Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Muimbaji maarufu nchini wa nyimbo za injili nchini,Bahati Bukuku (40) amepata ajali akiwa katika gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kugonga gema, baada ya kugongwa na gari lingine...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Ni kitu cha kujivunia kama both best female and best male artist east africa wametoka nchi mmoja(Tanzania). Hii ina maana we run EA kwenye sector ya music.This is what should be discussed, as...
3 Reactions
50 Replies
6K Views
Model Andreja Pejic Comes Out as Transgender "As a transgender woman I hope to show that after transition (a life-saving process) one can be happy and successful in their new chapter without...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo, Tangu mbunge wa mbeya mjini muheshimiwa sugu alipoonyesha nia ya dhati ya kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA na kufanikiwa kupata kiti hicho mwaka...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ndio hiyo....diamond is now the best artist in east africa...and hav the best collabo....
2 Reactions
106 Replies
14K Views
Best DJ Africa 2014- Dj Black (Ghana) Best African DJ USA 2014 – Dj Josh (Kenya) Best Video of the Year 2014- Flavour (Nigeria) Best Male East Africa 2014- Diamond (Tanzania) Best Male West Africa...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Ukweli unauma...nasema hivi Talent pekeee haitoshi bila kujipanga...nikiwa kama shabiki wa Ali kiba,huu wimbo wa mwana kachemka..watanzania tuwe wakweli na sio watu wakurupuka tu..Kiba ana vocal...
4 Reactions
51 Replies
6K Views
Ni dhahiri kuwa sasa , staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka na Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ' Chaz Baba ' wapo kwenye bifu zito. Habari kutoka kwa chanzo chetu...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Mwanafilamu maarufu ktk bongo movie miss wema amewaasa vijana kuacha michepuko na kuwa na mpenzi 1, haya amezungumza kutoka ktk tamasha la kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vijana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
While Kanye West is singing praises of his new wife, saying no woman on earth turns him on like she does, In Touch Weekly is reporting that he's left her after only 58 days of marriage..lol. Were...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
sasa natafsiri feux de l'amour. samahani kuna baadhi ya maneno ya kifaransa nitaandika kama yanavyotamkwa bt sio kama yanavyoandikwa Feux de l'amour Feux de l'amour…. De l'amour est-ce...
6 Reactions
44 Replies
17K Views
Huwa nawasikia. Kwa kiswahili kizuri (si fasaha) hawajambo. Tatizo huja pale wanapotamka maneno ya kingereza, ni aibu. Nashauri waajiri wawe wanatilia maanani hii lugha pia maana hao watangazaji...
1 Reactions
68 Replies
9K Views
Steve Mangere, maarufu kama Steve Nyerere katika kipindi cha wasanii na siasa cha StarTv jioni hii amesema wasanii na wanasiasa ni walewale maana wote wanaongea uongo 80% na ukweli 20%. Pia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimekutana na Msanii huyu mkongwe Tanga Stendi ya Basi jana tarehe 20/07/2014. Hali nilio muona nayo sikuamini macho yangu kwamba ni yeye!. Nililazimika kumfuata na kumsalimia. Nikamuuliza Tofee...
0 Reactions
27 Replies
11K Views
MTIFUANO mzito umeibuka kati ya mastaa wa Bongo, Zuwena Mohamed ' Shilole ' na Baby Madaha baada ya kurushiana vijembe. Awali katika gazeti la Amani toleo la wiki iliyopita, Baby Madaha...
1 Reactions
61 Replies
8K Views
MWIGIZAJI nguli katika tasnia ya filamu Bongo , Aunt Ezekiel aka cheusi dawa anadaiwa kuanza kusaka mtoto ikiwa ni miaka miwili tangu afunge ndoa na Sunday Dimonte . Kwa mujibu wa rafiki wa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi wa muvi za kinaijeria za zamani bila shaka mtakua mnamkumbuka huyu muigizaji. Nilipenda sana filamu aliyocheza inaitwa IZAGA. Sijui yuko wapi mwenye taarifa zaidi anijuze kwa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
wadau wa mziki wa hiphop ya kiTZ (siku hizi bongo fleva kwa ujumla wake)mtakuwa mnamkumbuka huyu brother.he was an illest mc ever btwn 1995-2002.kipindi hicho nakumbuka nilikuwa O-LEVEL na...
0 Reactions
48 Replies
18K Views
Habari toka chanzo cha kuaminika kilichopo ndani ya kanisa la mchungaji huyo ni kuwa Gwajima hivi sasa ameshauza karibia robo tatu ya mali zake na kwamba moja kati...
2 Reactions
57 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…