General Museveni akiwa na familia yake baada ya kutoka kanisani. Hapo sambamba na Museveni yupo mama Janeth Museveni ambaye ni first lady na waziri wa michezo na utamaduni Uganda.
Pia yupo Luteni...
Picha zisizo na tafsiri ya moja kwa moja
Picha danganyifu kwenye uono
Picha zenye tafsiri kinyume
Picha msigano
Picha tengefu
Picha za kupima kiwango na afya ya akili..!
Una picha yako ya zamani? ya jamaa yako? Ya ndugu yako? Ama ya mtu yoyote anayejulikana na wengi ungependa ku share nasi ili tutengeneze super album ya JF?
Mimi naanza na hizi. Si ngeni machoni...
Tumekuwa na picha nyingi zinazotutafakarisha vingi vingi, lakini tumekuwa interest zaidi na picha zenye kupendeza, kufurahisha, kuhamasisha, kujifunza na kuburudisha.
Hii itakuwa thread maalum ya...
Anasimamisha magari Kana kwamba ni trafiki anataka kulikagua gari ataingiza limkonga lake dirishani na kuanza kupapasapapasa humo kwenye gari chochote cha kula atakachokutana nacho ni halali yake...
Assalam'aleikum...
Karibuni wote katika sehemu rasmi hapa Jf ya kuelimishana na kuzinduana na kupata maarifa kupitia picha za nukuu na picha zinazohusisha dini ya kiislamu . Baada ya pilipilika...
Wadau hamjamboni nyote?
Pichani ni Kapteni Mabior Garang akiwa amesimama nje ya nyumba ya Mama yake huko maeneo ya Jebel karibu na Mlima Kunjur
Mabior ni mtoto wa Muasisi wa Taifa la Sudan...
Ukweli ni kwamba tangu nizaliwe hadi sasa naelekea utu uzima wenyewe sijawahi ona haya machungwa. Nachojua machungwa aidha yawe matamu au machachu, ila hayakosi maji. Sasa haya sijui ya wapi. Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.