Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

On JF:

Ulimwengu umejikuta katika vita visivyoisha na wakazi wake kufanywa mawakala wa vita hizi. Jambo moja liko wazi nalo ni hili, mataifa yenye nguvu yamejitahidi kutwaa umiliki wa dunia nzima na hii...
7 Reactions
42 Replies
11K Views
Wakuu ningependa kujua kama Jeshi letu lina special forces kama SAS, Navy seal, Royal Marine, Delta Force, Moja ya Special Air Service (SAS)-Britain Operation Certain Death Israel MOSSAD hawa...
4 Reactions
151 Replies
42K Views
The Tanzanian People's Defence Force (TPDF) has swapped 12 old Chinese-made J-7 fighter aircraft with 14 new J-7Gs, as the country forges ahead with the modernisation of its aerial defence...
0 Reactions
104 Replies
28K Views
Jana usiku (juzi)niliipata filamu inayo kwenda kwa jina la ‘WORLD WAR Z’, jina WORLD WAR ndilo lililo nivutia kuitazama filamu yake, hasa nikitaka kujua ‘Z’ inasimama badala ya nini kwenye jina...
23 Reactions
60 Replies
15K Views
Taasisi hii kwa Sasa imeimarika zaidi compare na awamu ya nne. Awamu ya nne Siri za serikali zilivuja Sana, hivyo kuharibu michakato mingi ya serikali na kuvipa umaarufu Baadhi ya vyombo vya...
12 Reactions
56 Replies
10K Views
OPERATION ISOTOPE: Ndege ya Sabena flight 571 ilikua ni ndege ya abiria kutoka Brussels nchini ubelgiji kuelekea mji wa Lod nchini israel kupitia Vienna Austria. Ndege hii ilikua chini ya shirika...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
Hakuna data zinazokubarika kimataifa za kiwango cha uzalishaji wa madawa ya kulevya siyo kwa Tanzania tu bali duniani kote. Kitu kinachojulikana ni mtikisiko na madhara yake yanayoonekana na huku...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
September 20/2011 the Government of the United republic of Tanzania joined the Open Government Partnership (OGP) initiative (see attachement). And, on December 15/2011 the Government submitted the...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapi kwa nchini panatolewa mafunzo ya Kulinda watu special au Muhimu yani VIP Protection Training Je hawa Public figure wetu kama Bakhersa, Mo dewji, na Wengineo walio na impact kubwa na Jamii...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Jana Ijumaa Novemba 17, 2017 Salvatore (Totò) Riina, bosi wa kikwelikweli aliyebatizwa jina la utani la Belva au Beast (Mnyama) alifariki dunia akiwa gerezani. Totò Riina alizaliwa Jumapili ya...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
On November 12, Asgardia cemented its presence in outer space by launching the Asgardia-1 satellite. The "nanosat" -- it is roughly the size of a loaf of bread -- undertook a two-day journey from...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nyie mnao amini uwepo wa Mungu, Wakristo na waislam, na madhehebu mengine Je kila mmoja wenu mnamaanisha Mungu Mmoja? Yani unavyomfikiria wewe na mwezio ni hivyohivyo? Je unauhakika Kiongozi wako...
17 Reactions
113 Replies
10K Views
Martin Luther (10 Novemba 1483 – 18 Februari 1546) alikuwa Mkristo mwanateolojia kutoka nchi ya Ujerumani maarufu kama mwanzilishi wa Uprotestanti. Kisha kushindana na Papa wa Roma, na kutengwa...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Wadau wa JF, nimekuwa nkifatilia na kusoma kuhusu nyota tangu nipo primary lakini huwa sipati conectin vizuri kati ya nyota husika mfano mashuke au Nnge na maisha halisi, wakati mwingine huwa...
0 Reactions
50 Replies
33K Views
Rob Janoff [ kushoto kwenye picha ] ndiye aliye-design ile logo ya Apple. Kumekuwa na maswali kibao juu ya kwanini alichagua Apple lililong'atwa, au kwanini asingechagua Apple zima. Rob Janoff...
8 Reactions
26 Replies
7K Views
Assalam aleykum wana jamvi habari za jioni Kwanza kabisa ningependa kumshukuru Mwenyezi Mungu mpaka nakamilisha haka kautafiti kangu kadogo juu ya uwepo wa shetani duniani baada ya kujiuliza...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Bandugu naomba kujua ni kwa nini marekani ilifikia hatua ya kutumia bomu la atomic huko Japani? Na kwa nini Japani hakulipiza kisasi? au walikubaliana nini hasa mpaka wajapan wakaridhika? Ni...
3 Reactions
140 Replies
35K Views
Habari wana Jf nmekua nikisikia kuhusu hiroshima /nagasaki... habari zinasema kulikubwa na janga la mabomu ya nyuklia Yoyote mwenye historia atufahamishe tusojua. Je yaitokeaje? yameathiri vipi...
8 Reactions
84 Replies
18K Views
Wadau wa gt kwema???embu shirikianeni nami mara moja ktk kufikiri hili jambo. Nimekaa nikawaza mara nyingi kwamba inawezekana kabisa the way tunaviona viumbe hai vidogo kabisa ktk microscopes na...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Waumini WA zama hizi wamekua very pessimistic Sana linapokuja swala LA teknolojia. Mfano tecnolojia ya micro chip. Ambapo inaweza kuwekwa kwenye mwili WA MTU na kusaidia mambo yafuatayo. Asiweze...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…