Wakuu,
Nimekuwa nikifuatilia suala la leseni ya udereva tangu April hadi leo sijapata. Naambiwa Hazitolewi, kuna ukaguzi sijui wa vyeti.
Naomba kujua kama ni kweli zoezi limesimamishwa au la. Kama halijasimamishwa, naomba kujua nitumie mbinu gani kuipata kwa haraka.