JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tanzania and Nigeria, two prominent countries in Africa, share numerous similarities in their legal frameworks due to their colonial histories and subsequent legal evolutions. Both countries have...
1 Reactions
0 Replies
474 Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Maisha ya binadamu yapo kwenye msingi wa vitu vitatu. Kula, Kunya na Kujamiana Na vyote hivi vitatu vinawezeshwa kikamilifu na pesa. Tutafuteni pesa asee.
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Yaani na ndevu zangu na ukubwa huu lakini bado nikichukia naanza kulia, mfano juzi kati kuna mtu alinisingizia kitu ambacho sikufanya nikajikuta tu naanza kulia mbele za watu, baada ya kulia...
1 Reactions
5 Replies
572 Views
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi. Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za...
59 Reactions
500 Replies
15K Views
Msaada kwa anaye fahamu namna ya kufungua, tangu jana sijanywa maji kabisa ☹️
16 Reactions
102 Replies
3K Views
Nitavumilia tu hadi nikirejea kwa Mapumziko au Majukumu yangu Kumalizika huku ili niendelee Kula Mdudu (Kitimoto) kinachopikwa vyema na Watanzania. Yaani Wabongo wote mlioko hapa Jijini Kampala...
8 Reactions
76 Replies
3K Views
Nina 'likes' nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii, lakini hizo 'likes' hazinisaidii chochote katika utatuzi wa changamoto zangu za kimaisha. Nini kifanyike ili hizo 'likes' zibadilike na kuwa...
3 Reactions
11 Replies
647 Views
Nigerian guy living in Sweden smartly married a Swedish lady, so as to be legally certified with resident permit, but the lady was not aware of this. He lied to the lady that he is from Kenya...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna profile unaziangalia unataman kabisa kama Kasie cariha yna2 kumbe si za kwao hapo tunachanganyana. Jamani wadada tumia angalau sura zenu
10 Reactions
78 Replies
7K Views
Zamani nilikuwa najua watu wanao kimbia madeni wanafanya kusudi 🙌🙌🙌
15 Reactions
58 Replies
3K Views
Ni kipata tafsiri kamili ntaweza ku- comment kwa viongozi wa Tanzania huyu ngombe walimfanya je, baada mwl Nyerere.
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Wakuu nimechoka toka jana sijalala... Nahisi kuchanganyikiwa... Nahisi maluwe luwe . Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu... Nimechoka sasa nimechoka. Kama mbwai iwe mbwai tuu...
9 Reactions
108 Replies
4K Views
Uongozi wa JF, Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha. Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox. Ahsante, nawasilisha.
30 Reactions
321 Replies
7K Views
Uongo wangu kwa siku ya Leo 1. Mimi ndio nimemtuma Mzee wa Magoma wa Yanga aende mahakamani ili tumuondoe Eng Hersi, alafu baadaye nichukue timu. 2. Vijana wa Gen Z Kenya nawalipa ili...
0 Reactions
12 Replies
546 Views
Tunda hataki mazoea kabisa na vijitu vya ajabu ajabu, na amedhihirisha hilo kwa kumtamkia maneno makali kwa aliyekuwa mpenzi wake Casto Dickson kwamba akome kumfuatilia na ajue kuachwa sio kila...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Nakumbuka nikiwa nakua kila nikiosha vyombo bibi alikuwa anasisitiza nianze na vikombe na glass za maji ili visiwe na harufu ya mafuta au michuzi. Ila sasa hivi naweza anza hata na sufuria...
3 Reactions
15 Replies
936 Views
Kitanda Fridge Gas cooker/ jiko la mkaa/ stove Subwoofer TV pana kiasi Leseni ya kuendesha gari Kabati la nguo na viatu Feni Sofa Mchongo wowote wa kukupa kipato halali Then baada ya hayo...
9 Reactions
24 Replies
1K Views
Sasa hivi angekuwa studio ana rekodi ngoma " WHO SHOT YA" . Just like what Biggie did in 1994 after Pac was shot at the Quad Studio premises.
2 Reactions
1 Replies
405 Views
Habari za muda huu ndugu zangu, Nipo safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha na basi la BM T817 DY. Safari inaonekana kuwa ya kawaida sana, maana hapa nimekaa na bibi mtu mzima ambaye amelala...
0 Reactions
29 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…