JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nina rafiki ambaye ni mpenda sifa mimi mtu mwenye sifa siwezani nae naweza kaa nae mnapiga story za kawaida tu ila ataanza jisifia hapo mara yeye hivi mara vile ni kero for sure Mimi sipendi...
9 Reactions
41 Replies
1K Views
1. Kutembea na toothpick baada ya kutoka kula na kuchokoa meno hadharani. 2. Kuruka foleni (jumping queue) 3. Kuficha nyaraka ili uonekane mjuaji Uzi tayari
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu sasa nimerudi mjini kutoka kijiji Mbeya, hapa nina ideas kama 10 zikupiga hela za Watanzania kihalali bila kutumia nguvu. Huku soko langu kubwa likiwa: 1. Wazee wanaoogopa kufa 2. Wamama...
9 Reactions
61 Replies
2K Views
Wakati wa kununua ng'ombe, usinunue kijijini kwako. Kwa sababu siku moja ng’ombe akienda mtoni kutafuta maji au kunywa maji, na mwenye ng’ombe wa zamani aliyekuuzia akimuona anaweza kumuelekeza...
8 Reactions
15 Replies
683 Views
Ni Mzee ambaye pamoja na kuwa ni mwana Yanga SC na Mimi kuwa mwana Simba SC ila huwa ananichekesha mno.
5 Reactions
15 Replies
518 Views
Daah! jela bana.. Sitasema kosa langu ila Mamndenyi analijua.. na hata sema.. Nafili maugwadu ugwadu.. Jembe langu Erickb52 unanipoza na nani kati ya Chocs au Kipipi?.. Kule kwenye seva...
4 Reactions
241 Replies
11K Views
Wana CC, Hope mko vyema.. najiingiza hapa nikiwa murua kabisa! Nahitaji kufanya mahojiano ya wazi na wadada wafuatao, Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature.. Kama mpo tayari naombeni...
0 Reactions
337 Replies
13K Views
Tutafute pesa sana, jirani yangu kanunua TV mpya alafu ananiuliza kama nahitaji box?.
39 Reactions
57 Replies
2K Views
Kila unachofanya unakuwa bored afu wimbo wa Damian Marley Jr na Bruno Mars liquor store unajirudia kichwani. I'll take one shot for my pain One drag for my sorrow Get messed up today I'll be ok...
2 Reactions
3 Replies
437 Views
Leo ni friendship day Nani rafiki yako kindaki ndaki
6 Reactions
57 Replies
1K Views
Kadri unavyokutana na kujuana na watu wengi ndio unagundua kwanini Nuhu alibeba wanyama wengi kwenye Safina kuliko BINADAMU! 🤔
1 Reactions
0 Replies
170 Views
Nimeipokea miaka 27 nikiwa (happy) happily regardless of the future...... Nisaidieni kuniwish basi
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Kipindi nasoma A level kuna Aunty yangu alinikopa hela tena ilikuwa ada ya shule ili afanye kama mtaji wa kuanzisha biashara yake ya kuuza mashuka ya mitumba akasema atairudisha kabla hatujaanza...
23 Reactions
93 Replies
4K Views
Hellow Huwa kuna mda naumia sana nikiona mwanamke up now anategemea kuomba pesa kutoka kwa bwana wake au mtu yoyote kama upo hai tafuta pesa yako pesa ya kuomba inamasimango unakuta mwanamke up...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
Hello Guys ‼️ Ipo hivi, mmekaa na mtu mnashare moja mbili tatu ghafla pua imemwasha anaanza kujisafisha pua Kwa mkono anamalizia alafu baada ya muda kidogo kwenye story limeingia jambo la...
3 Reactions
9 Replies
580 Views
Jogoo anajuaje kama sasa hivi ni alfajiri au jioni imefika? Na kukisha pambazuka hawiki tena? Kwanini wasiwike muda wowote saa yoyote?
20 Reactions
83 Replies
3K Views
Unakuta mwanamme mzima anajiangalia kwenye simu ama kioo huku akitumia ulimi kuulamba lamba mdomo kama chizi! Janaume jingine unakuta lina setiseti nywele huku likipindua shingo kama jehu vile...
7 Reactions
29 Replies
998 Views
MACHI 13 MWAKA HUU, Jeshi la polisi lilimnasa kijana Rajabu Ismal (20) maalufu kwa jina la Anti Rama, mkazi wa Buyekele mjini Bukoba baada ya kukamatwa akiwa na vijana wawili usiku amevalia mavazi...
0 Reactions
87 Replies
40K Views
Mtu unajianzishia Uzi wako anakuja kucoment ilimradi akukere. Tag anyone you wish. Me naanza na Lucas Mwashambwa
19 Reactions
112 Replies
3K Views
Habari Katika mwili wa binaafamu Huwa Kuna viashiria vingi vinavyotokea kutokana na baadhi ya viungo kucheza....mfano wa viungo kucheza ni kama.. 1.Pua kucheza 2.kung'ata ulimi 3.ngozi juu ya...
3 Reactions
68 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…