International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Tatizo nani wa kumwambia Israel aache sasa, yule ni kichwa cha mwenda wazimu, na sasa Iran imefaulu kuua raia wanne Israel, imezidisha hasira kwa Wayahudi. -------------- In a call with his...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Two F-35 fighter jets landed in Israel Sunday, the army said, bringing the number of fifth-generation stealth aircraft that the military says it has in its arsenal up to 16. The Israel Defense...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Iran inasemekana itatoa kichapo kizito kwa Israel usiku huu. Huu ndo usiku mgumu zaidi unaoenda kushuhudiwa kwa Israel Israel wajiandae kuzingirwa kwa maelfu ya makombora kutoka Iran Huu usiku...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Katika hali ambayo inashangaza sana na kukasirisha. Ni kitendo cha Khayatollah kumpigia simu Trump kuwa awaambie watu wake Mayahudi kuwa sasa wamerudishiana angalau yaishe. Trump anasema...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwene vita Majeruhi wa kwanza wa vita hua ni Ukweli. Mimi technophilic nitafanya kazi ya kuverify Ukweli na Propaganda Unaweza tuma picha au video nikaverify
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Wasalam Alleykhum wa rahma tullay wabalaqatuh! Sasa natoa ushauri kitaalam. Naomba muanze kushambulia maeneo nyeti ya Israel kama ambavyo wametufanyizia wao. Tusirushe tu ngumi kama walevi...
3 Reactions
12 Replies
537 Views
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE. Kwa maoni yangu ninaamini Israeli...
23 Reactions
145 Replies
6K Views
Leo ni siku ya kina baba duniani, mojawapo ya kitu nimeskliza kwenye ibada ya leo ni umuhimu sana wa sisi akina baba kuwa makini sana na kinachotoka midomoni mwetu, maneno hukata kuliko hata...
2 Reactions
4 Replies
461 Views
Iran licha kupigwa na mindege ya Israel kwa awamu nne, 4 waves, ilishindwa kuangusha hata ndege moja, au hata kuzuia makombora, imepigika haswa, sasa Iran ikajibu kwa kutuma drones, zimepigwa zote...
4 Reactions
92 Replies
4K Views
Game inaanza tu. Maafisa wa ngazi za juu kabisa kwenye jeshi wanafyekwa kule iran. Wanasayansi wa maswala nyuklia nao wameliwa vichwa. Putin unatuangusha sana. Kumwacha Zeleskyy kuendelea kuzurura...
11 Reactions
40 Replies
2K Views
Wapiganaji wa Hamas ambao kwa sasa wanapigana kwa mbinu mbadala baada ya viongozi wao wakuu kuuliwa wameonekana kuja juu katika wiki kadhaa zilizopita na kufanikiwa kuwauwa askari kadhaa wa Israel...
2 Reactions
2 Replies
405 Views
Kama hatujui bora tunyamaze ila tutambue kuwa Israel anapata sapoti ya kupita kwenye anga za nchi tofauti na kupiga katika anga la Irani,kama Israel angetumia mabomu ya mbali basi zile system za...
3 Reactions
3 Replies
422 Views
Persians wanajiandaa kuigeuza Israel kifusi. Mzayuni anasubiriwa ajichanganye tu. #TUTAKUWEPO BREAKING: 🇮🇱🇮🇷 Iran is preparing to flatten Israel with thousands of ballistic missiles - New York...
5 Reactions
104 Replies
5K Views
Jamani tuendelee kuwaombea wenzetu mashariki ya kati watu wasio na hatia wanateseka. vita sio vizuri, watoto wanateseka sana, naandika hapa machoz yananitoka. wakati nikiwa secondary nilisoma...
5 Reactions
22 Replies
897 Views
Shambulio la Israel hivi majuzi pale Gaza mjini Al-Mawasi katika mji wa Khan Younis, imepelekea nitafakari kwamba Israel imedhamiria kuisafisha Gaza yote na kuwaondoa Palestinians wote haijalishi...
25 Reactions
107 Replies
6K Views
By AFPToday, 8:39 pm French President Emmanuel Macron (L) meets with Iran's President Masoud Pezeshkian (R) on the sidelines of the 79th Session of the United Nations General Assembly at the UN...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna tetesi kuwa Seneta kutoka chama cha demokrati ameuawa kwa kupigwa risasi huku tukio hilo likihusishwa na swala la kisiasa. ----- A Minnesota state lawmaker and her husband were shot and...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tupo live muda huu Iran keshaanza kazi. Huu uzi utakua na updates za kila kinachoendelea muda huu. Update:Makombora ya Iran yameanza kutua
0 Reactions
12 Replies
695 Views
Al Jazeera wanatangaza Kituo Cha gesi Cha South Pars gas kilichopo kusini mwa Jimbo la Bushehr. Kadhalika Netanyahu ametangaza operation kubwa kuendelea dhidi ya Iran. (Al Jazeera News 1900 hrs)...
4 Reactions
53 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…