Tatizo nani wa kumwambia Israel aache sasa, yule ni kichwa cha mwenda wazimu, na sasa Iran imefaulu kuua raia wanne Israel, imezidisha hasira kwa Wayahudi.
--------------
In a call with his...
Two F-35 fighter jets landed in Israel Sunday, the army said, bringing the number of fifth-generation stealth aircraft that the military says it has in its arsenal up to 16.
The Israel Defense...
Iran inasemekana itatoa kichapo kizito kwa Israel usiku huu.
Huu ndo usiku mgumu zaidi unaoenda kushuhudiwa kwa Israel
Israel wajiandae kuzingirwa kwa maelfu ya makombora kutoka Iran
Huu usiku...
Katika hali ambayo inashangaza sana na kukasirisha. Ni kitendo cha Khayatollah kumpigia simu Trump kuwa awaambie watu wake Mayahudi kuwa sasa wamerudishiana angalau yaishe.
Trump anasema...
Kwene vita Majeruhi wa kwanza wa vita hua ni Ukweli.
Mimi technophilic nitafanya kazi ya kuverify Ukweli na Propaganda
Unaweza tuma picha au video nikaverify
Wasalam Alleykhum wa rahma tullay wabalaqatuh!
Sasa natoa ushauri kitaalam. Naomba muanze kushambulia maeneo nyeti ya Israel kama ambavyo wametufanyizia wao. Tusirushe tu ngumi kama walevi...
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.
Kwa maoni yangu ninaamini Israeli...
Leo ni siku ya kina baba duniani, mojawapo ya kitu nimeskliza kwenye ibada ya leo ni umuhimu sana wa sisi akina baba kuwa makini sana na kinachotoka midomoni mwetu, maneno hukata kuliko hata...
Iran licha kupigwa na mindege ya Israel kwa awamu nne, 4 waves, ilishindwa kuangusha hata ndege moja, au hata kuzuia makombora, imepigika haswa, sasa Iran ikajibu kwa kutuma drones, zimepigwa zote...
Game inaanza tu. Maafisa wa ngazi za juu kabisa kwenye jeshi wanafyekwa kule iran.
Wanasayansi wa maswala nyuklia nao wameliwa vichwa.
Putin unatuangusha sana. Kumwacha Zeleskyy kuendelea kuzurura...
Wapiganaji wa Hamas ambao kwa sasa wanapigana kwa mbinu mbadala baada ya viongozi wao wakuu kuuliwa wameonekana kuja juu katika wiki kadhaa zilizopita na kufanikiwa kuwauwa askari kadhaa wa Israel...
Kama hatujui bora tunyamaze ila tutambue kuwa Israel anapata sapoti ya kupita kwenye anga za nchi tofauti na kupiga katika anga la Irani,kama Israel angetumia mabomu ya mbali basi zile system za...
Persians wanajiandaa kuigeuza Israel kifusi.
Mzayuni anasubiriwa ajichanganye tu.
#TUTAKUWEPO
BREAKING:
🇮🇱🇮🇷 Iran is preparing to flatten Israel with thousands of ballistic missiles - New York...
Jamani tuendelee kuwaombea wenzetu mashariki ya kati watu wasio na hatia wanateseka.
vita sio vizuri, watoto wanateseka sana, naandika hapa machoz yananitoka. wakati nikiwa secondary nilisoma...
Shambulio la Israel hivi majuzi pale Gaza mjini Al-Mawasi katika mji wa Khan Younis, imepelekea nitafakari kwamba Israel imedhamiria kuisafisha Gaza yote na kuwaondoa Palestinians wote haijalishi...
By AFPToday, 8:39 pm
French President Emmanuel Macron (L) meets with Iran's President Masoud Pezeshkian (R) on the sidelines of the 79th Session of the United Nations General Assembly at the UN...
Kuna tetesi kuwa Seneta kutoka chama cha demokrati ameuawa kwa kupigwa risasi huku tukio hilo likihusishwa na swala la kisiasa.
-----
A Minnesota state lawmaker and her husband were shot and...
Al Jazeera wanatangaza Kituo Cha gesi Cha South Pars gas kilichopo kusini mwa Jimbo la Bushehr.
Kadhalika Netanyahu ametangaza operation kubwa kuendelea dhidi ya Iran.
(Al Jazeera News 1900 hrs)...