Jamaa wamevamia benki kuiba, mkubwa wao akawaambia wateja wote na wafanyakazi ndani ya benki: Laleni chini na kila mtu atulie jinsi alivyo. Hela ni mali ya serikali, uhai ni mali ya Mungu. Nyie...
Katika hali ya kumshukuru Mola, tairi ya mbele kushoto bus la Muro toka Mbeya lapasuka tairi Morogoro wakati likiingia stand kuu ya Morogoro. Mwendo mdogo wa 5km/h umepelekea kulinusuru gari hilo...
Watu hamkunielewa kumbe?......Nilimaanisha hapo ni barabarani anaweza kukanyagwa na magari....sasa nyie mnaleta khabari zingine kabisa.....kwani hamjui kuvaa hivyo ndio fasheni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.