Habari zenu
Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka.....
Nini madhumuni hasa
1)kwa wale...
Habari wana jf!
Naomba kama kuna anayefaham madhara ya kuhifadhi juice kwenye freezer, maana nina mazoea ya kutengeneza juice then naweka kwenye freezer natumia hata siku tatu.
Ila leo jirani...
Mahitaji
1)sukari (granulated sugar) 1cup
2) mayai 4
3)maziwa kikombe 1
4)mafuta ya kupikia(vegetable,corn au canola) kikombe 1
5)unga wa ngano 2 cups
6)1/3 vanilla ya unga au arki ya vanilla...
1 kg Viazi mviringo/ulaya
1/2 kikombe unga wa ngano
1 kijiko bizari(rangi ya mchuzi)
4 malimau/ndimu au upendavyo
chumvi kiasi
6 ltrs maji...yakutosha kuivisha
Namna ya kupika
1)Chemsha viazi...
saves up to 10 persons
ingredients;
1/4 lit plain yogurt
1 lemon, juiced
3 garlic cloves minced
salt to taste
directions
In a small mixing bowl, combine yogurt, lemon juice, garlic, and salt...
Pana utafiti uliisha fanywa kuwa kutumia mifuko ya plastiki kufunikia wakati wa kupika ni hatari kwa afya. Lakini hapa Dar mama lishe wengi wanaitumia katika kupikia vyakula. Hivi mamlaka husika...
Habari wadau. Nimetembelewa na muhindi ofisini. Natafuta migahawa ya kihindi Dar ili jamaa at least mida ya misosi ajihisi yupo Delhi. He likes biryani. Natanguliza shukran:)
Mko poa? Kama ndio jambo jema na Nafurahi kwa ajili yenu wote kuwa na afya.
Imekuwa ni kawaida kama sheria kwa familia nyingi za hapa kwetu Tanzania ikiwa ni siku za sikukuu chaula ni pilau...
Katika siku za week naipenda sana Jumamosi. Hii huwa naitumia kufanya shopping ya Vegetables na Fruits pia kufanya mapishi au kuandaa juice/smoothie.
Jumamosi hii nlikuja na kitu kizito. Huu ni...
Kiukweli najiuliza matajiri na wazungu wamewezaje kula matunda tu kama msosi wa jumla hasa usiku?
Yaani eti anakula matunda tu analala!
Nikaona isiwe ishu, acha name nijaribu.
Saa 2 nikala...
Nadhani hakuna chakula kinachosambaza magonjwa Tanzania hii kama kachumbari.
Mtu anaenda maliwatoni na maji ya kopo. Hata hajajitawaza vya kutosha anakuja kukata kachumbari. Wewe unapewa hiyo...
Ingredient
1/2 water melon
5 lemons
1 glass sugar
5 glasses water
Ice cubes
Maelezo.
Likate hilo water melon, ondoa magamba yake na tumba zake. Kata ndimu na kamua ili upate majmaji yake...
A salaam Aleykhum wanaJF wote.
Please, kwa mlioko katika jiji tajwa, ni mitaa gani, hotels or so tunapata chakula ya Kitanzania Original? Natanguliza shukrani za dhati kwenu wote.
:wave:
Kamarada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.