Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,285
Ndege yake au?
Maana kama kupanda ndege tu ni habari mpaka leo Tanzania, kazi tunayo.
Enzi za mwalimu ilikuwa ukipanda gari hata kama vw bito lazima ukahadithie wenzako kijiweni sasa hivi ni ndege. Nayo ni maendeleo, big up FA
It's all relative.
Wengine wanataka kupanda ndege.
Wengine wanataka kununua ndege.
Wengine wanataka kununua shirika la usafiri wa ndege.
Wengine wanataka kununua kiwanda cha kutengeneza ndege.
It depends on your station in life.
Ndiyo maana wengine tunashangaa mtu kupanda ndege kuwa habari.
Wakati hizo enzi za mwalimu unazozisema tulikuwa tunaenda vacation Dar Kilimanjaro kwa ndege.
Ndege yake au?
Maana kama kupanda ndege tu ni habari mpaka leo Tanzania, kazi tunayo.
hongera kwa kupanda business class , hakika ni jambo la kujivunia kwa watanzania maana ameitangaza nchi
hahahaa
Habari wana JF,
Kweli mziki unalipa sana,Msanii wa kizazi kipya, Hamis Mwinjuma (Mwana Fa) aonyesha jeuri ya fedha. Mwana Fa asafiri kwenda Massachusetts kwa kutumia ndege wanaotumia matajiri wakubwa, ona picha ya chini, nadhani Mwana-FA anamjibu Mtanzania genius aliyepanda bizness class.
View attachment 226842
Mnajua mnabeza kwa kuwa hamuelewi kupanda ndege economy class na kuwa kwenye business class.
Nauli ya business class ni sawa na nauli ya economy mara 2.5, sasa wewe upo tayari kujilipia nauli yako na mwenzako na nusu halafu unasafiri peke yako?
hongera kwa kupanda business class , hakika ni jambo la kujivunia kwa watanzania maana ameitangaza nchi