MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye ameshakua vya kutosha .
Akipiga stori na mwandishi wetu, Kajala alisema anasaka mimba kwa namna...
Mshambuliaji wa kilabu ya Totenham nchini Uingereza Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake.
Duru zimearifu kuwa mama huyo tayari ameondoka...
Kuna watu wameimba kwaya kwa kwa kukopi kila kitu kutoka katika huu wimbo, je wamepata uhalali wa kufanya hivyo? Au ndio kibongo bongo mazoea?
Natumia cm nikakaa kwenye pc nitauweka huo wimbo...
LEGENDARY kwenye anga la sanaa Bongo, Vincent Kigosi Ray kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa mpenzi wake wa sasa , Chuchu Hans ndiye kila kitu na kilichobaki ni ndoa tu .
Akizungumza na...
Hili Jukwaa Sasa Limechuja
Na Radha Yake Imepotea Kabisa
Mbona Kuna CeLebrities Kibao Hapa Town:..Sasa Kwa Nini Mmebase Kwa Msanii Mmoja Tu?
Kwa Hii Tabia , Mi Nasema Nimechoka!
Jigo
Huyu jamaa ni noma aisee
Nguo anazovaa,lafudhi na jinsi anavyoigiza.
Cheki futuhi now au next Thursday uine then uje utoe feedback!!
Huyu jamaa anatosha
MUNGU mkubwa! Vengu is back from hell ( Vengu amerudi toka kuzimu) . Msanii staa wa Kundi la Orijino Komedi ' OK ' , Joseph Shamba ' Vengu ' ameanza kurejea katika ' fomu ' baada ya...
Young Killer Msodoki ni mmoja kati ya wasanii wanaonikosha roho likija suala la burudani,hakuwahi kutoa wimbo usipendeze masikioni mwangu.Tumpe sapoti mdogo wetu asije kuwa kama wale waliokuja na...
Ninaripoti kutoka Uganda kama ifuatavyo:
Baada ya Diamond kujisevia Zari kiulaini bila kutumia nguvu boyfriend wa Zari aamua kujiweka kando kwa madai kwamba ni bora awe single kuliko kuwa na...
Inasemekana ya kuwa undisputed Tanzania top football Analyst Edo Kumwembe analipwa milioni sita kwa mwezi kwa kazi ya uchambuzi wa soka ndani ya Azam TV.
Ikumbukwe kuwa nguli huyo wa kuchambua...
Huku Namtumbo jamaa maarufu kinoma,na ngoma zake ni nyimbo za wilaya huku has a hii pacha kwani video kama imeshutiwa Mbele huko.
Vipi huko kwenu ,nako mnamuona ana kipaji na ni maarufu...
KESI ya kuua bila kukusudia inayomkabili mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu' imewekwa kiporo kufuatia kuwepo kwa kesi nyingi za mauaji mahakamani, Risasi Mchanganyiko...
Haya miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa tayari yuko London ready for Miss world. BBC Swahili, Sporah interviews zimeshafanyika.
Haya Happiness Go and Represent, You got my support girl.
Wadau tuwape pongezi wanandoa wapya mujini ni Richard Mziray na mrembo wa ukweeeeeee cynthia Masasi..Kila la heri kwenye maisha mapya.Epukeni marafiki wasiofaaa hasa kipinndi hiki amabpao mmekuwa...
Mwenye taarifa zaidi atujuze.....nimesikia dk hii.
Nasikia amefia Muhimbili usiku huu kutokana na tatizo lake la pumu.
Kama kweli, R.I.P Amigolas....mwimbaji wa Twanga Pepeta.
Mwanamuziki Mary J Blige kutoka Marekani amekataa kumkubalia mumewe kuwa na rafiki wa kike.Je,kunani?
Msanii huyo wa siku nyingi anayefahamika zaidi kwa wimbo wake wa ''No More Drama'' ameolewa...
Si utani amejaliwa kuwatafuna na kuwatema kama Diamond, tupo kwenye sherehe hapa magorofani Bunju nyuma ya Moga, Ngasa anaoa mwingine sijui wa ngapi huyu. Siweki picha maana mwenye nyumba...
MASAI APELEKA BARUA YA UCHUMBA NYUMBANI KWA WAZAZI WA WEMA SEPETU
POINTI YA MSINGI
Shangwe zaidi iliongezeka kwa mama Wema baada ya kusikia Masai huyo ana mji Singida tena kwenye kijiji ambacho...