Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Ningependa kujua, je, inawezekana kuwa Rais wa nchi wakati wewe si Raia wa nchi hiyo? Pia ningependa kufahamu, Mungu ni wa dini gani? Je, ni Muislamu au Mkristo? Kwa nini Masheikh na Wachungaji...
8 Reactions
235 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wataalam.. Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology. Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18...
11 Reactions
174 Replies
6K Views
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu. Mimi binafsi 1. Shule Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa...
14 Reactions
90 Replies
8K Views
Kwa watu wengi maingiliano ya kwanza wanayoanza kutambua ni kurudia nambari kama 111 au kuona 11:11 kwenye saa kila mara. ⠀ ⠀ Tukio lingine la kawaida ni kuhisi hisia sawa na dejavu wakati...
9 Reactions
53 Replies
9K Views
Maisha ni hatua iliyojaa Mafumbo Mazito na yenye ukweli wa kuweza Kuaminiwa Badae. Yapo Makanisa Mengi ila Kanisa Katoliki duh huwezi Ukalikimbia popote,Utajishebedua tu kumbe wew ni Mkatoliki...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
The Imafidons are a Nigerian family of 7 living in England. Their father is Chris Imafidon and their mother is Ann Imafidon. Both parents are from Edo state who emigrated to England more than 30...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Waafrika wa leo wamekuwa dhaifu kiasi cha kushukuru na kuthamini viumbe wa mawinguni, ambao hawajawahi hata kuwaona, bali wamesikia tu kupitia watu wengine. Wengi wa watu hao ni wakoloni, wazungu...
1 Reactions
2 Replies
452 Views
Kulingana na evolution inasemekana kulikuwepo na jamii(species) zaidi ya tisa za binadamu ambapo kufikia miaka elfu arobaini iliyopita nane zilitoweka kwa sababu mbalimbali na hatimaye ikabaki...
3 Reactions
13 Replies
778 Views
Kabla ya kuzuka kwa teknolojia hizi mpya, wanadamu walikuwa wakipiga hatua kwa kasi. Sasa ni zamu ya teknolojia kuendelea kwa kasi pia. Kwa nini? Hii ni kwa sababu ni asili ya viumbe wenye akili...
2 Reactions
3 Replies
665 Views
Kwanini B-2 Spirit ni ndege vita nzuri sana kwa ndege za kizazi cha 4 ? B-2 Spirit, pia inajulikana kama Stealth Bomber, ni ndege ya hali ya juu na yenye uwezo iliyoundwa kwa ajili ya misheni...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Dunia yetu inakwama kwasababu tunakataa uhalisia ambao umekuwepo tokea kitambo, binadamu hatufanani. Kuna wanadamu ambao huzaliwa wakiwa na akili kubwa kuliko wengine, kimtazamo, kiutendaji na...
27 Reactions
73 Replies
6K Views
Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu. Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa...
37 Reactions
722 Replies
30K Views
Fahamu kipande Kidogo cha nyama ya mwili wako chenye thamani zaidi duniani. Kipande kidogo cha nyama hiki ndicho rasilimali yenye thamani zaidi duniani. Ubongo, na haswa, ubongo wa binadamu, ndio...
4 Reactions
45 Replies
12K Views
Miongoni mwa wafalme waliokuwa na nguvu sana kipindi hicho alikuwa mfalme Daudi. Nguvu kubwa na alikuwa mzee wa totozi sana lakini pamoja na hayo mungu alimpenda sana, kwa sababu gani? Ni kwa...
1 Reactions
2 Replies
613 Views
Habari,Afrika !!! Kwanza Nianze kwa Kusema,Yupo Njiwa mpya, katika Nyumba mpya, aliyetolewa mbawa zake Ili apajue kwa mtunzaji wake,aliyebakiziwa mbili kulia na kushoto,Ategemeaye kupaa kila...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi. Shetani hana umri wala hana...
21 Reactions
192 Replies
8K Views
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence. Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham...
7 Reactions
460 Replies
47K Views
Wapenzi wasomaji wangu leo ninaendelea na kufumbua macho watu. Mwenye macho haambiwi tanzama, na mwenye akili zake ataweza kung'amua na kuelewa ukweli wa mambo. Leo katika bandiko langu hili...
5 Reactions
34 Replies
8K Views
Imenilazimu nianzishe thread kabisa kuhusu hili taifa la israeli la sasa baada ya kuona baadhi ya thread zilizotangulia nyingi tu zinazo elezea umahiri na ushupavu wa hili taifa la israeli la...
61 Reactions
645 Replies
139K Views
Naombeni msaada kwa wenye ufahamu zaidi juu ya eneo la maajabu liitwalo Bermuda Triangle. ======================================= Pembe tatu ya Bemuda ni eneo lililoko bahari ya Atlantiki ikiwa...
0 Reactions
359 Replies
94K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…