Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

MFUMO WA UUZAJI WA ALBUM AMA KAZI ZA WASANII.. Wasanii wa Tanzania wana sababu nyingi sana za kwanini hawatoi album. Baadhi ya sababu kama kufa kwa mfumo wa uuzaji wa album uliokuwa ukifanywa na...
0 Reactions
0 Replies
468 Views
MAMA NDIO CHANZO CHA WIMBO WANGU ( KIBANDA CHA SIMU )BY SOGGY DOGGY Soggy Doggy amesema chanzo cha yeye kuandika wimbo huo ni baada ya mama yake kupenda kufungia simu yao ya mezani ili kuogopa...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
SOGGY DOGGY ANTER. Jamvi la Ukwaju wa Kitambo lilibahatika kupiga stori na Msanii mkongwe katika Game ya Bongo fleva soggy doggy. Tulibahatika kuzungumza mengi ila kwa faida ya wafuatiliaji wa...
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Nguli Wa Muziki Ya Bongoflava Professor Jay Amekutana Na Alikiba Hii Ikiashiria Kuwa Kolabo Yao Iko Jikoni . Wiki Jana Nilipata Nafasi Ya Kuongea Na Professor Jay Akaniambia Kuna Kazi Wanawachilia...
0 Reactions
1 Replies
462 Views
Malalamiko dhidi ya Miley Cyrus yanadai kwamba wimbo 'Flowers' usingekuwepo bila wimbo wa 'When I was Your Man' wa Bruno Mars na kutaka uzalishaji na usambazaji wa wimbo huo Aidha, kesi hii...
0 Reactions
1 Replies
749 Views
Una Safari ya takriban saa 10, ni Msanii gani utamsikiliza mwanzo hadi mwisho wa Safari? Mimi nitamskiliza Nicki Minaj non stop. Am her biggest fan
6 Reactions
97 Replies
4K Views
Skin head, dead head Everybody gone bad Situation, aggravation Everybody, allegation In the suit, on the news Everybody, dog food Bang bang, shock dead Everybody's gone mad All I wanna say is...
2 Reactions
4 Replies
547 Views
Wimbo wameimbia mshikaji na demu unapoanza anaanza kuimba dada anasema "ana stress siku mbili hajala" sina hakika kama nimepatia. Ahsanteni
3 Reactions
62 Replies
2K Views
Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo 1. Wenzetu wana wekeza sana kwenye teknolojia na futuristic/ kutafuta solution ya maisha ya baadae na kugundua teknolojiaa mpya ...
5 Reactions
12 Replies
797 Views
Rapa na mfanyabiashara ‘Diddy’ ameripotiwa kunyimwa dhamana baada ya kudai kuwa Hana hatia katika mashtaka ya kingono yanayomkabili na hivyo ataendelea kubaki rumande hadi pale kesi yake...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
LB FT DULLY SKEYS & SNA LEE. Chorus...( Dully sykes) "brandi brandina I love You , brandi brandina I need You... brandi brandina nakupenda , brandi brandina nakuhitaji... × 2 Verse 1. ( Lb)...
2 Reactions
1 Replies
306 Views
https://youtu.be/fE6XAeZfAsk?si=UclWa-JqLqNMimLJ https://youtu.be/MLlSSJ0z7xM?si=cmUet6D4DYIAqhvU Je wajua video hii ya wimbo wa dancing in the flames kutoka kwa mkali wa pop kutoka Canada the...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu nisiwachoshe, Msinichoshe, Tusichoshane, Kuna vijana wanaimba mziki mzuri wengi wao wapo mitaani na hatuwajui wala hawajapata nafasi ya nyimbo zao kusikika kama waliopata bahati ya...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
AY FT BANANA ZORO & COMPLEX - MCHANGA WA MACHO .. CHORUS..( BANANA ZORO) BANANA ZORO.. "nilijaribu kukupenda na mema mengi kwako nilitenda/ moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa...
1 Reactions
14 Replies
942 Views
UKWAJU WA KITAMBO NITOKE VIPI - BWANA MISOSI FT HARD MAD VS NIMECHEZEA BAHATI - MAN X FT DULLY SYKES.. ______________________________ studio ya Bongo Records ndiyo nyumba kuu ya upishi huu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
PROFESOR JAY FT CHID BENZ - MSILIE. ( PRODUCER LAMAR) 41 records.. Verse .. 1. Yeah! Na muomba Mungu ili tuweze kuyakabili/ yanayojili mengi wahenga waliyatabili/ ona nyumba za ibanda leo...
0 Reactions
1 Replies
576 Views
CRAZY BUFFA FT ZAHARANI.. - MUELIMISHAJI.. Masela wote...!! kaeni chocho...!! Madawa ya kulevya haina ya faida kwako.. ebu sikiliza Eeeh.. huyu ni muelimishaji Eeeh Eeh..!!! Verse ..1. ( crazy...
1 Reactions
0 Replies
319 Views
Ustar wa kibongo naona ni kama kero/ ukipita masikani lazima uwe na jero/ wengine ukiwapa jero hawataki wanataka buku/ na ukisema huna lazima wakutoe mkuku/wanashindwa kulinganisha thamani ya jina...
1 Reactions
3 Replies
311 Views
EEH MOLA - HARD BLASTERS CREW ( H.B.C) Ni hitimisho la mwisho jaribu kufanya masahisho/ kabla ya mungu hajakata pumzi ya mwisho/si vitisho ni wakirisho kuona kata wito pima uzito hapo ulipo...
1 Reactions
0 Replies
492 Views
MAKOMA Makoma ilikuwa bendi ya muziki wa Injili kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Makoma wanaimba kwa Kilingala, Kiingereza na Kifaransa, na wakati mwingine Kiholanzi na...
3 Reactions
9 Replies
829 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…