Wakati raisi Donald Trump akiwa amepagawa na vita ametishia kuripua zaidi vituo vya nishati vya Iran.kwa upande wake Iran imesema Trump akitekeleza kitisho hicho basi nayo itapiga vituo vya...
Mamia ya meli za mizigo zinakwepa au zimekwama kupita Hormuz kutokana na hatari katika eneo hilo na ukosefu wa ulinzi wa meli za escort tangu vita ianze.
Marekani iliahidi kuzipa ulinzi lakini...
Rais Trump amedai kuwa Iran imeipa Marekani kile alichokiita “zawadi kubwa sana” kupitia wajadiliana wake, akihusisha suala hilo na mafuta na gesi.
Kwa mujibu wa Trump, makubaliano hayo...
MJUMBE HAUWAWI...
Leone Panetta ameingia kwenye jeshi la Marekani mwaka 1964. Ametumika jeshini, taasisi za kijasusi na ndani ya serikali ya Marekani kwa miaka mingi. Huyu ndiye alisimamia mauaji...
Rais Vladimir Putin amesema Urusi itaanza kuunda makombora mapya
Urusi imejiondoa katika mkataba wa kupinga uundaji wa makombora ya masafa marefu uliyofikiwa enzi ya vita baridi kufutia uamuzi...
Tusijisahau sana
SEKUNDE 40 zilitosha kwa Israel kuwabamiza VIONGOZI 40 (Akiwemo Ayatollah)
Tafsiri :
Unaweza kufanya nini ndani ya sekunde 40 ?
Unaweza kumimina maji kwenye glasi,
unaweza...
Jamaa kafa na miaka 43 tu
Alikua ni mwisrael na myahudi aliyekua sehemu ya mchango mkubwa kwa Israel
Alikua anatoa mabilioni ya pesa kufadhili taifa la Mungu la Israel
Alikua anamiliki page za...
Nini kio nyuma ya pazia ?
Serikali ya Iran imetangaza hatua kubwa ya kuongeza mishahara.
Waziri wa Kazi, Ahmad Midari, amethibitisha kuidhinishwa kwa ongezeko la asilimia 60 ya mshahara wa chini...
Mafuta ya Kirusi yameondolewa vikwazo
Mafuta ya Iran yameondolewa vikwazo
Meli hulipa dola milioni 2 kwa Iran kupita kwenye Mlango wa bahari wa Hormuz
Dola trilioni evaporated kutoka soko la...
Leonid Radvinsky, the owner of adult‑content platform OnlyFans, has died of cancer at the age of 43, the company said in a statement on Monday.
"We are deeply saddened to announce the death of...
https://youtu.be/UOlqEJEsEI4?si=shzpruz0fzVk93XV
Ujumbe ndio huo Israel wanaendelea kupewa kichapo, na Israel wameshangaa kusikia Trump kakubali kusimamisha vita na Iran
Mkuu wa Majeshi ya anga...
Rais wa Iran anatarajiwa kubwaga manyanga hivi karibu baada ya yeye kushindwa kutekeleza majukumu yake kikamilifu.
Haya yanajiri kutokana na viongozi wengi wa Iran kuwindwa kama Sungura na...
Mashambulizi yalofanywa na Marekani ikisaidiwa na Israel, yamepiga katika miji 20 kati ya miji 31 ya Iran na hadi sasa hakuna idadi kamili ya watu walokufa. Pia mitandao ya internet yote imezimwa...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa hakuwa mwanzilishi wa mgogoro unaoendelea hivi sasa na Iran, huku akisisitiza nafasi ya Waziri wake wa Ulinzi, Pete Hegseth, katika mchakato wa kufanya...
The Alexandra Magistrates Court has once again postponed proceedings in the attempted murder case involving Chatunga Mugabe, drawing renewed attention to one of Zimbabwe’s most high-profile legal...
Kwenye vita Kuna mbinu nyingi sana za kumchanganya adui
Changamoto kubwa ya Iran ni kwamba viongozi hawana Cha kupoteza
Hawajali raia wao wanatamumia kiasi gani Cha misingi wao waendelee kuwa...
Wanajeshi na wahudumu wa ndege 66 wamefariki dunia baada ya ndege ya kijeshi ya Colombia kuanguka katika eneo la Puerto Leguizamo, Mkoa wa Putumayo, karibu na mpaka wa kusini mwa Ecuador na Peru...
Muislam kufa akipigia nchi yake au dini yake kwake huona ufahari mkubwa.
Wakati wa mtume kuna vijana wadogo walikua wakimuomba mtume waende vitani ili waue au wakafe huko huko.
Kuna waislam...
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kusitisha kwa muda wa siku tano mipango yote ya kijeshi ya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran, kufuatia kile alichokielezea kama mazungumzo...