Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za All Africa Music Awards AFRIMA 2014.
Majina hayo ya wasanii watakaowania tuzo hizo mwaka huu yalitangazwa J'nne hii, September 23, 2014 Protea Hotel...
Kweli mziki wa bongo jamani ni shidaa... maana katika hali halisi kama hujajipanga kimaisha na ukashiba masifa kichwani bila hela mfukoni yaani ni balaaa.
Jana nilikua uwanja wa ndege wa mwalimu...
Amber rose files for divorce from wiz khalifa.Pia anahitaji matunzo kwa mtoto wao mmoja Sebastian.
Ndoa yao imedumu kwa mwaka mmoja tu.Na kuna tetesi Kuwa anataka kuamia rasmi kwenye penzi la...
Msanii wa Bongo Movies Bupe Ameongea Kuhusu umbo lake la Utata Mwingi hasa upande wa Nyuma na kusema yuko tayari kupungua tumbo lakini siyo makalio.
Hawa wasanii wa bongo ni sheedaaaa
Wakati Tour ya Fiesta ikiwa inazunguka kwenye mikoa mbalimbali Tanzania ambapo weekend hii ni Mbeya na Songea, ametangazwa msanii wa kimataifa ambae ni rasmi atapanda kwenye stage ya Fiesta Dar es...
Amber Rose has filed for divorce from her husband, Wiz Khalifa, after just one year of marriage. According to TMZ, Rose filed divorce papers on Monday, citing those ever-popular irreconcilable...
Member wa kundi la zamani la Chemba Squad, Moses Bushagama aka Mez B amejikuta akiingia kwenye kashfa baada ya picha alizopiga na wasichana wawili wakiwa watupu huku amewashika maziwa, kuvuja na...
Producer Man Maji Man Water ambalo jina lake kamili ni John Vomo Shariza Siku ya Jumamosi tarehe 21 Septemba 2014 katika kanisa la KLPT Kigamboni jijini Dar es salaam alifunga ndoa na mke wake...
Dah jamani hapa mimi naweka mambo hadharani sio personal or chuki binafsi bali ni personal experience nilizokutana nazo nilivyomeet na hawa watu ambao tunawaita "celebrities" kwa hapa Tanzania...
Nawaletea exclusive kubwa ya karne kwenye nji hiiii
huyu mtoto jamani watu wamuache, kimyakimya kawekeza kwenye biashara ya vodka na jinsi kwa sasa alivyo musician mkubwa duniani( yuko top 50 ya...
Mchekeshaji aliyejipatia umaarufu kanda ya hii ya Afrika Mashariki na Umu Jamiiforums,baada ya kushinda best african comedian award at the Afro Australian Music and Movie Award ( AAMMA).
Ameamua...
Kuna mada humu iliwahi kuletwa kuhusu mbwiga wa Clouds FM kushindwa kusoma, jana imethibitika kashindwa kusoma magazeti kwenye kipindi cha Power Breakfast akasingizia macho hayaoni.
Mimi naweka...
Bwana mdogo nadhani una maskauti wanaopeperusha newz zako humu, hao wakufkshie taarifa.. Kuna Mkongomani anamburuza nyapu Wema Sepetu. Amka bro mali yako inaliwa. Mkongo huyo ana pesa ndefu, ndiye...
Wasalaam wana jamvi.
Ni wazi kila mtu anajua Diamond ni msanii mkubwa na anaye Fanya vizuri na ana tengeneza pesa nzuri kupitia muziki wake.
Bila shaka kila mmoja wetu anajua Kuwa Diamond ana...
Tuzo kubwa za MTV EUROPE zimewadia na Mtanzania Diamond platnumz ameteuliwa, kuwania kipengele cha mwanmziki bora wa Afrika/,kama utakumbuka za mwanzo zilikuwa ni tuzo za Mtv kwa aAfrika pekee...
Diamond tena aharibu UK show imebuma watu wamelipa ma euro wamekaa mpaka saa kumi alfajiri no show.
Huyu dogo tukimsema kuna watu mnatuona tuna beef na mafanikio yake, ila nitaendelea kusema dogo...
Umofia Kwenu wana JF,
Mwanamuziki wa Cocacola Pop Stars,Sarah Kaisi Alias Shaa amelamba shavu la kutangaza katika luninga ya Citizen katika kipindi kinachoenda kwa "Sakata Mashariki"...
MAKUBWA , madogo yana nafuu ! Mwigizaji wa kitambo na mwimbaji wa muziki wa Kizazi Kipya , Ummy Wenslaus ' Dokii ' anadaiwa kutoa kali ya karne baada ya kumpa askari wa jiji rushwa ya busu, Ijumaa...