International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wakuu, Huko nchini Marekani, viongozi na baadhi ya wabunge wameandamana nje ya jengo la USAID wakitaka shirika hilo lirudishwe na misaada irudi haraka sana. Jamii Raskin ambaye ni mbunge kutoka...
11 Reactions
65 Replies
4K Views
Mjini Goma, raia wengi wameonyesha wasiwasi kuhusu bunduki nyingi zilizopo mikononi mwa wenzao. Jeshi la serikali la FARDC, liliposhindwa vita, wanajeshi walitupia bunduki na risasi mtaani, ambapo...
2 Reactions
2 Replies
275 Views
Mfano ukiangalia Nairobi wameukamata uchumi kwa kiasi kikubwa sana ukija TZ wapo wachache ila wamejitahidi kwenye maendeleo, hupendelea biashara za malori. Shida inakuja huko kwao kuna hali...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
https://x.com/BrendaMonkango/status/1888118771555938620 Pichani(video), ni gari iliyobeba chakula kwa ajili ya wanajeshi wa jeshi la serikali ya Congo,FARDC waliopata majeraha wakati wa vita na...
0 Reactions
0 Replies
499 Views
Mamlaka nchini Niger zimeliamuru shirika la msalaba mwekundu kusimamisha shughuli zake nchini humo na kufunga ofisi zake mara moja .Vilevile, Niger imevunja mikataba iliyoruhusu shirika hilo...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Iran imezindua meli yake ya kwanza ya kubeba droni, ikisema inaweza kufanya operesheni katika bahari za mbali kutoka bara la nchi hiyo, shirika la habari la IRNA liliripoti Alhamisi. Kwa mujibu...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inawasilisha muswada kwa baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa kutaka uchunguzi ufanywe katika kile inachokiita ni ukiukaji mkubwa wa haki katika mji wa...
1 Reactions
3 Replies
403 Views
Wafalme wa nchi zote za kiislamu ikiwemo mashariki ya kati ni marafiki wa maadui wa Mwenyezi Mungu.Wameweza kuwatawala watu wao kwa njama na ujanja ila wakati wao wa kuondolewa umefika. Kampeni...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Pamoja na kwamba Rwanda inaedelea kutoa sapoti kwa M23 nchini DRC, inakadriwa hadi sasa Rwanda imepoteza zaidi ya wanajeshi 2000 katika mapigano yanayoendelea. Rwanda imekuwa ikifanya siri na...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Kimekuwa na media nyingi zinazowasema vibaya M23 huko congo ila kwa background hali ni tofauti, raia wa Goma na wengine wanafurahia mapinduzi ya M23. Hapa ndio naanza kuelewa kuwa haya mapigano...
4 Reactions
6 Replies
654 Views
Msemaji mkuu wa M23, Lawrence kanyuka, ametangaza kukamatwa kwa watu 5, 3 wakiwa wanajeshi wa FARDC(jeshi la Congo) na 2 wengine wakiwa wanamgambo wa FDLR. Watu hawa walikamatwa na bunduki 4 na...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza. Ila kwa sababu sisi waafrika...
14 Reactions
71 Replies
3K Views
Trump amewawekea vikwazo vya kifedha na Visa kwa maafisa wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC baada ya mahakama hiyo kutoa hati ya kukamatwa kwa viongozi wa juu wa Israel Israel na washirika...
8 Reactions
48 Replies
2K Views
Huawei’s tri-fold Mate XT stars in new teaser video 05 September 2024 Huawei is gearing up to announce its first tri-fold smartphone – the Mate XT on September 10 and the teaser campaign for the...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Aliyekuwa mkuu wa CoastGuard Commandment Marekani Linda Fagan ( four star admiral) kafukuzwa kwenye kota za Serikali kwa kupewa notice ya masaa matatu. Linda ambaye alitenguliwa na Trump kwenye...
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Wakuu, Kufuatia uamuzi wa Rais Donald Trump wa kuvunja Shirika la Msaada wa Kibinadamu la Marekani (USAID) na kupunguza wafanyakazi, vyama vya wafanyakazi wa serikali nchini Marekani...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame...
17 Reactions
207 Replies
11K Views
Maelfu ya wakazi wa Goma Alhamis hii walikusanyika katika Uwanja wa Unity kuhudhuria mkutano wa hadhara ulioongozwa na Corneille Nangaa, mratibu/kiongozi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23)...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Mahakama ya Kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa umoja wa makundi ya waasi nchini humo ya Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Corneille...
2 Reactions
8 Replies
848 Views
Kamati ya maandalizi ya shindano la urembo nchini Ivory Coast (Miss Côte d’Ivoire 2025 -COMICI) imetangaza kuwa katika hatua za awali za mchujo, washiriki hawataruhusiwa kutumia nywele za bandia...
3 Reactions
5 Replies
643 Views
Back
Top Bottom