Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
  • Sticky
Habari zenu Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka..... Nini madhumuni hasa 1)kwa wale...
30 Reactions
338 Replies
269K Views
Dah hii juice ina sukari nyingi sana.. Haijakaa sawa haswa kwa matumizi ya watoto na wazee..
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wana jf! Naomba kama kuna anayefaham madhara ya kuhifadhi juice kwenye freezer, maana nina mazoea ya kutengeneza juice then naweka kwenye freezer natumia hata siku tatu. Ila leo jirani...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Mahitaji 1)sukari (granulated sugar) 1cup 2) mayai 4 3)maziwa kikombe 1 4)mafuta ya kupikia(vegetable,corn au canola) kikombe 1 5)unga wa ngano 2 cups 6)1/3 vanilla ya unga au arki ya vanilla...
14 Reactions
81 Replies
28K Views
1 kg Viazi mviringo/ulaya 1/2 kikombe unga wa ngano 1 kijiko bizari(rangi ya mchuzi) 4 malimau/ndimu au upendavyo chumvi kiasi 6 ltrs maji...yakutosha kuivisha Namna ya kupika 1)Chemsha viazi...
5 Reactions
15 Replies
19K Views
saves up to 10 persons ingredients; 1/4 lit plain yogurt 1 lemon, juiced 3 garlic cloves minced salt to taste directions In a small mixing bowl, combine yogurt, lemon juice, garlic, and salt...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mahitaji 1)Unga vikombe 4 vikubwa 2)Hamira 1 tablespoon 3)Asali 3 tablespoon 4)Maji ya uvuguvugu (warm) kikombe 1 kikubwa 5)Mtindi (yogurt) kikombe 1 kikubwa 6)Mafuta ya kupikia 1 tablespoon...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimejipiga mwenyewe nikanunua azam unga,maziwa,samli,mayai. Nikachemsha samli iyeyuke nikachanganya unga,yai moja,chumvi kidogo,na sukari kiduchu kwa ladha maji yakawa maziwa nikakanda weee mpaka...
1 Reactions
21 Replies
13K Views
Pana utafiti uliisha fanywa kuwa kutumia mifuko ya plastiki kufunikia wakati wa kupika ni hatari kwa afya. Lakini hapa Dar mama lishe wengi wanaitumia katika kupikia vyakula. Hivi mamlaka husika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau. Nimetembelewa na muhindi ofisini. Natafuta migahawa ya kihindi Dar ili jamaa at least mida ya misosi ajihisi yupo Delhi. He likes biryani. Natanguliza shukran:)
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tupia pic ya chakula pendwa usichokikinai daily... Kwangu mimi Ugali nyama mix mboga za majani Yummy
4 Reactions
11 Replies
900 Views
Copy to gorgeousmimi farkhina
5 Reactions
13 Replies
4K Views
Mi napenda sana! 1.Ndizi nyama 2.Ugali na nyama choma.
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Mko poa? Kama ndio jambo jema na Nafurahi kwa ajili yenu wote kuwa na afya. Imekuwa ni kawaida kama sheria kwa familia nyingi za hapa kwetu Tanzania ikiwa ni siku za sikukuu chaula ni pilau...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
1 Reactions
4 Replies
674 Views
Katika siku za week naipenda sana Jumamosi. Hii huwa naitumia kufanya shopping ya Vegetables na Fruits pia kufanya mapishi au kuandaa juice/smoothie. Jumamosi hii nlikuja na kitu kizito. Huu ni...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiukweli najiuliza matajiri na wazungu wamewezaje kula matunda tu kama msosi wa jumla hasa usiku? Yaani eti anakula matunda tu analala! Nikaona isiwe ishu, acha name nijaribu. Saa 2 nikala...
35 Reactions
78 Replies
9K Views
Nadhani hakuna chakula kinachosambaza magonjwa Tanzania hii kama kachumbari. Mtu anaenda maliwatoni na maji ya kopo. Hata hajajitawaza vya kutosha anakuja kukata kachumbari. Wewe unapewa hiyo...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Watermelon Soup Diana Herrington | July 15, 2012 | 0 Comments Ingredients 4 cups cubed seeded watermelon 2 tablespoons...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ingredient 1/2 water melon 5 lemons 1 glass sugar 5 glasses water Ice cubes Maelezo. Likate hilo water melon, ondoa magamba yake na tumba zake. Kata ndimu na kamua ili upate majmaji yake...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
A salaam Aleykhum wanaJF wote. Please, kwa mlioko katika jiji tajwa, ni mitaa gani, hotels or so tunapata chakula ya Kitanzania Original? Natanguliza shukrani za dhati kwenu wote. :wave: Kamarada.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom