Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nalaani tabia ya watu wengi waliobaki kutokuheshimu wosia wa Marehemu. Gardner alisikika mara kadhaa redioni akisema siku akifariki wimbo wake pendwa " do you want a beer" kutoka Zimbabwe upigwe...
16 Reactions
73 Replies
5K Views
Celebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model. NB: Tengeneza future ya wategemezi...
22 Reactions
142 Replies
5K Views
Inaonekana amejawa na mawazo sana!
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Je, umewahi kujiuliza kama wewe na mwenza wako mnaweza kushirikiana kibiashara? Navy Kenzo wametoka mbali katika safari yao ya mahusiano na muziki. Mwaka 2008, Aika na Nahreel walikutana na...
3 Reactions
12 Replies
418 Views
Hello. Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe. Au ndo masharti ya mganga wao...
1 Reactions
47 Replies
2K Views
Salute. Kuna wakati huwa najiuliza sana juu ya huyu jamaa, aliwahi kuwa marufu sana hadi mwishoni mwa miaka ya 2011 kama sijakosea. Ni muda sasa sijawahi kusikia anaendeleaje. Sijui nani...
5 Reactions
264 Replies
61K Views
Salaam,Shalom!! Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine...
39 Reactions
268 Replies
7K Views
WAGOSI WALIINGIA DAR KAMA BARUA YENYE STAMP NA CARE OF Wagosi wa Kaya ni kikundi cha wanamuziki kutoka Tanzania, kilichoanzishwa mwaka 1996 na John Simba (Dr John) na Frederick Mariki...
21 Reactions
32 Replies
2K Views
Hongera Tanzania's sweetheart! Hakika unastahili pongezi Kwa kazi nzuri.
20 Reactions
83 Replies
6K Views
  • Redirect
Huyu jamaa wa kundi la kina masanja,joti na mpoki aliendaga wapi maaana ni kitambo sanaa
0 Reactions
Replies
Views
Hatimaye Richmitindo amekumbatia Bomu lake na tutarajie lolote ndani ya muda mfupi!
14 Reactions
77 Replies
12K Views
Ni dhahiri sehemu pekee atakayoalikwa Diamond ni ile inayohusu msanii mwingine wa Wasafi la sivyo huwezi sikia Diamond kawa invited kwenye event yeyote ile. Clouds,EFM na Tv nyingine hawapigi...
10 Reactions
59 Replies
4K Views
Mr. NICE ALIWIKA sana lakini anaonekana ni Mzee wa maneno ya kujisifia sana, kumekuwa na takwimu zisizo eleweka za mauzo ya kazi za wasanii hapo zamani. Huku Mr. Nice akitamba kwamba yeye aliuza...
2 Reactions
15 Replies
888 Views
Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
26 Reactions
404 Replies
20K Views
Nini sababu ya Mwanamuziki Nguli duniani lady jay Dee kuachana na mume wake wa ndoa? Mwenye kujua tafadhali ili tuweke rekodi sawa kwenye maandishi. Cc: kataa ndoa
5 Reactions
56 Replies
3K Views
Zikiwa zimepita siku 44 (wiki sita na siku 2) tangu aliyekuwa mnenguaji bei mbaya nchini, Monica Vincent ‘Diana Aston Villa' afariki dunia, kauli nzito aliyoitoa mwaka jana alipokuwa...
6 Reactions
207 Replies
62K Views
Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini, Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya...
72 Reactions
170 Replies
8K Views
Tokugawa Shogunate... Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT. Binafsi nimeitazama hii series nakubali...
1 Reactions
71 Replies
1K Views
Ni yule mwanamuziki bora wa muda wote toka pande za states mwamba Christopher Maurice Brown maarufu kama Chris Brown au Breezy. Amewashushia neema mashabiki zake kwa kuwa patia album funga mwaka...
14 Reactions
47 Replies
3K Views
🚨 Huyu jamaa nilidhania anasingiziwa kumbe ni mshenzi kweli. P. Diddy aka Mr Love anaeshutumiwa kwa makosa mbalimbali ya udhalilishaji wa ki ngono kwa wanawake na wanaune nimeona kwenye moja ya...
66 Reactions
221 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…