AMA kweli fedha mwanaharamu ! Kama bado ulikuwa ukiamini kwamba Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu anayependelea kuitwa Madam ana mtonyo ( fedha) kumzidi aliyekuwa shosti wake, mwigizaji Kajala...
Mtunisi
YOBNESH Yusuph ' Batuli' anayekimbiza kunako soko la Bongo Movies , amefunguka kuwa hataki kusikia habari za aliyekuwa mpenzi wake aliye pia msanii mwenzake, Mtunisi kwani mapenzi...
Mwigizaji na Mwanamuziki Maarufu Bongo Shilole Amesema Kwake Matumizi ya Condom huwa yanamyima raha ya Mapenzi Hivyo alilazimika kwenda kupima ngoma na mpenzi wake ili wasitumie mipira.
Shilole...
Mtalaka wa msanii mkongwe wa filamu Nuru Nassoro ' Nora', Luqman Nassoro amesema anasaka wasichana warembo na muonekano mzuri kuanzia sura hadi shepu kwa ajili ya kufanya nao kazi.
Msanii...
WanaJF nimemsikia aliyekuwa Mtangazaji wa TBC Joseph Msami kwenye kipindi cha Mkasi EATV akidai kuwa ndiye aliyempokea Millard na kumfundisha kazi enzi hizo wapo Radio ila kilio chake kwake kila...
It's with great amazement that many bongo super stars prefer being hallowed in vain,though they pretend hating udaku papers but they cannot obtain any sleep if it happens that within the entire...
Mcheza shoo wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond,' Moses Iyobo (katikati).
Mcheza shoo wa Mwanamuziki Nasibu Abdul "Diamond" Moses Iyobo amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kuenea uvumi...
Modo maarufu Bongo, Hamisa Mabeto amekanusha vikali taarifa za kuwa ana msururu wa mabwana kama inavyosambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Hamisa...
MWANADADA anayefanya poa kwenye anga la filamu Bongo, Lucy Komba amejikuta akibaki na viulizo vingi kutokana na kitendo cha msanii mwenzake, Aunt Ezekiel kuishi mbali na mumewe anayefahamika kwa...
Manager wa wema sepetu, martin kadinda ameibuka na kusema " Wema hana pesa ya kunilipa mimi. Ninachokifanya ni kuhangaika kutafuta dili mimi na yeye tusilale njaa, maisha ni kutegemeana."
Kadinda...
She's unbelievably stunning and engaged to be wed to Liverpool new-boy Super Mario, but there's so much more to learn about the Belgian model
They've been together for almost two years
You...
Umofia kwenu,
Super model wa tangazo la Darling Hair afariki dunia kwa ajali ya gari,ilikuwa zimebaki siku chache afunge ndoa alimuaga mchumba wake kwamba anasafiri kutembelea ndugu kumbe alikuwa...
Kabang!
Memba wa Kundi la Tip Top Connection lenye maskani yake Manzese jijini Dar, Khalid Ramadhan ' Tunda Man ' na mwanamuziki wa nchini Kenya, Mwanaisha Abdallah ' Nyota Ndogo '...
Hivi kama unajua unatoka na umevaa kinguo cha ajabu kwanini usibebe hata khanga ili ikusitiri ?
Ina maana kuwa celebrity ndio kila baya la kuushangaza umma ndio ulifanye wewee ?
Ukitembelea www.roc-nation.com/artisttour na www.jay-z.com utaona jinsi ratiba ya music tours za wasanii hao zinaonyesha kuwa watakuwa nchini Tanzania mwezi oktober mwaka huu. Ujio huo japo...
RAPA mwenye jina kubwa katika Bongo Fleva , Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz, amekiri kutoa machozi wakati wa mahojiano redioni baada ya kupatwa na hisia kali , akikumbuka mambo mbalimbali ya...