Rais Evo Morales wa Bolivia amesema kuwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapaswa kuondolewa New York Marekani na kupelekwa katika nchi nyingine kutokana na siasa za Washington za kutoa vitisho...
Salaam wana Jf.
Naomba kujuzwa
1:mechanism behind kutekenywa(Kwapani,tumboni,kwene mbavu nk) na kwanini mtu akitekenywa anacheka.
2:Kwanini,as age advances,hiyo hali inapungua.
Ahsanteni.
Wana Ukumbi ebu fungueni hapa chini alafu muujue uislamu unavyopinga Ugaidi..
Japo wengi hawajui na uislamu ni Tofauti na waislam matendo yao wakati mwingine
FatwaIslam.Com : The Ruling on...
toka jina la nchi yetu pendwa TANZANIA lilivyoanza kuchafuliwa na sifa mbaya ya kua kimara wa biashara ya dawa za kulevya Africa mashariki na zaidi ya hapo nimekua na mashaka sana hapa nchini kuna...
1: Wahandisi wa Kiafrica tumebobea kwenye kukopi na kupest Ubunifu wa majengo.. Imagine jengo kubwa namna hii la WestGate Shopping mall..
unaweza kuamini kumbe lina mlango mmoja tu...
Jamani niwasalimieni....
Nimeperuzi katika tovuti ya BOT kwenye list of Governors nikakutana na orodha ya magavana waliowahi kuongoza chombo hiki mahususi kinacho tuzika wakati fulani na kutufukua...
Very shame n sad for our south - East region! Nchi saba za huu ukanda wetu kuwemo kwenye top ten ya vio vinavyotokana na HIV!! na Tanzania ndio kwanza tumekamata nafasi ya nne!!
1
South...
Kinachonifurahisha kwa mashirika makubwa ya kijasusini kuwa wako radhi wapoteze kitu kikubwa sana kwa muda huo kuliko ku-compromiseintelligence gathering techniques zao kwa watu wengine. Juzi...
Kwanza kwa tafsiri ya kawaida ya "mfumo kristu" ni "utaratibu unaotumika kuongoza/kutawala mahali/watu kwa misingi ya dini ya kikristu"
Nchini Tanzania kumekuwepo na madai kuwa Tanzania "ni ya...
chronological age: huu ni umri wa mtu alio nao, kama una miaka 20 basi chronological age yako ni 20 years
mental age: huu ni umri wa akili ya mtu, kama una miaka 10 na unaweza kufanya vitu...
Leo mida ya saa kumi nimeenda kibaha kwa mathias. Nikiwa narudi maeneo ya kibaha stand nikasimamishwa na trafiki. Wakasema kosa langu niliovertake maeneo ya miembe saba nikasimamishwa nikakimbia...
Usiri wa watuhumiwa wa mabomu ya Arusha unatisha sasa. Watu wamekufa Olasiti na Soweto. Watu wamejeruhiwa. Watu waliteseka na kulia mno juu ya jambo hili. Wapo walioachwa wakiwa juu ya kadhia...
Kila siku najuiliza nini chanzo kkikuu na kinacho sababisha rushwa isipingue badala yake imekuwa ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku, kama wizi ilivyo kwa watumishi wa umma wezi huutwa wajanja...
Kuna kampuni moja imesajiliwa visiwa vya Belize inajulikana kama Kilimanjaro Capital Limited. Ukiiangalia kwa haraka haraka waweza fikiri ni kampuni ya wazawa ya Kitanzania wenye malengo ya kuleta...
Nimejawa na furaha ya ajabu mchanawa leo kwa mara ya kwanza nimepokea barua pepe kutoka international criminal court(ICC).
Mnamo tarehe 27/08/2013 nilituma barua pepe kwenda ICC nikiomba...
Ice cold beer plz.........
mtanisamehe sehemu nilizo changanya lugha.
usawa wa kijinsia maana yake ni kwamba wanaume na wanawake ni sharti wapate same treatment unless there is sound...
Habari za mchana,
Naomba Bunge letu ifanye kikao maalum ya kumhoji mkuu wa JWTZ au waziri wa ulinzi kuhusu Lt. Col. Seromba.
Watanzania wanataka kujua ukweli. Watanzania, lazima tujue huyo Lt...
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo : N G O M E Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la...
Hivi kwa wale wenye browing 9mm kuna ili la tatizo la firing pin kushindwa kuchoma risasi ili ilipuke yani unavuta trigger na inakubari lakin hailipuki na ukiangalia risasi ni kama imeguswa kidogo...
Nimekaa na kufikiria ya kwamba:
Mara nyingi tunawaambia wenzi wetu tunawapenda, na pia wakati wa kufunga ndoa tunatoa viapo na mwisho wa siku tunakabidhiwa 'a piece of paper' kuashiria muunganiko...