International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Afrika Mashariki kilichowekezwa na China kimezinduliwa hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Tanzania. Kabla ya hapo, Kituo cha Kimataifa cha Usafirishaji cha...
6 Reactions
3 Replies
503 Views
Shirika la Ujerumani lililotaka kuchunguza ili liiwekee vikwazo Israel kwa Kusababisha Njaa na Mateso kwa Wa gaza limegundua kuwa ni maigizo yanayoandaliwa a Hamas kuhadaa Dunia kampeni ambayo...
0 Reactions
7 Replies
438 Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza mpango wa kuweka ushuru mpya wa zaidi ya asilimia 10 kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka kwa nchi ndogo, zikiwemo kadhaa kutoka Afrika na Karibiani. Hatua...
1 Reactions
5 Replies
500 Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza agizo rasmi la kuongeza ushuru wa ziada wa asilimia 25 kwa bidhaa zinazoingia Marekani kutoka India, kutokana na India kuendelea kununua mafuta kutoka...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Sheria mpya kutoka uhamiaji Marekani inawataka raia wa Zambia na Malawi wanaotaka kwenda Marekani kwa kutembea ama kibiashara ku deposit kwanza kiasi cha dollars za marekani elfu 15 kabla ya...
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Kwanini Kenya ndio inaumia na tangazo la kuzuia wafanyabiashara wadogo hapa nchini naona tangu tangazo litoke wanalia lia media zote za kenya hadi waziri wa biashara na uwekezaji wa kenya leo...
11 Reactions
68 Replies
4K Views
Wanajeshi wa IDF wafichua kwamba shambulio la Hamas la oktoba 7 lilikua na mkono wa israel, katika kile kinachodaiwa kuwa ni sababu/fursa tosha ya kuwaondoa wapalestina milele
8 Reactions
68 Replies
3K Views
Iran imetekeleza Jumatano hukumu ya kifo kwa kumnyonga mtu mmoja aliyepatikana na hatia ya kufanya ujasusi na kutoa taarifa kwa Israel. Taarifa hizo ziliwezesha mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Rais Donald Trump wa Marekani amemtuma tena mjumbe wake maalum kwenda Urusi, wiki moja baada ya kumpa muda wa mwisho Rais Vladimir Putin awe ameshakomesha vita vyake dhidi ya Ukraine ifikapo...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Naim Qassem ambaye ni kiongozi wa Hizbullah amesema kundi lake halijaona umuhimu wa kusalimisha silaha zake kwa serikali ya Lebanon wakati Israel imevunja mkataba wa kusitisha vita na inaenndelea...
5 Reactions
11 Replies
665 Views
Prime Minister Benjamin Netanyahu will convene his security cabinet at 6 p.m. Thursday at his office in Jerusalem, according to the Prime Minister’s Office, where it is expected to approve fresh...
1 Reactions
4 Replies
901 Views
Uingereza imeanza kutoa chanjo ya kwanza duniani dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Gonorrhoea ambayo yamefikia viwango vya juu. Chanjo hiyo itatolewa kwa makundi ya watu walio hatarini zaidi haswa...
1 Reactions
3 Replies
617 Views
Mawaziri wa Ulinzi na Mazingira wa Ghana wamefariki katika ajali ya Helikopta ya Kijeshi katika eneo la kati la Ashanti, pamoja na watu wengine sita. Mkuu wa Majeshi Julius Debrah aliuambia...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Israel lazima "iwashinde kabisa" Hamas huko Gaza, Benjamin Netanyahu amesisitiza siku ya Jumanne, Agosti 5. Mkuu wa majeshi ya Israeli, kama sehemu kubwa ya uongozi wa juu wa kijeshi, anapinga...
0 Reactions
2 Replies
499 Views
Mahakama ya Katiba nchini Cameroon imemzuia mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa Maurice Kamto kugombea urais dhidi ya Rais Paul Biya, ambaye ana miaka 92 na amekuwa madarakani tangu 1982...
0 Reactions
7 Replies
489 Views
Hatimaye mwanasiasa wa ngazi ya juu wa marekani ameondoka Taiwan mchana huu. Ziara ya Pelosi ilileta gumzo duniani kote na kufuatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni kote. China imeachwa na...
13 Reactions
90 Replies
8K Views
Baada ya siku mbili za mazungumzo jijini Stockholm, pande zote zilionyesha nia ya kusuluhisha tofauti zao lakini msimamo wa Washington wa kuitaka China kusitisha biashara hiyo ya nishati bado ni...
8 Reactions
34 Replies
2K Views
  Su-57 Gains New Hypersonic Strike Capability: Why the Zircon Mach 9+ Missile Could be a Game Changer  Su-57 and Hypersonic Missile Artwork ***kama alivyoeleza Mkuu wa Jeshi la Anga la...
8 Reactions
1 Replies
738 Views
Wataalamu wa Shirika la Ujasusi la Kijeshi la Ukraine (HUR) wamefanikiwa kuvunja ulinzi wa Jeshi la Majini la Urusi na kupata nyaraka za ndani zinazohusu manowari mpya ya daraja la Project 955A...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Muungano wa kijeshi wa NATO unaratibu ufikishaji wa kawaida wa silaha kubwa kwa Ukraine baada ya Uholanzi kusema itatowa mfumo wa ulinzi wa anga, risasi na msaada mwengine wa kijeshi wenye thamani...
0 Reactions
1 Replies
296 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…