
162 Replies
108K Views
Eti wanaume wenzangu ni mrembo gani humu jf unatamani sana awe wako wa milele?
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Mambo vipi wanachit chat.Bila shaka mko Salama. Kupitia Uzi huu hebu tueleze ukweli ni jukwaa gani ukiingia JF lazima liwe la kwanza kuperuzi??. Naanza na Mimi mwenyewe .Binafsi kuna vitu huwa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wana MMU je, wewe mwanaume wa JF ni mwanamke gani wa JF ungependa kukutana naye hivyo hivyo kwa mwanamke ni mwanaume gani wa JF ungetamani kukutana naye?
12 Reactions
683 Replies
28K Views
Nawasalimu kwa jina la katiba mpya#Mbowe siyo gaidi. Huu ni uzi wa memes kali.Screenshot memes kali then uzitupie kwenye uzi huu ili tufurahi pamoja lkn,tuendelee kumuombea Mh.Mbowe kwa kuwa yupo...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Nimeshangaa kuona kuna watu wana likes zaidi ya laki na nikashangaa wengine hawana hata likes 20 hawana na ukute account ina miaka 10. Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu...
17 Reactions
43 Replies
2K Views
Mwana jf yeyote aliyekaribu na MAMIZ pub mwanza. Karibu tuage mwaka.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za muda ndugu zangu, Mimi ni mpenzi wa nature naombeni mnitajie sehemu nzuri zenye nature kama milima, bustani za maua, miti, camps, beach ambapo zinafaa Kwa honeymoon, vacation zenye...
7 Reactions
76 Replies
3K Views
Wadau nataka nihamie Sinza niambie Sinza ipo nzuri yenye watoto wakali na Bei elekezi ya master
0 Reactions
7 Replies
751 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…