JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakati kundi la watalii lilipotembelea shamba la mamba, mmiliki wa eneo hilo alizindua shindano la ujasiri, kwa kuwaambia wageni waliohudhuria kwamba.. "Yeyote anayethubutu kuruka, na k kuogelea...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Wadau kama week mbili hivi nipo tu home.sijatoka hata nje tu ya nyumba ninayoishi.ambacho huwa nafanya ni kuziwasha tu gari after five days engine iungurume hata masaa matatu then nazima. Sitoki...
55 Reactions
62 Replies
7K Views
Habari zenyu wapendwa, Nina kiushauri kidogo kwenu wanaume au wababa. Ukiwa au ambao mko na familia zenu tayari, yaani una mtoto au watoto usiwe baba ambaye ukifika tu nyumbani kila mtu anaingia...
17 Reactions
88 Replies
6K Views
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao. Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo...
22 Reactions
168 Replies
4K Views
Habari zenyu! Niende straight kwenye mada kuna baadhi ya watu sijui wana matatizo gani yaani unakuta watu wamepishana kidogo wanaanza kusemeana maneno machafu kuhusu wazazi smdh! Haijawahi...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari, natamani kupata marafiki wa kubadilishana nao mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya maisha . Umri wowote na jinsia yoyote Kama uko interested karibu.
7 Reactions
11 Replies
797 Views
Kuna Mtu nimemtuma kuja Dar es Salaam kunifungia Mzigo wa Calculators ili nizilete hapa Kampala Uganda niziuze kwani zina Soko naambiwa kwa Wiki hii nzima hazipatikani Madukani kote kwa Kununuliwa...
6 Reactions
16 Replies
832 Views
1. Wapare 2. Wakinga 3. Waha 4. Wagogo 5. Wachagga 6. Wakurya 7. Wajita 8. Endeleeni na orodha kama Taifa tukubaliane kuwa Wapare, Wakinga na Waha hawana mpinzani Naomba kuwasilisha Pang Fung Mi
14 Reactions
100 Replies
4K Views
Pacome ZOUZOUA aomba kuondoka Yanga! Kiungo mshambuliiaji wa Young Africans raia wa Ivory Coast ameuomba uongozi wa Young Africans jana jioni kuondoka kwenda Gym kufanya mazoezi ya viungo ili...
12 Reactions
17 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Watani mnahusika Lete utani wenye kuudhi na kukera nami nitakujibu Naanza mimi ninyi Waha kwenye treni ya sgr haiwafai endeleeni kutumia ya mkoloni
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Hivi kwanini kila soksi ninazonunua zinaisha hivi hata miezi 3 haifiki? 😑😑😑 Ni mimi tu au nitafute soksi za chuma??? Kwa sababu nimechoka!
5 Reactions
104 Replies
3K Views
Tuadhie vitoto vya 2000 huyu jamaa alikuwa anaitwa nani na mambo yake yalikuwajeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9 Reactions
86 Replies
3K Views
Habari....πŸ‘‹ Nilikua sijawahi kuifuatilia hii series, nilipoicheki tu looh nimenogewa. Imebidi niwe naangalia episode moja moja ili nisiwahi kuimaliza na nishakusanya Season 1-7 so sina wasiwasi...
20 Reactions
116 Replies
11K Views
😁😁😁
0 Reactions
9 Replies
670 Views
Ikiwa Leo ni Kumbukizi ya Kuzaliwa kwangu, Umri ukiwa umesogea sana nimeona niwaachie ujumbe kidogo Maisha yanapokupa baraka nyingi usikimbilie kusema wenzako ni Wavivu, watu wapo kimya hawasemi...
2 Reactions
6 Replies
705 Views
Na kalaga baho Wazee toka nije paje nimevutiwa sana na maisha ya ubichi boi, imenipa ari na nguvu ya kuongeza siksi paki na kushinda na vibukta bichi. Hapa nina mpango nifuge na rasta kabisa...
16 Reactions
84 Replies
4K Views
Binafsi mimi Mshana Jr. Maandiko yake ya kiuchunguzi ya ulimwengu mwingine. Kongole kwa Mshana Jr. Wewe nani anakuvutia hapa JF?
8 Reactions
40 Replies
2K Views
2 Reactions
2 Replies
205 Views
Wadau Hiki kilikuwa ni moja ya vipindi maarufu vya RTD hsawa kwa watoto hasa kwa watoto wa primary enzi hizo. Watanzagaji wake nadhani alikuwa ni Debora Mwenda. Kuna zile hadithi zilikuwa...
3 Reactions
23 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…