Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Sasa hivi ndio mnakumbuka kupiga nyimbo zake akiwa kafa! Mbona hamkupiga akiwa hai?! Hakuna redio ya kinafiki Tanzania Kama clouds!
5 Reactions
45 Replies
8K Views
Rapper mahili na ex-member wa kundi la East Coast Team Hamis mwinjuma a.k.a Mwana Fa sasa amegeukia upande wa pili wa burudani yan Masumbwi(boxing). Star huyo wa 'Yalaiti' amepanga kuzichapa na...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Msanii nguli wa miondoko ya hiphop Tanzania Hamisi Mwinjuma a.k.a Mwana Fa ageukia upande wa pili katka soko la taarabu.Na kwa kuanza leo ameachia kibao chake kipya kinachoitwa 'Yalaiti' ambao...
0 Reactions
47 Replies
10K Views
Umuofia kwenu!Eem let mi kujitutumua kuuliza kizungu becoz ze lugha ya taifa iz hard for forenaz.Zis nearby for Wema Sepetu and ze msanii zis Ommy dimpoz iz kukaaje?zey kupiga picha tata zea Sauz...
2 Reactions
87 Replies
19K Views
Jana madogo walikuwa live bbc swahili londn na leo wanatumbuiza show yao ya kwanza Ulaya mji wa London..uk.. Watanzania wengi wameonekana kuwapokea Vizuri vijana..
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Diamond Platnumz ni miongoni mwa marafiki wa karibu wa msanii Dully Sykes ambaye weekend iliyopita alimpoteza baba yake mzazi Ebby Sykes, lakini hakuweza kuhudhuria msiba huo kutokana na sababu...
0 Reactions
88 Replies
20K Views
Kesho hawa watoto watafanya show East London,ambayo itakuwa ya kufaana saana!Watanzania waishio huko wengi wamepanga kuwa-support na nimeambiwa ticket zimeisha tayari! Ni moja ya band nzuri,japo...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Sio kwamba nafatilia sana ngoma za kuimbaimba ila kwa hii track janki kafanya poa sana hadi kawaficha wale jamaa kwe hiyo ngoma
1 Reactions
64 Replies
13K Views
Naomba kama kuna anayefahamu historia ya Askofu anifahamishe kidogo,maana sijawahi kusikia chochote kibaya kuhusu huyu Askofu. Je ni mmiliki wa gazeti la Msemakweli au Nyakati? Je ndo mmiliki wa...
3 Reactions
31 Replies
14K Views
Umofia Kwenu, Wadau kuna habari Le grande mupao suvereee mwonkozi Joseph Kusaga amehamia Abu Dhabi kwenye makazi mapya,anataka kufungua radio station huko huko na kupeleka king'amuzi chake! Big...
0 Reactions
23 Replies
11K Views
Jamani! Hasheem Thabeet amechafua bwana. Mpaka hivi sasa ana baby momma wanne. Jamaa muda mwingi anatumia kwenye viuno na sio court ku-ball. Dah! Kweli Mswahili Mswahili tu..
0 Reactions
27 Replies
14K Views
Mwanamziki Ommy Dimpoz amerudishwa Tanzania baada ya kuzuiwa kuingia Marekani kwa kokosa vibali vinavyomruhusu kuingia nchi hiyo. Chanzo: Clouds Aisee Nasikia viza aliyokuwa amekata haikuwa ina...
0 Reactions
117 Replies
20K Views
Msanii wa Kimataifa Ambwene Yesaya (AY) anayefanya kazi zake za kisanii nchini Tanzania na pia anatamba na wimbo wake mpya unaoitwa ZIGO amezidi kuonyesha mafanikio yake ya kimuziki na kibiashara...
3 Reactions
64 Replies
21K Views
Imegundulika Kuwa Waigizaji Wa KIKE ( Bongo Movie ) Pekee Ndiyo Hufanikiwa Sana Na Haraka a.k.a KUTUSUA Mapema Kimaisha Kuliko Wale Wa Kiume Lakini Pia Kama Hiyo Haitoshi Imegundulika Kuwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Miongoni mwa stori zilizochukua headline kwenye radio mbalimbali, hata kwenye magazeti ni kuhusiana na msanii wa Ommy Dimpoz kuzuiliwa kuingia Marekani na kurudishwa Tanzania bila kufanya show...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Msanii Mwasiti ametangaza rasmi kumtangaza mpenzi wake ikifika mwezi wa tatu. Ametoa uamzi huo wa kutangaza kutokana watu wengi kumuuliza kuwa ana uhusiano na Sam Missago naye kukataa na kudai...
1 Reactions
15 Replies
13K Views
Habari wana JF, Kweli mziki unalipa sana,Msanii wa kizazi kipya, Hamis Mwinjuma (Mwana Fa) aonyesha jeuri ya fedha. Mwana Fa asafiri kwenda Massachusetts kwa kutumia ndege wanaotumia matajiri...
2 Reactions
128 Replies
22K Views
Staa wa Bongo Fleva, Stara Thomas akiwa na mumewe Stori: Deogratius Mongela na Chande HAYA ni madai mazito! Kwamba, staa wa Bongo Fleva ambaye juzi kati alinusa kwenye gospo...
1 Reactions
74 Replies
28K Views
Mungu ni mkubwa :Mama mzazi wa Supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’, amerejeshwa Bongo kutoka India ambapo afya yake imetengemaa. Habari kutoka...
0 Reactions
27 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…