Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye ameshakua vya kutosha . Akipiga stori na mwandishi wetu, Kajala alisema anasaka mimba kwa namna...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Mshambuliaji wa kilabu ya Totenham nchini Uingereza Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake. Duru zimearifu kuwa mama huyo tayari ameondoka...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna watu wameimba kwaya kwa kwa kukopi kila kitu kutoka katika huu wimbo, je wamepata uhalali wa kufanya hivyo? Au ndio kibongo bongo mazoea? Natumia cm nikakaa kwenye pc nitauweka huo wimbo...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
LEGENDARY kwenye anga la sanaa Bongo, Vincent Kigosi ‘ Ray ’ kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa mpenzi wake wa sasa , Chuchu Hans ndiye kila kitu na kilichobaki ni ndoa tu . Akizungumza na...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Hili Jukwaa Sasa Limechuja Na Radha Yake Imepotea Kabisa Mbona Kuna CeLebrities Kibao Hapa Town:..Sasa Kwa Nini Mmebase Kwa Msanii Mmoja Tu? Kwa Hii Tabia , Mi Nasema Nimechoka! Jigo
3 Reactions
117 Replies
8K Views
Huyu jamaa ni noma aisee Nguo anazovaa,lafudhi na jinsi anavyoigiza. Cheki futuhi now au next Thursday uine then uje utoe feedback!! Huyu jamaa anatosha
4 Reactions
99 Replies
42K Views
MUNGU mkubwa! Vengu is back from hell ( Vengu amerudi toka kuzimu) . Msanii staa wa Kundi la Orijino Komedi ' OK ' , Joseph Shamba ' Vengu ' ameanza kurejea katika ' fomu ' baada ya...
0 Reactions
43 Replies
11K Views
Young Killer Msodoki ni mmoja kati ya wasanii wanaonikosha roho likija suala la burudani,hakuwahi kutoa wimbo usipendeze masikioni mwangu.Tumpe sapoti mdogo wetu asije kuwa kama wale waliokuja na...
2 Reactions
2 Replies
10K Views
Ninaripoti kutoka Uganda kama ifuatavyo: Baada ya Diamond kujisevia Zari kiulaini bila kutumia nguvu boyfriend wa Zari aamua kujiweka kando kwa madai kwamba ni bora awe single kuliko kuwa na...
4 Reactions
122 Replies
15K Views
Inasemekana ya kuwa undisputed Tanzania top football Analyst Edo Kumwembe analipwa milioni sita kwa mwezi kwa kazi ya uchambuzi wa soka ndani ya Azam TV. Ikumbukwe kuwa nguli huyo wa kuchambua...
1 Reactions
40 Replies
12K Views
Huku Namtumbo jamaa maarufu kinoma,na ngoma zake ni nyimbo za wilaya huku has a hii pacha kwani video kama imeshutiwa Mbele huko. Vipi huko kwenu ,nako mnamuona ana kipaji na ni maarufu...
6 Reactions
71 Replies
8K Views
Hii tuiite abusing, jealous, au hates? Halaf Zari thebosslady wa watu hata hakumrespond na daily anakua na POSITIVE THINKING! :thumbup::sly::):eek:
0 Reactions
37 Replies
7K Views
KESI ya kuua bila kukusudia inayomkabili mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu' imewekwa kiporo kufuatia kuwepo kwa kesi nyingi za mauaji mahakamani, Risasi Mchanganyiko...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Haya miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa tayari yuko London ready for Miss world. BBC Swahili, Sporah interviews zimeshafanyika. Haya Happiness Go and Represent, You got my support girl.
0 Reactions
32 Replies
6K Views
  • Closed
Wadau tuwape pongezi wanandoa wapya mujini ni Richard Mziray na mrembo wa ukweeeeeee cynthia Masasi..Kila la heri kwenye maisha mapya.Epukeni marafiki wasiofaaa hasa kipinndi hiki amabpao mmekuwa...
3 Reactions
83 Replies
40K Views
Kwa hiki kipindi cha wema sepetu kinachorushwa na eatv bado cjakielewa maana yake haswa ni nini? Ambae anaelewa aniweke sawa kidogo
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mwenye taarifa zaidi atujuze.....nimesikia dk hii. Nasikia amefia Muhimbili usiku huu kutokana na tatizo lake la pumu. Kama kweli, R.I.P Amigolas....mwimbaji wa Twanga Pepeta.
1 Reactions
40 Replies
18K Views
Mwanamuziki Mary J Blige kutoka Marekani amekataa kumkubalia mumewe kuwa na rafiki wa kike.Je,kunani? Msanii huyo wa siku nyingi anayefahamika zaidi kwa wimbo wake wa ''No More Drama'' ameolewa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Si utani amejaliwa kuwatafuna na kuwatema kama Diamond, tupo kwenye sherehe hapa magorofani Bunju nyuma ya Moga, Ngasa anaoa mwingine sijui wa ngapi huyu. Siweki picha maana mwenye nyumba...
0 Reactions
33 Replies
12K Views
MASAI APELEKA BARUA YA UCHUMBA NYUMBANI KWA WAZAZI WA WEMA SEPETU POINTI YA MSINGI Shangwe zaidi iliongezeka kwa mama Wema baada ya kusikia Masai huyo ana mji Singida tena kwenye kijiji ambacho...
0 Reactions
37 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…