Hapo mwanzo mungu alikuwa neno, kila aliyetoa neno kutoka kwenye kinywa chake alijitahidi kuliheshimu bila kujali ni jema au baya.
Mtu noble alikuwa akizungumza neno ni lazima ahakikishe...
Hii ni hadithi ambayo ilikuwa ni fumbo ambalo mpaka leo hii Plato hatasahauliwa kwa kuweza kutumia ufahamu wake kuelezea uhalisia wa maisha na ufahamu wa mwanadamu ulivyo kwa ujumla. Ni mfano...
TWIME TUBITE
Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida...
Utangulizi
Tokea 9/11 vyombo vya usalama wa taifa vimekua vikijihusisha zaidi na masuala ya ulinzi wa mipaka na kutafuta na kuzuia ugaidi. Vyombo
vya usalama vya nchi nyingi vimefanya marekebisho...
Kwa nini Siku ya Mwezi? July 20
Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa siku ya kimataifa ya mwezi huadhimisha kumbukumbu ya kutua kwa mara ya kwanza kwa wanadamu kwenye mwezi kama sehemu ya operesheni ya...
Unaweza kufikiria mtu mmoja aliwezaje kufichua siri kubwa za kijasusi za serikali yenye nguvu zaidi duniani?
Huyu ni Edward Snowden alithubutu na aliweka maisha yake rehani ili kufichua mpango...
TUJUZANE: MFAHAMU Eli Cohen JASUSI HODARI WA ISRAELI NCHINI SYRIA
Na Mgeni wa Jiji
Eli Cohen ni jina lenye heshima ndani ya shirika la kijasusi Israel 'MOSSAD'. Uzalendo, kipaji na uwezo mkubwa...
Ufalme wa giza na ufalme nuru ni falme mbili ambazo mwanadamu akitaka kuingia na kufanya kazi katika moja ya hizi falme ni lazima awe na uwezo wa kuingia Ulimwengu wa Roho.
Ulimwengu wa roho...
Wanabodi,
Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。
Huu ni muendelezo makala zangu kuhusu "works of powers", nguvu za...
Kwanza kabisa nianze kwa salamu
Ndugu watanzania mpaka hapa tulipofikia, tayari tunaishi na makundi matatu ndani ya nchi moja licha ya kudai kuwa sisi ni wamoja
Kundi la kwanza ni hawa jamaa...
The Richest Man in Africa: Kila utajiri una ukafiri nyuma yake
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake...
1. Je mwezi nao huwa una mizunguko miwili Kama Dunia yetu?
2. Kama mwez hauna rotation bas huwa tunauona sehem ya upande mmoja tu, au mim nko wrong??
3. Kama mwez haujizungush kweny mhimili wake...
Kumekuwepo na taarifa zisizokuwa rasimi watu wakithubutu hata kusema milipuko yote iliyotekea katika makmbi hayo ni hujuma je wewe na mimi waweza kuhisi ni hujuma au ni bahati mbaya?
Maana kwa...
Karibu kwenye jukwaa! Karibu wana JF na wanaGT.
Nitambue mchango mkubwa wa Bw. Mello kama sikosei katika jukwaa hili.
Leo nitaomba kwa pamoja tudiscuss suala la kuacha alama!
Somo ni pana sana...
Huu ndio ukweli ambao Roman imeamua kuuachia katika kipindi hichi cha mfungo wa kwalezima
And the LORD said to Moses, "Make a fiery serpent, and set it on a pole; and every one who is bitten...
Je, ndege ya Air Force One, gari la the beast na ndege 6 za Boeing zinamlindaje Rais wa Marekani?
Viongozi wakuu duniani watasafiri hadi India kwa Mkutano wa nchi 20 zilizoendelea kiviwanda G20...
Dokta Masaru Emoto aliweka maji safi (Distilled water) katika Glass 2 za maji, glass moja alibandika neno ‘Upendo’ , Glass nyingine akaandika neno ‘Nakuchukia’, na akawa anayanenea hayo maneno...
Ukisoma kwenye Biblia, ni watu wawili tu ndiyo ambao hawakuwahi kuonja mauti, nao ni Nabii Eliya na Enoko. Mungu hakutaka kuwaua, aliwatwaa na kuwapeleka mbinguni.
Sasa kama ilivyo kwa manabii...
Za leo ndugu zangu wana JF:
Leo ninapenda niongelee kitu ambacho nimekuwa nakifuatilia kwa muda mrefu. Imenibidi nikusanye researches zangu zote niweze kuziweka hapa.
TAMADUNI ZA MTU MWEUSI...