Haya hii ndio kufuru ya kushiba au ndio fashion ? Lady Gaga mwanamuziki wa huko uliko ungua mpini kukabaki shoka akiwa na gauni lilotengenezwa kwa nyama katika hafla ya MTV Video Music awards huko...
mtoto alimuuliza swali mama yake.
Eti mama siku hizi wewe unauza "mchicha" ???
Mama akajibu, hapana mwanangu. Kwanza kwa nini umeniuliza hivyo ???
Mtoto akasema, jana usiku nilimsikia...
Je wajua kuwa licha ya mgombea wa CCM Jakaya Kikwete kukacha mdahalo na wagombea wa vyama vingine anapatikana kirahisi mtandaoni ambapo "anauza" sera zake na "mafanikio" yake?Kama ulikuwa hufahamu...
Hakika kifo hakina huruma, hakina saa wala notisi.Kilichomtokea mzee huyu leo asubuhi pale Ubungo Bus Terminal kinasikitisha sana. Mzee wa watu, ametoka nyumbani kwake asubuhi na mapema...
Sorry pictures zimegoma. Hope wataalamu watatusaidia katika kuzidownload kutoka kwnye blogs mbalimbali. Of course huu ulikuwa uwe mwendelezo wa mwandishi mmoja wa ccm aliyetoa analysis yake humu...
Wakulu ijumaa ndio hiyo tena kesho October 1 pale VIP Diamond Jubilee Hall kutakuwa na Usikuwa Khanga za Kale
Kama kawaida nitawaletea mapicha ya usiku huo wa Kanga atiii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.