Hit Maker wa Pombe Yangu na Tema Mate Tuwachape leo ametoa Exclusive picha kupitia millardayo kuhusu mjengo wake ambao ipo Mbezi ya Kimara eneo la Kimara Mwisho ambalo kwa maelezo ya Madee...
Je unamkumbuka Monica Lewinsky mwanamke aliyawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na aliyekuwa Rais wa Marekani Bill Clinton na kusababisha Rais kupigiwa kura ya turufu ya kutaka kumwondoa...
Post hii ni maalum kwa staa wa muziki wa Kenya anaetajwa kuingia kwenye TOP 5 ya Wasanii matajiri wa muziki wa kizazi kipya Afrika Mashariki huku orodha hiyo ikiwa na watu wengine kama Jose...
Habari wana JF.
Nakaa natafakari tuzo 7 alizopata Diamond, ukweli ni kwamba My Number One imempa Diamond mafanikio sana ameweza pata tuzo hizo kwa sababu ya ya huo wimbo, pia ameweza kuvuka...
Michelle Obama Bring Back Our Girls Campaign
First Lady of the United States Michelle Obama says "Our prayers are with the missing Nigerian girls and their families. It's time to...
Photos: Nicki Minaj stunning on set of wine beverage commercial
The rapper looked sexy in a peach Norma Kamali two-piece & Gucci heels, on set of her commercial for Myx Fusion, the...
Wana JF hapa mlimani city kwenye Kili Music Award Mpoki ni noma
Anashushua sana watu mpaka wengine wanaona noma mbele ya kadamnasi.
Mzee Yusuph mziki haachi ila anaoa tu, ni maneno yake na...
kuna yule jamaa alipanda kuperform kwenye KTMA jumamosi alikuwa akiongea kichaga mara akaimba kiarabu nlimkubali sana sema simjui jina mana ata mpoki alimtambulisha ka mtu mwenye vipaji vingi tu...
Kwa kweli Wtz hutujui kutengeneza matangazo ya biashara lakini nimeliangalia tangazo la Simtank ambalo limemshirikisha mchekeshaji Ramadhani Mwinshehe 'Kingwendu' kwa kweli nimelikubali pamoja na...
SIRI imefichuka! Mume (bado talaka) wa mwanamitindo maarufu Bongo ambaye kwa sasa yuko korokoroni Macau nchini China kwa msala wa kukamatwa na unga, Jacqueline Fitzpatrick Cliff, Abdulatif...
Hii ni kwa mujibu wa Cloud Fm msanii huyu amejifungua mtoto wa pili wa kiume, hongera Keisha umekuwa mama wawili sasa na mfano bora sana kwa wasanii wenzio
Ukiachana na burudani kutoka kwawanamuziki mbalimbali kwenye hafla yakukabidhi tuzo za muziki za Kilimanjaro,burudani zaidi ilikuwa ni maneno kutokakwa MC ambaye pia ni mwigizaji sanaa...
Kama kuna jambo la kusikitisha ni hili la wasanii wa mziki na maigizo katika luninga. Wasanii hawa hujituma sana kubuni njia ya kujinasua na umaskini kwa kutumia muda mwingi na pesa kibao kutunga...
Oscar winning actress and people magazine's most beautiful woman, Lupita Nyong'o opted for a unique look at this years Metropolitan Museum of Art's Costume Institute Gala on May 5 in New York...
Nashangazwa sana na hii kitu, mastaa wa kike wanapofanyiwa interview kwenye TV lazima kuna kasehemu wadondoshe chozi, hivi ni hisia au ndo kujifanyisha!
Ni msanii mwenye ups and downs nyingi sana , kama unatafuta role model hapa bongo basi muite Shilole. Alianzia kwenye movie lakini kabla ya movie alishawahi kuuza chakula na biashara mbali mbali...
1. T.I.D
Kauli mbaya na dharau ni kawaida kwake
2. Chidy Benz
Ukisikia kampiga mtu alafu ukashangaa basi utakua mgeni nchini na labda kama hujawai kumsikia msanii huyu.ngumi ndio maisha yake...