Tukiwa tunaendelea kuangalia funeral rites za Nelson Mandela, mliosikiliza hotuba ya JK ni kwamba kaeleza umati kwamba Mandela alifika Tanganyika kwa mara ya kwanza January 1962. Kwamba safari...
1. Watanzani na Wakenya, wapi wanaishi maisha ya Msoto zaidi katika maisha ya kila siku?.
2. Katika Afrika Mashariki na Kati, ni nchi gani wanaisha maisha mazuri ya kila siku?.
Seal team six ni branch ya US Special Naval operation iliyoanzishwa mwaka 1987. Ni team inayoundwa na makomandoo waliowekwa tayari kwa ajili ya special missions ambazo huwa ni high risky. Hawa...
Nimekuwa nikisikia kuwa kuna joka lenye vichwa saba linapatikana duniani.Kuna bwana mmoja aliniambia joka hili huuwa linapita chini ya miamba ya milima kwa mwaka mara moja hata hapa Tanzania chini...
siku ya 6 August 2011 ni siku ambayo helikopta ya kijeshi ya marekani iliyobeba askari wa jeshi la marekani wakiwemo SEAL TEAM SIX ilitunguliwa huko Afghanistani,kwa ujumla ndani ya helikopta...
Wakuu nimejikuta nikijiuliza maswali kadha wa kadha kuhusiana na hiki chombo kinachoitwa usalama wa taifa.
1. Je chombo hiki kina bajeti?
2. Bajeti hiyo huwa inajadiliwa bungeni na...
Madaktari nchini Kenya wameelezea wasiwasi kuhusu matumizi mabaya na ya kiholea ya dawa za dharura ambazo zinanuiwa kuwakinga waathiriwa wa ubakaji kutokana na maambukizi ya virusi vya HIV.
Dawa...
Kufuatia kuvuja kwa taarifa kuhusu Usikilizwaji wa simu za Viongozi na Wananchi wa Mataifa mbali mbali kulikofanywa na Marekani kupitia Balozi zake, binafsi nina mashaka sana na Ubalozi wa Kenya...
jamani me nimekwama!nijuzeni imekaaje hii ya kusafisha dollar negative!
1. jina ya dawa au matilio yanayo tumika kusafisha.
2. je hii biashara ipo kweli au magumashi
3. kama unafahamu...
[QUOTEWhen it comes to the military strength of all African countries, the keywords to consider are not enough information.The Global Fire Power ranking, or GFP, measures countries military...
2nd Nov 2013
Vol 54 N0 16
TANZANIA | NORTH KOREAThe Dar leader
Washington and Seoul are discreetly putting pressure on Tanzanian President Jakaya Kikwete to end military cooperation with...
Wakuu nimeikuta hii sehemu, hakika Jeshi la wananchi haliwezi kukwepa kadhia hii ya kuajiri tapeli ambaye watu wanahaingaka kumtafuta na wapo kimya.
Jisomeeni wenywewe;
Ni kijana mzaliwa...
napenda kujua kwanini binadamu tuna akili na mitazamo tofauti
na kwanini tumeumbwa na tuna uwezo wa kufikiri tofauti tofauti
kwa nini mungu aliamua kututenga kwa lugha? Kama wote tumeumbwa kwa...
Nilidhani baada ya Miaka takribani 41 since makosa yaliyofanyika baada ya matokeo ya Ugaidi kule Munich 1972 kwenye Winter Olympic Games Kenya watakua wamejifunza namna ya kukabiliana na ugaidi...
Hivi sisi wa ovyo ovyo? Ninatamani ije siku sisi watanzania tuwe na uwezo wa kujitawala vizuri bila kuwa 'ovyo ovyo'.
Ebu fikiri jamii ambayo kwa pamoja itaamua kupambana na uovu unaoiandama...