Kila la kheri Jean Charles Ahoua mr Top Scorer
Yapo mengi utayakumbuka kuhusu ligi kuu Tanzania
Yapo mengi utayahadithia kuhusu Boli la Tanzania
Ila kuondoka bila Tuzo Yako,Kuondoka bila...
Yani mwenzenu ni mesuka mkeka Multbet yangu safi timu sita Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, Barcelona vs Young boys nikampa Barcelona, inter Milan nikampa kushinda Leverkusen naye nikampa kushinda...
25 January 2026
Nairobi, Kenya
Nairobi United 1 - 2 AZAM FC , Chiefs yapata ushindi Ndola
https://m.youtube.com/watch?v=eXeSXYEB-7s
Mechi za Kombe la Shirikisho la TotalEnergies CAF ziliendelea...
Yanga anazo point 31 kwenye rank za CAF, Simba anazo point 39, tofauti yake ni alama 8
Yanga akiingia makundi anaongeza alama 2×5=10, ukijumlisha na 31 walizonazo wanafikisha 41, hapo ni kama...
Mpaka sasa Yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya CAF ranking.
Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo Yanga atafuzu robo fainali...
Dah huyu jamaa nmfananisha na Nabii Lema
Kila kinachongelewa nae kinatokea
Majuzi kabla ya mechi aliulizwa vipi mnaenda kutoa utamu 🇹🇳
Jibu zuri kabisa utamu mpaka ufungwe mara 2...mara 3 sio...
ALISIKIKA MLEVI MMOJA SHABIKI WA SIMBA RAHIM SAID AKA DK MANGUNGU
KIJANA BAADA YA MECHI ALISEMA KWA UWEZA WA ALLAH TUTAFIKA ROBO
TUKAULIZA YA SUKARI YA MCHELE
YAKAANZA MATUSI ILA HATIMAE...
GAZETI LA MWANASPOT
SIMBA YAWEKA REKODI MPYA YA VIPIGO CAF TANGU ......
HATA HIVYO WANACHAMA WAMESEMA WAFANYE WAFANYAVYO WAO WANAITAKA ROBO FINALI
😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 NAPITATU
AL Ahly vs Yanga Leo Saa moja usiku kwa saa za Afrika Mashariki Afrika itasimama yote kupisha mtanange mkubwa zaidi kati ya Al Ahly SC na Yanga SC Kaa nami katika Uzi huu kwa update zaidi
Kikosi...
Nadhani Morocco kuna kitu wajifunze. Jamaa pengine ile kubebwa iliwafanya wachukiwe na watu wengi. Hadi nchi za Kiarabu nyingine zilifurahia tukio hili.
The Oval
Windhoek, Namibia
West Indies vs Tanzania highlights ll world cup 2026 highlights
Mori umepanda juu katika timu ya Tanzania, mashindano ya Kombe la kwanza la Dunia Cricket la #U19...
CAF imesema tabia hiyo ni “unacceptable behaviour”.
Thiaw atasimamishwa (suspension), idadi ya mechi bado haijatangazwa.
CAF inachunguza video zote, na kuna uwezekano wa adhabu zaidi kwa maofisa...
Klabu ya Simba SC imemrejesha rasmi kiungo wake wa zamani, Clatous Chama, akitokea klabu ya Singida Black Stars. Hii ni mara ya tatu kwa Chama kujiunga na wekundu wa Msimbazi, baada ya awali...
Asilimia kubwa ya Mashabiki wa Simba wamekuwa na Mihemko ya kukosoa na kuona kila kitu kinachofanywa na uongozi ni kibaya,hivyo wao kila kitu ni kulalamika tu,wakijazwa upepo na mashabiki wa...