Siku zote nilikuwa nikijiuliza maswali mengi kichwani bila kupata majibu yake kuhusu ni kwa vipi nchi kama Burundi yenye migogoro mingi ya kiusalama inawezeje kutoa wanajeshi wake wengi kwenda...
Maafisa wawili wa ngazi za juu nchini Italia wamekanusha vikali ripoti ya shirika la kulinda haki za binaadam, Amnesty International kwamba polisi nchini humo wamewanyanyasa wahamiaji wanaotafuta...
Uingereza haiwezi kuondoka EU, na habari ndiyo hiyo sasa Bunge la Uingereza ndiyo litaamua na siyo kura ya Mwananchi tena, na kama tujuavyo Wabunge ni corrupt hivyo na siajabu sehemu...
Umoja wa Mataifa umesema kuwa takribani wahamiaji 4,220 wameshapoteza maisha mwaka huu kufuatia ajali zinazotokea majini pale wahamiaji wanapokuwa kwenye majaribio ya kwenda barani ulaya.
Taarifa...
Image copyright AFP
Image caption Jemedari Johnson Mogoa Kimani Ondieki amefutwa kazi na UN
Kenya imetangaza kuwa inawaondoa wanajeshi wake kutoka kikosi maalumu cha Umoja wa Mataifa cha...
وفاة محمد سعيد الصحاف وزير الاعلام السابق العراقي في عهد صدام حسين
في الامارات اليوم
AMEFARIKI LEO ALIEKUA WAZIRI WA HABARI KIPINDI CHA UTAعن عمر WALA WA SADDAM HUSSAIN IRAQ. MUHAMMAD SAID...
Commisioner of Elections wa New York ajulikanye kama Alan Schulkin amerekodiwa akitilia shaka uchaguzi wa USA unavyofanyika, na kwamba kuna voters fraud au wizi wa kura unafanyika USA, kwa maneno...
Ni kweli wengi hatumdhanii na Wamarekani wa mlengo wa kawaida pia hawamtazamii, lakini inaonekana FBI kurudia kufukunyua uchunguzi wa the former and the expected first lady itakuwa imeathiri...
Kuna haja yakumtuma Jecha kuokoa jahazi mpaka sasa hakuna mshindi wa uchaguzi labda kwa msaada wa goli la mkono..
======
With Trump, Clinton Deadlocked, Race Is In 'Brexit' Zone: IBD/TIPP Poll...
IRAN: Mahakama mjini wa Tehran yamhukumu viboko 135 aliyekuwa mkuu wa mashtaka ya umma Bwana Saeed Mortazavi kwa makosa ya ufisadi.
=========
A former prosecutor general of Tehran described by...
Mwanaume mmoja amezua taharuki katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kamuzi katika mji mkuu wa Malawi Lilongwe baada ya kufika uwanjani hapo akiwa amevalia nguo ya ndani (Chupi pekee) akitaka...
Raia wa Iran wameshitushwa na madai yaliyotolewa yakimshutumu Msoma Qu'ran Maarufu nchini humo ambaye anakabiliwa na mashitaka ya kudhalilisha kingono watoto wadogo wa kiume.
Inadaiwa Bw. Saeed...
MAREKANI: Polisi katika jimbo la Mississippi wanachunguza uhalifu wa chuki baada ya Kanisa linalotumiwa na watu weusi kuteketezwa na kisha kuchorwa maneno ya kusema: "Mpigie kura Trump".
Kanisa...
Tangazo la mkurugenzi wa FBI James Comey la kuchunguza upya barua pepe za Bi. Clinton huwenda likabadili upepo wa mchuano kati ya wagombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa Marekani siku chache...
Leo ndiyo nimeamini kwamba kweli Dunia hii ni duara na kwamba hakuna jipya kila kilichopo kilikuwepo na kwamba yote tuyafanyayo ni marudio tu!
Leo Raisi wa USA, Barack Obama anasema kwamba...
Takribani watu 17 wamefariki na wengine 50 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha treni zilizokuwa zimebeba mamia ya abiria. Mashuhuda wamedai kuwa treni moja iliigonga treni nyingine iliyokuwa...
Ningependa kujua kama AU au SADC nao watatuma International observers kwenye uchaguzi wa Marekani. Maana ni vyema kuhakikisha hawamchakachui mheshimiwa Trump.
Kenya imetangaza kuwa inawaondoa wanajeshi wake kutoka kikosi maalumu cha Umoja wa Mataifa cha kudumisha amani kilichoko Sudan Kusini, baada ya kamanda wake kutimuliwa kazini.
Wizara ya Mashauri...