College Top Model na Actor Faraja Thomas ni mmoja kati ya watanzania wanne ambao wataiwakilisha Tanzania kwenye Reality Tv show ambayo inategemewa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa nne huko nchini...
College Top Model na Actor Faraja Thomas ni mmoja kati ya watanzania wanne ambao wataiwakilisha Tanzania kwenye Reality Tv show ambayo inategemewa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa nne huko nchini...
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : MAUNDU MWINGIZI
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
“Naitwa Hunudu, ni shefa mkuu katika Dini hii tukufu ya WAUFI, Dini hii inaongozwa na Wafalme wa...
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
Glorious Worship Event (GWE) lilikuwa moja ya matamasha ya kusifu na kuabudu yaliyokuwa...
Wadau habarini za jioni,
Nimekuwa nikiangalia movies nyingi kati ya Nigeria na Tanzania.Wanigeria wamekuwa wakijivunia na kuweka vionjo vingi vya utamaduni wao tofauti na watanzania.Hii inatokana...
Chibu dee anajielewa sana yuko vizuri binafsi yeye kasema hana bifu na media ila media ndo zinabifu na yeye afu cha ajabu anashangaa media zenye bifu nae watangazaji wake wanampigia simu kila siku...
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : LEICESTER PETRON
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
Kawaida kwenye maisha tunakumbushwa kupenda kujituma kwa bidii zetu zote pale tufanyapo kazi zetu...
Achana na jamaa anaependa kujiita King,,haja Fanya kitu chochote kwenye Rap Game ya Bongo,,but kwa Ngosha,Bandidu,Jasiri.,mwanamalundi..ndio Real MC kwenye Game,,size yake wengi wapo hoi kwa...
Hizi ni baadhi nyimbo bora kabisa kuwahi kuimbwa na wasanii kutoka marekani
1. The chainsmokers ft codplay - Something just like this
2.Ed Sheeran - Castle on the Hill
3.kygo&Selena Gomez -...
Nimesikitishwa sana na kwa kiasi kikubwa mno mara baada ya kusikia ya kwamba Mwanamuziki wa Ngiama Makanda Werrason na Bendi yake ya ' Maison Mere ' wanakuja ' Kutumbuiza ' nchini Tanzania kwa...
Wakuu kwa wale wapenzi wa horror movie nani anaweza kunipa horror movie hapa DSM nijaze kwenye flash yangu nina interest nazo nataka nikazicheki chuo ninaondoka jtano apa DSM
Movie kama
_Annabel...
Achananeni na vipaji nendeni mkasomee kazi yenu. Kipaji kitakufanya upatie kidogo na kukosea sana kwenye kazi.
Tamthilia za waphilipino na wahindi kwenye luninga zetu zinatofautisha vipaji vyenu...
Niajee wakuu!
.
Ningependa kujua tu kua,
Nini kinaendelea kati ya diamond na baadhi ya media? Maana kuna baadhi ya media vinaonekana kama kumchunia..
Kama vile clouds,millard ayo..etc
Toa maoni yako
Hawa jamaa nilianza kuwasikia first kwenye ngoma yao inaitwa carola ila kama sikuwaelewa hivi. Ila hii ngoma yao ya passenger, kwakweli imenibamba, hususan pale mwisho jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.