Leo Namzungumzia sio mwingine bali Ni Super producer Adam Juma.
Jamani tuwe- na desturi- ya kusifia- vizuri tena vya Nyumbani- na sio umbea- tu na mabaya ndo myashadadie, haya- leo ni siku ya...
By Stephen Senkaaba
The two accepted Jesus on Thursday evening after Kenyan evangelist Annabelle Renno preached and prayed for them at Kololo Hospital, where Chameleone was admitted on Wednesday...
Pamoja na kutumia nguvu nyingi kukanusha kwenye mitandao kwamba ndoa yao haijavunjika, mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Habash ' G . Habash ' na ' mtalaka' wake, Judith Wambura...
Wasalaam wana jamvi!
Bila shaka hakuna ubushi kuwa Diamond ni msanii ambaye ameendelea kufanya vizuri Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla na hata Ulaya ana kubalika na hadi kufanikiwa kuingia...
wasanii wa bongo movie ku act kuwa wamependa real love wakati hawawezi na hawajui kupenda ni upuuzi wa hali ya juu,unakuta movie inamuonyesha monalisa au flora mvungi anauza karanga mitaani,wakati...
Muigizaji wa filamu za Kibongo,
Salim Omary Slim amejikuta akiwekwa
nguvuni katika Kituo cha Polisi cha
Makangarawe , Yombo -Buza , jijini Dar
akidaiwa kugoma kurejesha gari aina ya
Land Lover...
Diamond ndie star wa kweli sio wengine kukesha na sisi club mpaka tunawachoka na wanakuwa si mastar tena juu yetu Fiesta lazima niudhurie kumuona mkubwa Chibu akifanya yake na T.I
Umaarufu wa insta, watu wanapenda umaarufu kupitia kwa kutoa matusi kushadadia ugomvi kuwasimanga wenzao kujiona wao n wasafi kuliko wenzao. Huyu dada ganya1984 ameolewa na mume wa mtu ambae ana...
Hamisa Hassani Mobeto amezaliwa mwaka 1994 mkoani Mwanza na kabila lake ni Mnyamwezi. Mwanzo wake katika tasnia ya u-miss na modelling ilianza baada ya hamisa kuibuka mshindi wa shindano la Miss...
Msanii mkali wa bongo flavor rich mavoko ameachia kichupa kikali cha wimbo wake mpya uitwao Pacha Wangu.
Kichek kichupa hicho hapa Watch "Mavoko "Pacha wangu" ( Official HD/2k Music Vid " on...
Mwanadafada ambaye ni mwanamitindo Bongo, Hamisa Mabeto ameamua kumwanika mwandani wake baada ya kumuweka kwenye mitandao ya kijamii huku akimmwagia sifa kemkem.
Hamisa alisema mwanaume huyo ni...
Nauhakika humu siwezi kosa kitu, hivi huyu mkaka ni nani hasa maana namwona sana kwenye social media na mastaa kibao wanampata.
what is he doing for living?
Umaarufu wake (kidogo) ni kwa ajiri...
Kama umekulia miaka ya 90s na ulipenda bongo flava from late 90s basi bila ubishi either ulicopy album ya ugali or ulinunua album ya ugali.Huyu jamaa alikuwa ni kiboko ilikuwa...
Kupitia ukurasa wake wa instagram ametupia picha yenye fenc na mijengo ya maana ndani yake na kuuita mama chibu village...
Hongera sana diamond platnumz
Source page yake....picha will follow...
Shows nyingi anazofanya platnumz zinamuingizia kipato kikubwa sana ukijumlisha na mapato mengine ya shughuli zake za kibalozi, lakini ni dhahiri hana pesa anayotamba anayo Na wala hatakuja kuwa...
Msanii aliyefunga pingu za maisha juzikati na mwanaume mwenye asili ya Denmark , Janus Stanley Landrock , Lucy Komba amesema kadri siku zinavyozidi kwenda anazidi kunogewa na mapenzi ya mzungu...
STAA mkali wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa kwa sasa yuko tayari kuolewa kwani anaamini anastahili kuwa mke.
Wolper alisema, katika maisha siku zote anaamini kuna kipindi...