International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Familia ya kiongozi wa uhuru wa Congo, Patrice Lumumba, imesema kuwa bado ina matumaini ya kupata haki, wakati mahakama ya Ubelgiji ikizingatia uwezekano wa kumfikisha mahakamani mshukiwa pekee...
3 Reactions
11 Replies
519 Views
Katika uamuzi wa kihistoria, mahakama jijini Los Angeles, Marekani, imeziamuru kampuni za YouTube na Meta kumlipa fidia ya dola milioni 3 (takriban Tsh. Bilioni 7.7) binti mmoja aliyedai kuwa...
0 Reactions
5 Replies
259 Views
Huenda Hali hii yabkuyafukuza majeshi ya NATO Kwa mtindo wa kumfukuza paka mwizi wa mboga yakafanana na Yale ya kumfukuza USA Afghanistan. Sasa safi hii ni tofauti,ni USA pamoja na wenzake wa...
8 Reactions
11 Replies
354 Views
Serikali ya Zimbabwe imethibitisha kuwa raia 15 wamefariki dunia baada ya kudanganywa na kuingizwa kwenye mapigano ya vita kati ya Urusi na Ukraine, huku wengine 66 wakiendelea kushiriki katika...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
Hawa jamaa kwa propaganda hawajambo Waliiaminisha dunia kwamba wana Intercontinental ballistic missiles zinapiga popote duniani lakini hajawahi kutumia popote zaidi akitaka kulenga mahali ataomba...
17 Reactions
58 Replies
1K Views
  • Redirect
Muhoozi Kainerugaba, mwana wa rais wa muda mrefu wa Uganda, Yoweri Museveni na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF): "Tunataka vita vya Mashariki ya Kati...
0 Reactions
Replies
Views
Msemaji huyo, Ziv Agmon, alikanusha kuwa kauli zake zilikuwa za kibaguzi, akizitaja kuwa “za kipuuzi,” akidai kuwa yeye mwenyewe ana asili ya Morocco, hivyo hawezi kuwa mbaguzi dhidi ya Wamoroko...
1 Reactions
2 Replies
286 Views
Hegemony ndio sababu ya hii vita. US + NATO hawakujua wapi waishie kwenye kuitawala dunia.. Kama wangekua na heshima kidogo kwa Russia na China na North Korea, na Vietnam Basi tusingekuwa na...
17 Reactions
42 Replies
3K Views
CHANZO CHA PICHA, EPA Maelezo ya picha, Trump Donald Trump anasema kumekuwa na "mazungumzo yenye tija" kuhusu "suluhisho kamili " kwa mzozo wa Mashariki ya Kati. Anasema "ataahirisha...
3 Reactions
18 Replies
375 Views
“Walijaribu kuwafanya mababu zetu kuwa kama vitu, lakini sisi tunajua, na tunapaswa kuthibitisha leo kwamba mababu zetu hawakuwa vitu.” Mabaki ya Waafrika kadhaa, ambao miili yao ilifukuliwa na...
0 Reactions
0 Replies
103 Views
Kauli za Donald Trump kuhusu mazungumzo kati ya Marekani na Iran zinaonekana kuwa na ukweli fulani, lakini ndani yake kuna muktadha mpana unaohusisha mgawanyiko wa madaraka ndani ya Iran yenyewe...
1 Reactions
21 Replies
630 Views
Kwa hiyo Iran ndio wameshindwa kabisa kulipiza Kisasi cha Netanyahu kumbamiza kiongozi wao mkuu Ayatollah kwa sekunde 40 ? waliapa kwamba wangelipiza kisasi kwa kumuua Benjamin Netanyahu...
1 Reactions
3 Replies
200 Views
Moja ya nchi ambazo zimewahi kuonja madhara ya kupigwa na Marekani ni Iraq ambayo kwa sasa imeonesha kuchoka na ujanja wa taifa hilo. Hapo juzi makao ya vikosi vya PMF ambavyo ni sehemu ya jeshi...
0 Reactions
1 Replies
230 Views
Trump “ataachilia moto mkali” (yaani mashambulizi makubwa zaidi) ikiwa #Iran haitakubali kufanya makubaliano. Iwapo Iran haitakubali ukweli kwamba imeshindwa, Trump ataongeza mashambulizi kwa...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Vyombo vya ulinzi vya Iran na viongozi wao baada ya kuulizana wote wamesema hakuna mwenye taarifa ya kuwepo kwa mazungumzo na Marekani kama alivyosema raisi Trump ili kumalizia vita kati yao...
2 Reactions
7 Replies
200 Views
According to information from Africa Intelligence, Gandhi Djuna, the singer's real name, was arrested while passing through customs at Paris-Charles de Gaulle airport on 25 March. He is...
0 Reactions
1 Replies
213 Views
Baraza la Wazee katika jimbo la New Mexico siku ya Jumanne limeiamuru kampuni ya Meta kulipa dola milioni 375 kama adhabu ya madai ya kiraia, baada ya kubaini kuwa kampuni hiyo iliwapotosha...
0 Reactions
1 Replies
313 Views
Mshauri wa kiongozi wa nchi za UAE amehoji uko wapi umoja wa chi za ghuba na ule OIC,mbona wamekuwa wanapigwa tu na Iran na hakuna hata mmoja anayekuja kusaidia.Akaongeza kuwa sasa ndio wamejua ni...
3 Reactions
2 Replies
131 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…