Wadau katika pita pita zangu nilikuatan na hii kitu toka Human Rights Watch, ukiisoma vizuri utakuta kuna video na ipo pia version ya kiswahili, nikaona si vibaya kushirikishana. Kama ilishawekwa...
The US spying scandal deepened today as Secretary of State John Kerry said it is 'not unusual' for governments to bug the offices of their allies sparking fierce retorts from France and Germany...
Wana Jf,
Imegundulika kuwa kuna mkakati mbaya unaofanywa na ccm na serikali yake kumdhuru Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
Intelijensia ya Chadema imefanikiwa kunasa taarifa ya kumwua mbunge...
Kuna jamaa zangu huwa tunasumbuana sana kuhusu ni mikoa ipi inaongoza kiuchumi hapa nchini kwetu tanzania....kama unajua naomba nifahamishe mwanajamiiforum mwenzio
Mwl Lwaitama ameshangazwa kwanza na matumizi ya neno UGAIDI. Amesema matukio mengi yaliyotokea hayastaili kuitwa ya kigaidi kama lile la mwangosi, ulimboka na n.k.Mwl kasema matukio hayo...
Baada ya tukio la bomu lililolipuka ktk mkutano wa CDM Soweto Arusha na kuuwa watu 4 huku zaidi ya 70 wakijeruhiwa,kumekuwepo na mabishano ya hapa na pale kati ya jeshi la polisi kwa upande mmoja...
Sisi ni askari wajeshi la polisi nchini Tanzania, tunaomba Mh.Rais Jakaya Kikwete amuondoshe madarakani,mkuu wa jeshi letu Inspekta Jenarali IGP Saidi mwema katika uongozi wa jeshi la polisi...
kuna haja ya kujuana na police mmoja dr mmoja malimu mmoja manasheria mmoja trafiki mmoja yaani kila idara pia fahamu tiss mmoja bila kusahau mjeshi mmoja.wengi wamefanikiwa kupata taarifa ambayo...
Wadau mimi ni Mtanganyika mwenye uzalendo wa kutosha wa Nchi yangu Tanganyika ambayo bila shaka kutokana na kukosa kutenda haki kwa utawala dhalimu unaoitawala Nchi yetu tangu uhuru yaani utawala...
UGAIDI NI NINI?Kwa maelezo mafupi,Ugaidi ni kitendo kinachofanywa na watu,taasisi,au kikundi cha watu kwa njia za vurugu,fujo na mauaji ili kutia uoga jamii lengwa na kifikia malengo mahsusi.Kwa...
Majukumu ya JWTZ JWTZ lilianzishwa tarehe 01 Septemba, 1964 likiwa na lengo la kulinda uhuru, na mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
JWTZ lina majukumu yafuatayo:
Kulinda Katiba na...
WAKUU:
1. Mtakumbuka kuwa hapa nchini kulikuwa na kashfa ya mke wa kamishna wa polisi mwandamizi aliyejipatia kipato kwa kuwalaghai vijana nchini kuwa watoe pesa ndiyo awatafutie ajira usalama...
Majukumu ya JWTZ
JWTZ lilianzishwa tarehe 01 Septemba, 1964 likiwa na lengo la kulinda uhuru, na mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
JWTZ lina majukumu yafuatayo:
a. Kulinda Katiba na...
I have been recently speculating about the connection existing between how the science foresees the earth with respect to how religion tells us about the end of the world. its quite amusing, yet...
CHADEMA wanafahamika kwa mipango madhubuti na makini. Viongozi wa JUU KABISA ndani ya chama wana sifa ya usiri na umoja. Mara nyingi pale wanapotoka hadharani kuiweka mipango yao huonekana kama...
Kwa atayenipa jumla ya hela ya Tanzania.. Faster..! Ukipatia please Nipe namba yako ya m-Pesa au Tigo Pesa nikutumie sasa hivi..only after two hours from now..! This is 15:20 at 17:30 Kama Hapana...
Professor SILAS LWAKABAMBA ambaye ni waziri wa ujenzi wa Rwanda ni mnyarwanda wa muda mrefu ila alikaa Tanzania anakula nchi tu kama Mtamzania. ana miliki Ngombe nyingi na heka nyingi sana kAGERA...
Pana jamaa yangu katumiwa meseji , hajajua hao majambazi walipo, wanamwamuru kuwapa pesa kwa simu ya voda, afanyeje ili ajue walipo hao majambazi , kama pana mtu anaweza saidia kujua...
Sisi watanzania bado tuna imani na jeshi la polisi ila tunaomba majibu au ufafanuzi wa mambo haya yafuatayo uchache.
1:Matokeo ya uchunguzi ya wale askari wa Airport Dar waliotaka kumbabmbikiza...