Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mimi ni mfuatiliaji wa hii channel ya vijana lakini naona saizi wanatuwekea bongo movies tu kila siku ni bora wange iacha itwe chanel 5 kuliko EATV na wakati hao wakenya na waganda hawana hata...
5 Reactions
62 Replies
9K Views
STAA wa filamu Bongo, Blandina Chagula ' Johari' amesema kwa sasa hataki kabisa kusikia habari za mwigizaji, Chuchu Hans ambaye wamekuwa wakitifuana mara kwa mara wakidaiwa kugombea penzi la...
0 Reactions
170 Replies
21K Views
Ikiwa tunaelekea kuufunga mwaka, sisi kama member wa jamiiforums tunachagua celebrity aliyefanya vizuri kwa mwaka mzima na tutamkabidhi tunzo maalum. Sasa naomba tupendekeze ni nani anafaa kupewa...
0 Reactions
71 Replies
6K Views
Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu , Hamisa Hassan ‘ Mabeto’ amesema kwa sasa hafikirii suala la kuolewa kwani bado anakula ujana. Akipiga stori na paparazi wetu, Mabeto alisema bado...
1 Reactions
75 Replies
11K Views
Kala Jeremiah: Dear God ilinipa Dili La Kwanza Kimuziki nikadhulumiwa ,Nilionja Matunda Ya Muziki Kupitia wimbo huo Ilimchukua Miaka Nane Kala Jeremiah kuanza kuonja Matunda Ya muziki licha ya...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Yule Mtanganyika na Mbongofleva aliyeenda na Cocaine Airport huku akiweka kwenye mfuko wa shati ,ameandika huko tweeter kwamba tumuombee ili mungu amsimamie atoke salama. Leo kesi yake ndo...
2 Reactions
65 Replies
9K Views
HAIJAKAA sawasawa! Siku chache baada ya Sitti Abbas Mtemvu ( 25) kujivua taji la Miss Tanzania 2014 kwa madai ya kusakamwa na vyombo vya habari kuhusu umri wake, wadau wamemwangushia uwajibikaji...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wimbi la wasanii wetu ku-shoot video nje ya nchi (S.A) linaongezeka kwa kasi sana toka Diamond afungue njia na wimbo wa Number 1 Ndani ya mwezi mmoja nimeshuhudia video zaidi ya kumi kwenye...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Sheta ambaye ni miongoni mwa wasanii wanaofanya kazi na hit makers wa bongo kwenye nyimbo zake amezungumzia uwezekano wa collabo na Ali Kiba Kwenye exclusive interview. Swali> Sheta Una mpango...
0 Reactions
164 Replies
25K Views
Teaser ya wimbo wa msanii kinara katika muziki wa Bongo "Dimond platnumz" imevunja rekodi ya kupakuliwa katika mitandao mara nyingi zaidi, kipande hicho ni cha sekunde 21 kinachoonyesha kuwa hiyo...
1 Reactions
58 Replies
14K Views
Nimekuwa nikifuatilia Weusi kwa muda sasa na nimekuwa impressed nao sio kwa kazi zao hata character zao as individuals hasa joh makin na g nako. Ila am not impressed for the case of Niki, amekuwa...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Yamoto band ikiongozwa na Mkubwa fela wakijulikana kama mkubwa na wanae wakiwa na nyimbo kali zilizotamba na zinazoendelea kutesa kama Nitajuta ,mapenzi ya moto, niseme na INOOH. Sasa wametoa...
0 Reactions
65 Replies
11K Views
Taarifa ambayo imezagaa kila kona ni ya kupatana kati ya Wema na Penny. Wasameana na kuondoa tofauti jana katika dinner ya birthday ya Junaitha,Junaitha ndiye aliyefanya harakat zote za kupatana...
0 Reactions
68 Replies
18K Views
Mke wa Gardner G Habash, Judith Wambura Mbibo, ‘Lady Jaydee' akipozi. Prizenta aliyetua Radio E-FM hivi karibuni akitokea Radio Times FM, Gardner G Habash ‘Kapteini' anadaiwa...
2 Reactions
180 Replies
25K Views
Ni swali ambalo Waandishi wengi waliwahi kutamani kupata time ya kumuuliza ambapo kwa bahati nzuri kaulizwa kwenye kipindi cha maswali na majibu na akatoa jibu akiwa na tabasamu zito kabisa...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
ama kweli pesa inaongea
3 Reactions
51 Replies
18K Views
UNAFIKI 100 % ! Wakati kila mtu akiamini kwamba staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ni shosti wa Kajala Masanja ' Kay' , ameibua mshangao baada ya kunaswa akikumbatiana na...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
pole HOD kwa kutoswa kumbe ndo maana kimya siku hizi
1 Reactions
60 Replies
12K Views
Naomba Profile ya Private na Public ya huyu jamaa Vitu kama vile alizaliwa wapi mwaka gani kasoma shule gani(Not interested in Primary) University (undergrad kasoma wapi?) alisomea...
2 Reactions
19 Replies
10K Views
Sorry wanajukwaa niko Namtumbo ndanindani huku sielewi mambo yanayotokea mjini, niliambiwa na rafiki yangu ambaye yuko daslam kwamba tar 8 Nov (jana) msanii wetu maarufu aliyeimba kitorondo...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…