International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu katika Mkutano wa Serikali: "Mapigano yanaendelea wakati wote. Tunaunga mkono msimamo thabiti wa Rais Trump wa kuweka kizuizi cha majini dhidi ya Iran...
1 Reactions
2 Replies
199 Views
Kwa ufupi wanasiasa ndio wametufikisha hapa tulipo. Siasa za Trumpa na Netanyahu hazina muelekeo salama ilitakiwa Dunia iwatenge ikibidi hata kivita, Dunia inaaminishwa kuwa Marekani ndio walinda...
1 Reactions
0 Replies
130 Views
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani itaweka “kizuizi cha kijeshi” na kuudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani, kufuatia kushindwa kwa mazungumzo...
13 Reactions
72 Replies
2K Views
Wanaukumbi. "Kulinda maji ya eneo la Iran ni jukumu la kitaifa. Kama ilivyotangazwa hapo awali, meli zinazohusishwa na adui hazina na hazitakuwa na haki ya kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz...
5 Reactions
12 Replies
322 Views
Australia imetangaza kuwa kwa mara ya kwanza katika historia yake, mwanamke ataongoza jeshi la nchi hiyo, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya uongozi ndani ya vikosi vya ulinzi. Luteni Jenerali...
3 Reactions
10 Replies
303 Views
Erick Mandala ni mjasiriamali na mfanyabiashara maarufu Congo DRC alliyekamatwa January 2025 na zaidi ya kilo 200 za madawa ya kulevya nchini Hispania. Lilikuwa tukio lililotikisa dunia. Lakini...
2 Reactions
7 Replies
260 Views
  • Featured
Wakuu, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotambua biashara ya utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya ubinadamu, hatua iliyopigiwa kura 123 za kuunga mkono. Katika kura hiyo...
7 Reactions
72 Replies
2K Views
Tukio la kusikitisha limeripotiwa kutoka katika Jimbo la Indiana Nchini Marekani ambapo Mtoto wa miaka miwili amefariki dunia kutokana na hali mbaya ya malezi na ukosefu mkubwa wa chakula Nyumbani...
0 Reactions
1 Replies
166 Views
Mkuu wa Wafanyakazi wa IDF, Eyal Zamir, anadaiwa kuagiza utayari mkubwa wa kijeshi kwa ajili ya uwezekano wa kurudi vitani na Iran kufuatia kuvunjika kwa mazungumzo kati ya Marekani na Iran nchini...
1 Reactions
5 Replies
189 Views
  • Featured
Rais wa Djibouti, Ismael Omar Guelleh, ameshinda tena uchaguzi kwa kupata asilimia 97.8 ya kura, kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Serikali, Radio Television Djibouti, siku ya Jumamosi...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Uchaguzi wa urais nchini Peru uliofanyika Jumapili, 12 Aprili 2026, umechochea maandamano baada ya changamoto kubwa za kiutendaji kusababisha maafisa wa uchaguzi kuchelewesha kuhesabu kura na...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
Wakati wa mahojiano, Rais wa Marekani Donald Trump alionekana kuidhinisha sharti la Iran katika kusitisha mapigano jana usiku linalowaruhusu kutoza ushuru kwa meli zinazopitia Mlango-Bahari wa...
3 Reactions
20 Replies
667 Views
Papa Leo ameanza ziara ya siku 10 barani Afrika siku ya Jumatatu, akilenga kuwahimiza viongozi wa dunia kushughulikia mahitaji ya bara hilo ambako kwa Takwimu za Vatican zinaonyesha kuwa zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
158 Views
Ambassador Kombo Meets Singaporean Minister in Mauritius to Boost Bilateral Ties Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation Mahmoud Thabit Kombo held a bilateral meeting with...
0 Reactions
0 Replies
128 Views
  • Redirect
Kwa muda mrefu Papa mkuu wa kabisa katoliki duniani "Pope Leo" ambaye ni Mmarekani amekuwa mstari mbele kukemea mauaji na vita mbalimbali zinaondelea duniani mfano Gaza alikemea Hamas, mauaji...
6 Reactions
Replies
Views
Huko Mashariki ya Kati mambo yanazidi kupamba moto katika huu mgogoro unaoendelea kati ya Marekani, Israel na Iran. Lakini safari hii, kuna sarakasi mpya imeibuka ambayo inaacha maswali mengi...
6 Reactions
6 Replies
339 Views
  • Featured
Vatican ilitangaza Jumatano kuwa Papa Leo wa Kumi na Nne atafanya ziara ya siku 10 barani Afrika mwezi Aprili, akitembelea nchi za Algeria, Angola, Cameroon na Equatorial Guinea, chini ya mwaka...
2 Reactions
11 Replies
755 Views
Wakuu Watu mbalimbali duniani wameendelea kutoa matamko kuhusu ya kinachoendelea huko Venezuela na sasa ni zamu ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV Akizungumza hivi karibuni Papa...
0 Reactions
2 Replies
329 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…