Muimbaji maarufu nchini wa nyimbo za injili
nchini,Bahati Bukuku (40) amepata ajali akiwa
katika gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na
kugonga gema, baada ya kugongwa na gari
lingine...
Ni kitu cha kujivunia kama both best female and best male artist east africa wametoka nchi mmoja(Tanzania). Hii ina maana we run EA kwenye sector ya music.This is what should be discussed, as...
Model Andreja Pejic Comes Out as Transgender
"As a transgender woman I hope to show that after transition (a life-saving process) one can be happy and successful in their new chapter without...
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo,
Tangu mbunge wa mbeya mjini muheshimiwa sugu alipoonyesha nia ya dhati ya kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA na kufanikiwa kupata kiti hicho mwaka...
Best DJ Africa 2014- Dj Black (Ghana)
Best African DJ USA 2014 Dj Josh (Kenya)
Best Video of the Year 2014- Flavour (Nigeria)
Best Male East Africa 2014- Diamond (Tanzania)
Best Male West Africa...
Ukweli unauma...nasema hivi Talent pekeee haitoshi bila kujipanga...nikiwa kama shabiki wa Ali kiba,huu wimbo wa mwana kachemka..watanzania tuwe wakweli na sio watu wakurupuka tu..Kiba ana vocal...
Ni dhahiri kuwa sasa , staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka na Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ' Chaz Baba ' wapo kwenye bifu zito.
Habari kutoka kwa chanzo chetu...
Pole Flora!Inauma kusikiliza mdogo wako akikuelezea mumeo alivyo mbaka,si kumbaka tu hata kusikia ametembea na mdogo wako tu kwa kukubaliana naye.Binafsi nakupongeza kwa kututhibitishia wenye...
Mwanafilamu maarufu ktk bongo movie miss wema amewaasa vijana kuacha michepuko na kuwa na mpenzi 1, haya amezungumza kutoka ktk tamasha la kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vijana...
While Kanye West is singing praises of his new wife, saying no woman on earth turns him on like she does, In Touch Weekly is reporting that he's left her after only 58 days of marriage..lol. Were...
sasa natafsiri feux de l'amour.
samahani kuna baadhi ya maneno ya kifaransa nitaandika kama yanavyotamkwa bt sio kama yanavyoandikwa
Feux de l'amour
Feux de l'amour…. De l'amour est-ce...
Huwa nawasikia. Kwa kiswahili kizuri (si fasaha) hawajambo. Tatizo huja pale wanapotamka maneno ya kingereza, ni aibu. Nashauri waajiri wawe wanatilia maanani hii lugha pia maana hao watangazaji...
Steve Mangere, maarufu kama Steve Nyerere katika kipindi cha wasanii na siasa cha StarTv jioni hii amesema wasanii na wanasiasa ni walewale maana wote wanaongea uongo 80% na ukweli 20%.
Pia...
Nimekutana na Msanii huyu mkongwe Tanga Stendi ya Basi jana tarehe 20/07/2014. Hali nilio muona nayo sikuamini macho yangu kwamba ni yeye!. Nililazimika kumfuata na kumsalimia. Nikamuuliza Tofee...
MTIFUANO mzito umeibuka kati ya mastaa wa Bongo, Zuwena Mohamed ' Shilole ' na Baby Madaha baada ya kurushiana vijembe.
Awali katika gazeti la Amani toleo la wiki iliyopita, Baby Madaha...
MWIGIZAJI nguli katika tasnia ya filamu Bongo , Aunt Ezekiel aka cheusi dawa anadaiwa kuanza kusaka mtoto ikiwa ni miaka miwili tangu afunge ndoa na Sunday Dimonte .
Kwa mujibu wa rafiki wa...
Kwa wale wapenzi wa muvi za kinaijeria za zamani bila shaka mtakua mnamkumbuka huyu muigizaji. Nilipenda sana filamu aliyocheza inaitwa IZAGA.
Sijui yuko wapi mwenye taarifa zaidi anijuze kwa...
wadau wa mziki wa hiphop ya kiTZ (siku hizi bongo fleva kwa ujumla wake)mtakuwa mnamkumbuka
huyu brother.he was an illest mc ever btwn 1995-2002.kipindi hicho nakumbuka nilikuwa O-LEVEL na...
Habari toka chanzo cha kuaminika kilichopo ndani ya kanisa la mchungaji huyo ni kuwa Gwajima hivi sasa ameshauza karibia robo tatu ya mali zake na kwamba moja kati...