Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Hapo mwanzo mungu alikuwa neno, kila aliyetoa neno kutoka kwenye kinywa chake alijitahidi kuliheshimu bila kujali ni jema au baya. Mtu noble alikuwa akizungumza neno ni lazima ahakikishe...
9 Reactions
117 Replies
4K Views
Jana nikiwa kazini nikawaza 'Nina siku sijaenda kumsalimia bibi, sijui lini niende' Duh aisee nikakumbuka alishafariki mwaka huu miezi yamwanzoni kabisa. Bibi yangu alinipenda sana nayeye ndie...
7 Reactions
28 Replies
5K Views
Hii ni hadithi ambayo ilikuwa ni fumbo ambalo mpaka leo hii Plato hatasahauliwa kwa kuweza kutumia ufahamu wake kuelezea uhalisia wa maisha na ufahamu wa mwanadamu ulivyo kwa ujumla. Ni mfano...
19 Reactions
80 Replies
23K Views
TWIME TUBITE Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida...
14 Reactions
49 Replies
4K Views
Utangulizi Tokea 9/11 vyombo vya usalama wa taifa vimekua vikijihusisha zaidi na masuala ya ulinzi wa mipaka na kutafuta na kuzuia ugaidi. Vyombo vya usalama vya nchi nyingi vimefanya marekebisho...
2 Reactions
22 Replies
15K Views
Kwa nini Siku ya Mwezi? July 20 Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa siku ya kimataifa ya mwezi huadhimisha kumbukumbu ya kutua kwa mara ya kwanza kwa wanadamu kwenye mwezi kama sehemu ya operesheni ya...
1 Reactions
3 Replies
573 Views
Unaweza kufikiria mtu mmoja aliwezaje kufichua siri kubwa za kijasusi za serikali yenye nguvu zaidi duniani? Huyu ni Edward Snowden alithubutu na aliweka maisha yake rehani ili kufichua mpango...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
TUJUZANE: MFAHAMU Eli Cohen JASUSI HODARI WA ISRAELI NCHINI SYRIA Na Mgeni wa Jiji Eli Cohen ni jina lenye heshima ndani ya shirika la kijasusi Israel 'MOSSAD'. Uzalendo, kipaji na uwezo mkubwa...
15 Reactions
26 Replies
10K Views
Ufalme wa giza na ufalme nuru ni falme mbili ambazo mwanadamu akitaka kuingia na kufanya kazi katika moja ya hizi falme ni lazima awe na uwezo wa kuingia Ulimwengu wa Roho. Ulimwengu wa roho...
11 Reactions
30 Replies
6K Views
Wanabodi, Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。 Huu ni muendelezo makala zangu kuhusu "works of powers", nguvu za...
18 Reactions
127 Replies
132K Views
Kwanza kabisa nianze kwa salamu Ndugu watanzania mpaka hapa tulipofikia, tayari tunaishi na makundi matatu ndani ya nchi moja licha ya kudai kuwa sisi ni wamoja Kundi la kwanza ni hawa jamaa...
2 Reactions
9 Replies
834 Views
The Richest Man in Africa: Kila utajiri una ukafiri nyuma yake Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake...
114 Reactions
822 Replies
233K Views
1. Je mwezi nao huwa una mizunguko miwili Kama Dunia yetu? 2. Kama mwez hauna rotation bas huwa tunauona sehem ya upande mmoja tu, au mim nko wrong?? 3. Kama mwez haujizungush kweny mhimili wake...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Kumekuwepo na taarifa zisizokuwa rasimi watu wakithubutu hata kusema milipuko yote iliyotekea katika makmbi hayo ni hujuma je wewe na mimi waweza kuhisi ni hujuma au ni bahati mbaya? Maana kwa...
2 Reactions
7 Replies
5K Views
Karibu kwenye jukwaa! Karibu wana JF na wanaGT. Nitambue mchango mkubwa wa Bw. Mello kama sikosei katika jukwaa hili. Leo nitaomba kwa pamoja tudiscuss suala la kuacha alama! Somo ni pana sana...
1 Reactions
8 Replies
876 Views
Huu ndio ukweli ambao Roman imeamua kuuachia katika kipindi hichi cha mfungo wa kwalezima And the LORD said to Moses, "Make a fiery serpent, and set it on a pole; and every one who is bitten...
25 Reactions
977 Replies
120K Views
Je, ndege ya Air Force One, gari la the beast na ndege 6 za Boeing zinamlindaje Rais wa Marekani? Viongozi wakuu duniani watasafiri hadi India kwa Mkutano wa nchi 20 zilizoendelea kiviwanda G20...
22 Reactions
45 Replies
6K Views
Dokta Masaru Emoto aliweka maji safi (Distilled water) katika Glass 2 za maji, glass moja alibandika neno ‘Upendo’ , Glass nyingine akaandika neno ‘Nakuchukia’, na akawa anayanenea hayo maneno...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Ukisoma kwenye Biblia, ni watu wawili tu ndiyo ambao hawakuwahi kuonja mauti, nao ni Nabii Eliya na Enoko. Mungu hakutaka kuwaua, aliwatwaa na kuwapeleka mbinguni. Sasa kama ilivyo kwa manabii...
28 Reactions
165 Replies
14K Views
Za leo ndugu zangu wana JF: Leo ninapenda niongelee kitu ambacho nimekuwa nakifuatilia kwa muda mrefu. Imenibidi nikusanye researches zangu zote niweze kuziweka hapa. TAMADUNI ZA MTU MWEUSI...
14 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…