Habari, Jana msanii tajika sana nchini Tanzania, Afrika Mashariki na kati na pengine kuliko wote kusini mwa jangwa la Sahara Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, alisaini dili kubwa na...
Buff G - SAA MBAYA
Ni wakati wa kuangilia na kusema
lakini sio kilio salio katika saa hii ni mapingano
Wafaindikao Wazee Serikalini wapi na wapi
kijana juzi kahitimu Elimu ya Juu kazi mpaka...
Kwa sasa kama wakongwe wamepindua meza kwani kila tukio sasa wakongwe wanapanda kupaform muziki wa bongo fleva wa zaman, kwetu sisi age go ni burudani kabisaaa.
Tumeona kwenye Tamasha la Miaka 30...
Msanii Harmonize kupitia lebo yake ya Konde Gang ametoa taarifa kuhusu wimbo wake mpya “Beautiful”, baada ya kuondolewa kwenye mtandao wa YouTube.
Kupitia taarifa hiyo, Konde Gang imesema wimbo...
Zuchu ameweka wazi kuwa katika kipindi cha ujauzito wake alikuwa hampendi mume wake Diamond Platnumz kiasi kwamba hata akiwa amelala anatamani hata ampige kibao.
Kupitia ukurasa wake wa Snapchat...
Sakata la kale limeibuka upya na kuchafua mitandao ya kijamii nchini kufuatia madai mazito kwamba staa wa Bongo Fleva, Harmonize, alianza uhusiano wa kimapenzi na Paula kabla ya kuhamia na kufanya...
Nealy 30 years after Tupac's death,the only man charged in his murder is standing trial.
A judge has ruled that Duane"Keffe D" davis 2008 police interview and memoir can be used as evidence...
Walipopanda jukwaani Irene Uwoya, Kajala, Aunt Ezekiel na Jaqline Wolper waliwekewa ule wimbo 'nakupenda bibi kizee nakupenda kikongwe'...kweli baada ya pale nawaona hawa kama wakongwe wenzangu...
Inasemekana kuwa Cristiano Ronaldo na Georgina Rodríguez walisaini mkataba wa kabla ya ndoa mnamo Agosti 10, 2026, siku moja tu kabla ya harusi yao ya faragha nchini Ureno.
Naamini tulishaletewa...
Chid benz - popompoo pisha
[Verse] - 3
This for hood shit girls, you and your fellows /
Wakongwe hawaendi na muda, yaani wabishi mpaka kero /
Mengi mnayoongea hayafanani nikitokea /
Mnashindana...
Ila aisee kwanini sisi watanzania tuko hivi?
Ni laana gani tuliyo nayo sisi?
Katika pita pita mitandaoni nimejikuta nashangaa why! Watu wana make fun of juma jux. Ndo hao hao walomcheka akiwa...
Mke wa nyota wa As Monaco Paul Pogba, Zulay Pogba amejitokeza hadharani kumtetea mume wake, na kukataa madai ya watu kwamba kiungo huyo mwenye umri wa miaka 33 anapaswa kustaafu soka na aliamua...
Polisi nchini Ecuador wamekamata zaidi ya kilo 450 za Cocaine kutoka kwenye lori karibu na mpaka wa Colombia. Vifurushi hivyo vilidaiwa kuwa na stika zenye picha ya mwanasoka wa Norway, Erling...
Kwa mara ya kwanza mtangazaji nguli nchini Taji Liundi amefunguka kuhusu maisha yake binafsi na mchango wake katika tasnia ya muziki. Taji Liundi aka Master T ambaye amefanya kazi na vituo...
JAY MOE - MPENZI KWAHERI
Intro:
"Au sio Kwahiyo ndio Unaondoka
sio ,
Amna Noma Bwana , Mi ndio Hivyo Nipo,
Au sio kinachoenda ndio kinachorudi."
Verse..1
Kwanza sikuwa na Muda wa Mapenzi...
Mitandaoni kumeibuka mjadala kuhusu muonekano wa msanii wa Tanzania, Juma Jux, baada ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii kudai kuwa msanii huyo amepungua uzito kwa kiasi kikubwa.
Baadhi...
Hii interview ya huyu dada anayeitwa Shuu Salun mmeiangalia?
Yaani huyu dada alicheat, alafu akaja kumwambia kaka wa watu kuwa hiyo mimba ni ya kwake na alisema ALIPANGA kabisa kupata hiyo mimba...
Nabii Koko Kalapina anasema watu wawaache wasanii wakongwe wale pensheni zao na michongo mingine ya kuwaingizia pesa sababu wamesota sana na huu muziki.
Kupitia page yake Kalapina ameandika 👇...
Ukishindwa kuwa na nidhamu kwenye fedha basi sbiri fedha ikufundishe nidhamu
Na kilichobaki kwa sasa mostly ni ku act, kulazimisha aonekane bado ana fedha, kitu kinachozidi kumuingiza kwenye...