Unakutana na mtu anadai hali Kitimoto lakini anakula SAUSAGE, si kujidanganya nafsi? Huku ni kujidanganya nafsi, na wakati unajua imani ya dini hairuhusu. Takbiiiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kipi kinauma sana MOYONI:
1.Kudharauliwa.
2.Kumpenda mtu asiyekupenda
3.Kuwa mpweke.
4.Kutofurahiwa na watu.
5.Kufeli mitihani.
6.Kumpoteza mtu muhimu.
7.Kumuona umpendae akiwa na mpenzi mwingine...
Habari zenu Wana JF wenzangu!
Kwa kujiunga ni new member lakini nimekuwa nikisoma nyuzi mbalimbali za mahusiano forum Toka 2014 Bila kulog in, nikafanya maamuzi nijiunge maana nimekuwa napata...
Wiki ijayo narudi kazini sitakua na muda tena wa kuingia humu mara kwa mara. Njooni mshare na mimi vituko vya mwisho mwisho basi, nikiwamiss nije kuusoma huu uzi.
Nini umekiona kwenye jukwaa wiki...
Huyu mlokole anafanya kazi ya uhasibu kwenye shirika kubwa, lakini hajawahi kuiba hata senti. Eti anasema wezi hawataingia mbinguni. Mtu ana nafasi ya kutajirika haraka kwa pesa za shirika, yeye...
Jana bwana nikiwa natoka job nikakutana na jamaa yangu mmoja akanipa lift akiwa na wife wake na shangazi wa mke wake naweza kusema na yeye ni mkwe wake.
Tukiwa maeneo ya Aga Khan upanga ghafla...
Mapenzi upofu
Sisikii Wala sioni kwa Lamomy
,nawaza hili litakua jishangazi la mwendo Kasi, Lina mipaja na miguu minene, atakua na nyonyoh kubwa kubwa zilizojaajaa
Kila nikimfikiria simpatii...
Mzuka wanajamvi!
Freemasons tafadhalini muondoeni Elon Musk kwenye hiyo nafasi na hata kumi bora hasiwepo.
Yani mmetuletea mtu wa ajabu sana. Yani bora nyakati zile mlituwekea kina Bill Gates na...
Utaweza kweli 😂
Kuna tukio la ujambazi limetokea mtaa wa jirani na jambazi ni kati ya Alex, Ben, Rick na Maria angalia hii picha.
Ila walipofuatwa na polisi kila mtu alidai kwamba hakutoka usiku...
Unapokosa hamu ya chakula na una njaa basi jaribu hii option chipsi yai, nyama na soda baridi. Chipsi Ina ladha nzuri compared na wali au ugali.
Chipsi Ina historia baadhi ya mabinti wamepoteza...
We jaribu kununua ice cream za bakhresa kula.
Nunua chips yai na kuku na milinda nyeusi onja.
Nunua mishkaki
Yani ni vingi tu, nimengundua ni vitamu sana, hakuna haja ya kujinyima raha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.