Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wimbo wameimbia mshikaji na demu unapoanza anaanza kuimba dada anasema "ana stress siku mbili hajala" sina hakika kama nimepatia. Ahsanteni
3 Reactions
62 Replies
2K Views
Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo 1. Wenzetu wana wekeza sana kwenye teknolojia na futuristic/ kutafuta solution ya maisha ya baadae na kugundua teknolojiaa mpya ...
5 Reactions
12 Replies
759 Views
Rapa na mfanyabiashara ‘Diddy’ ameripotiwa kunyimwa dhamana baada ya kudai kuwa Hana hatia katika mashtaka ya kingono yanayomkabili na hivyo ataendelea kubaki rumande hadi pale kesi yake...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
LB FT DULLY SKEYS & SNA LEE. Chorus...( Dully sykes) "brandi brandina I love You , brandi brandina I need You... brandi brandina nakupenda , brandi brandina nakuhitaji... × 2 Verse 1. ( Lb)...
2 Reactions
1 Replies
290 Views
https://youtu.be/fE6XAeZfAsk?si=UclWa-JqLqNMimLJ https://youtu.be/MLlSSJ0z7xM?si=cmUet6D4DYIAqhvU Je wajua video hii ya wimbo wa dancing in the flames kutoka kwa mkali wa pop kutoka Canada the...
4 Reactions
11 Replies
978 Views
Wakuu nisiwachoshe, Msinichoshe, Tusichoshane, Kuna vijana wanaimba mziki mzuri wengi wao wapo mitaani na hatuwajui wala hawajapata nafasi ya nyimbo zao kusikika kama waliopata bahati ya...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
AY FT BANANA ZORO & COMPLEX - MCHANGA WA MACHO .. CHORUS..( BANANA ZORO) BANANA ZORO.. "nilijaribu kukupenda na mema mengi kwako nilitenda/ moyoni mwako sikuwapo kumbe ulikuwa mchanga wa...
1 Reactions
14 Replies
902 Views
UKWAJU WA KITAMBO NITOKE VIPI - BWANA MISOSI FT HARD MAD VS NIMECHEZEA BAHATI - MAN X FT DULLY SYKES.. ______________________________ studio ya Bongo Records ndiyo nyumba kuu ya upishi huu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
PROFESOR JAY FT CHID BENZ - MSILIE. ( PRODUCER LAMAR) 41 records.. Verse .. 1. Yeah! Na muomba Mungu ili tuweze kuyakabili/ yanayojili mengi wahenga waliyatabili/ ona nyumba za ibanda leo...
0 Reactions
1 Replies
554 Views
CRAZY BUFFA FT ZAHARANI.. - MUELIMISHAJI.. Masela wote...!! kaeni chocho...!! Madawa ya kulevya haina ya faida kwako.. ebu sikiliza Eeeh.. huyu ni muelimishaji Eeeh Eeh..!!! Verse ..1. ( crazy...
1 Reactions
0 Replies
302 Views
Ustar wa kibongo naona ni kama kero/ ukipita masikani lazima uwe na jero/ wengine ukiwapa jero hawataki wanataka buku/ na ukisema huna lazima wakutoe mkuku/wanashindwa kulinganisha thamani ya jina...
1 Reactions
3 Replies
293 Views
EEH MOLA - HARD BLASTERS CREW ( H.B.C) Ni hitimisho la mwisho jaribu kufanya masahisho/ kabla ya mungu hajakata pumzi ya mwisho/si vitisho ni wakirisho kuona kata wito pima uzito hapo ulipo...
1 Reactions
0 Replies
467 Views
MAKOMA Makoma ilikuwa bendi ya muziki wa Injili kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Makoma wanaimba kwa Kilingala, Kiingereza na Kifaransa, na wakati mwingine Kiholanzi na...
3 Reactions
9 Replies
804 Views
MWANA FA & AY SONG: HABARI NDIO HIYO.. Ha, ha, habari ndo hiyo Ha, ha, habari ndo hiyo Ha ha habari ndo hiyo Ha ha habari ndo hiyo Ha ha habari ndo hiyo Ha ha habari ndo hiyo Ha ha habari ndo...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Member mwingine wa Jackson 5 naye ametangulia mbele ya haki; RIP Tito https://www.youtube.com/watch?v=WHBazbNU78o
3 Reactions
8 Replies
830 Views
Septemba 7 mwaka huu, Cardi B na Offset waliungana kwa pamoja kumkaribisha ulimwenguni mtoto wao wa Tatu pamoja. Cardi B ame-share nasi picha pamoja na video kwenye akaunti yake ya instagram...
5 Reactions
4 Replies
706 Views
Shida za Dunia Artist: Jose Chameleone Released: 2006 Album: Kipepeo Lyrics Rafiki yangu alikuja nyumbani, Kunielezea shida Fulani, ati alifukuzwa kazini na hajui atafanya nini, Mke wake...
4 Reactions
5 Replies
4K Views
DATAZ FT SOGGY DOGGY. - SIKUTAKI Intro.. ( Soggy doggy)... "Sikiliza dataz mi nimekuja tuyaongee tuyamalize nini lakini" ( Dataz..) "Soggy umefuata nini kwetu nilishasema sitaki.. ( Soggy...
0 Reactions
0 Replies
613 Views
VIVINI FT Q CHIEF - ITAKUWA NGUMU... Chorus.. 🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Oooh ooooh oooh oooh Ningekununulia Gari mama weee!! La kifahari lakini sina pesa " itakuwa ngumu" Ningekupeleka shart mama wee...
0 Reactions
0 Replies
228 Views
MAREHEMU COMPLEX _________________ "Navuta bafu la Vibe natoa moshi wa ryhems/ kama data, data kidogo nakuja na zangu ryhems/ sitaki utani walidhani Tupo ngizani/ wakafika uwanja na kupayuka...
1 Reactions
0 Replies
334 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…