International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Rais wa marekani ameendelea kuishangaza dunia baada ya kuendelea kutoa kauli zinazowashangaza waisraeli na baadhi ya waungaji mkono wa vita ya marekani/Israel na Iran. Leo amesema Iran Ina Haki...
9 Reactions
11 Replies
387 Views
Wakati muda wa mwisho uliowekwa na makundi yanayopinga wageni nchini Afrika Kusini unakaribia, maelfu ya raia wa kigeni wanakusanya virago na kuondoka. Makundi hayo yametoa muda wa hadi Juni 30...
2 Reactions
7 Replies
252 Views
Mapigano yaliendelea kusini mwa Lebanon huku Hezbollah ikirusha makombora mengi na angalau shambulio moja la makombora ya kupambana na vifaru dhidi ya vikosi vya Israeli vinavyosonga mbele karibu...
0 Reactions
7 Replies
167 Views
Hebu nikueleze kuhusu simulizi ya kusikitisha lakini yenye nguvu kubwa inayotokea sasa nchini Zambia – simulizi ambayo kila dikteta wa Afrika anapaswa kuitafakari kwa makini. Mwaka 2017, Edgar...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Masharti ni haya yafuatayo 1 Aondoe sunction zote za Iran na aondoe maheshi yake karibu na Iran 2 Wasimamishe vita mpaa Lebanon (mimi naona hapo Israel akijidai mbabe wamwachilie Iran amtie...
7 Reactions
49 Replies
1K Views
Ndege ya kimkakati ya Jeshi la Anga la Marekani aina ya B-52 Stratofortress ilianguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka Kituo cha Jeshi la Anga la Edwards huko California, Marekani. Ndege hiyo...
0 Reactions
10 Replies
276 Views
Marekani na Israel wamevamia Iran wakitegemea kumaliza oparesheni ndani ya siku 4 tu, lakini sasa siku 18 zimefika huku vita ikionesha dalili za kukolea kuliko kuisha. Iran wamepigwa, lakini...
23 Reactions
162 Replies
3K Views
Baada ya Ukraine kuruhusiwa kumpiga Mrusi ndani ya mipaka yake, Ukraine amejijengea uwezo mkubwa sana wa kutumia drone katika kuipiga Urusi anavyotaka kwa masafa marefu. Upigaji wa Ukraine kwa...
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Ukraine inaendelea kuihathiri Urusi kiuchumi. Leo drones za Ukraine zimeruka hadi Moscow na kubomu kiwanda cha kusafishia mafuta ghafi Moscow Kapotnya na pia kubomu kiwanda kingine oil depot...
3 Reactions
14 Replies
374 Views
Katika hali ya kushangaza Rais Donald Trump amesema kuwa Israel imeshindwa kazi ya kupambana na Hezbollah maana imechukua muda mrefu sana na watu wanazidi kufa. Amesema hakuna haja ya kulipua...
5 Reactions
7 Replies
312 Views
Waisraeli kutoka nyanja zote za kisiasa wameonyesha hasira siku ya Jumatatu kutokana na habari za makubaliano ya kusitisha vita kati ya Marekani na Iran, wakiita hatua hiyo kuwa janga kwa Israeli...
2 Reactions
5 Replies
229 Views
Mkataba wa Iran na Marekani: Tathmini Fupi Mkataba huu unaonekana sana kama usiofaa kwa Israeli. Wasiwasi mkubwa ni unafuu wa kiuchumi ambao Iran itapokea, makubaliano ya nyuklia ambayo...
5 Reactions
13 Replies
353 Views
Ndege ya kivita ya Urusi aina ya Tu-22M3 ya masafa marefu ilianguka wakati wa safari ya mafunzo katika eneo la Irkutsk nchini Urusi leo. Ndege hiyo haikuwa na a bomu na ilianguka katika eneo...
0 Reactions
8 Replies
210 Views
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alifanya mkutano na waandishi wa habari. Maelezo Muhimu: Dhamira ya maisha yangu ni mapambano dhidi ya mpango wa nyuklia wa Iran. Kwa makubaliano au bila...
1 Reactions
2 Replies
159 Views
Maafisa wa ujasusi wa Marekani wanaelezea kutoridhishwa kwao kuhusu makubaliano ya nyuklia yanayoibuka na Iran, huku Mkurugenzi wa CIA John Ratcliffe akimwonya Rais Donald Trump kwamba Tehran...
2 Reactions
39 Replies
714 Views
Wakati wanaenda kwenye wiki mbili za ceasefire. πŸ‘‰ Nani kashinda vita kati ya USA vs Iran? Kwa vigezo gani: Military power (nani kampiga mwenzie zaidi)? Survival (nani bado yupo hai kiushawishi...
5 Reactions
28 Replies
745 Views
Niaje waungwana Dunia imebadilika aisee. Leo hii zayuni ( Netanyahu ) anaitwa muuaji anaetafutwa kufikishwa kwenye Criminal Court. Wakati nchi hizo zikiondoa vikwazo kwa Iran, hili zayuni liuaji...
11 Reactions
48 Replies
877 Views
Niaje waungwana Iran inajiamini sana, ndio maana haiwezi kufanya shambulio bila kutoa taarifa mapema ili kuepusha maafa kwa kina mama na watoto kama Gaza na Lebanon. Ila sasa taarifa hizi za...
5 Reactions
16 Replies
382 Views
Dr. Zack ✍️ πŸ‘‰ 1. Vita vilianza kuongeza gharama kubwa za kijeshi kwa Marekani. πŸ‘‰ 2. Bei za mafuta duniani zilianza kuathiri uchumi wa Marekani. πŸ‘‰ 3. Mlango-Bahari wa Hormuz...
1 Reactions
3 Replies
204 Views
Marekani na Iran Wafikia Makubaliano ya Kumaliza Vita, Hormuz Kufunguliwa Tena Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kumaliza vita vilivyodumu kwa zaidi ya miezi mitatu, hatua...
0 Reactions
0 Replies
83 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…